Wee Economist naona kama umelipwa na Lissu ulete uongo hapa.Lissu alikuwa ughaibunu huko muda mrefu na chama kiliendelea bila yeye sasa sioni kishindwe vipi bila yeye !
Wakati Slaa anaondoka ilikuwa ni uchaguzi wa cdm, wafuasi wa cdm walikuwa wamemchoka Mbowe kama sasa? Nionyeshe mahali ambapo wafuasi wa cdm walionyesha kumkataa Mbowe wazi wazi kama sasa.Kati ya Lissu na Slaa nani alikuwa na watu on ground achana na hawa keyboard warriors.
Huko si Kuna Serikali ya Mseto..Na akienda ACT atavuruga maridhiano ?๐View attachment 3186093
Ukitaka kuchukua dola lazima taasisi yako ui-test mwenyewe ama iwe tested. Endapo CDM itapita salama hapa basi mtapewa nchi na wanachi maana mtakuwa mmeiva.
Naamini 100% yoyote atakayeshindwa hataondoka bali atabakia kukijenga chama kwa umoja maana itakuwa zimebakia miezi kadhaa tu kwenda uchaguzi Mkuu.
Sitaki kuamini kwamba huu ni mpango wa Lissu na Mbowe ku test taasisi yao kama inaweza kuhimili misukosuko.
Litakuwa kosa kubwa la mwaka kwa CCM kudhami CDM inakwenda kugawanyika baada yq uchaguzi mkuu wao.
LISU AKIKATWA HATAENDA ACT BALI ATAANZISHA CHAMA CHAKE NA KUKUSANYA TOKA VYAMA VYOTE. HAPO NDIPO UTAMU WA 2025 ULIPOKuna jambo nalitafakari kwa kina na ninadhani watu wengi hawajaliona Wala kulifikiria. Iwapo Lissu atafanyiwa figisu kwenye uchaguzi ndani ya CHADEMA na akatimkia ACT Nini kitatokea? Hili Jambo watu hawalioni.
Lissu akihamia ACT ndio utakuwa mwisho wa CHADEMA kama chama kikuu Cha upinzani. Maana ataipa back up huku bara na kuwa chama chenye ushawishi mkubwa, na kule visiwani tayari ACT Ina mizizi. Ndipo kwama mara ya kwanza tutapata chama chenye kuungwa mkono Zanzibar na bara.
Hili Jambo nimelitafakari kwa kina Sana nikawaza itakuwaje?. Naomba Wana CHADEMA wenzangu tufanye uchaguzi kwa haki, atakaye shindwa aone ameshindwa kwa haki na tusikubali pesa zikatufanya tufanye maamuzi batili. Tuiangalie CHADEMA ya kesho sio Leo au Tusifanye uchaguzi wa kumpendeza mtu hapana, tufanye uchaguzi kwa Nia ya kuleta mabadiliko ndani ya CHADEMA.
Wakati wetu ni Sasa, tusiruhusu chama chetu kikapotea au kufa kwa sababu za kibinafsi za maslahi ya wachache, tumchague mgombea mwenye maono mapya na mwenye kujua uchungu wa harakati. Tusifanye makosa kabisa, Tanzania inatutegemea. Tusurudie makosa ya RENAMO Msumbiji mpaka ikapitwa na chama Cha PODEMOS kwa ushawishi na uungwaji mkono.
NB.
Siiamini ACT na Wala sidhani Kama kina Nia ya dhati ya kuiondoa CCM madarakani.
Wenje na Yeriko wataelekea ACT wazalendo chama Cha Boss WaoMimi namuona Wenje kama mtu aliyekuja kumuharibia nafasi Pambalu. Maana ametangaza pia kugombea ubunge Nyamagana. Pambalu alikuwa anachukua asubuhi jamaa kaja huku kumuharibi Kama alivyofanya kwenye Kanda ya Victoria.
Chadema imeshagawanyika ndio sababu Siri zenu ZOTE ziko CCM yaani hata alipouawa Meddy Chadema mkampigia Simu Dr Nchimbi mara 5 badala ya Muliro ๐ผUkitaka kuchukua dola lazima taasisi yako ui-test mwenyewe ama iwe tested. Endapo CDM itapita salama hapa basi mtapewa nchi na wanachi maana mtakuwa mmeiva.
Naamini 100% yoyote atakayeshindwa hataondoka bali atabakia kukijenga chama kwa umoja maana itakuwa zimebakia miezi kadhaa tu kwenda uchaguzi Mkuu.
Sitaki kuamini kwamba huu ni mpango wa Lissu na Mbowe ku test taasisi yao kama inaweza kuhimili misukosuko.
Litakuwa kosa kubwa la mwaka kwa CCM kudhami CDM inakwenda kugawanyika baada yq uchaguzi mkuu wao.
๐ฏ%Siiamini ACT na Wala sidhani Kama kina Nia ya dhati ya kuiondoa CCM madarakani.
Wafuasi wa Lissu mbona mna wasiwasi sana? Yaani kila siku ni ninyi tu. Mbona Mbowe na wafuasi wake wametulia? Kwani Lissu akienda ACT Wazalendo atakuwa wa kwanza kufanya hivyo? Je, Chadema haikuendelea kusimama?Kuna jambo nalitafakari kwa kina na ninadhani watu wengi hawajaliona Wala kulifikiria. Iwapo Lissu atafanyiwa figisu kwenye uchaguzi ndani ya CHADEMA na akatimkia ACT Nini kitatokea? Hili Jambo watu hawalioni.
Lissu akihamia ACT ndio utakuwa mwisho wa CHADEMA kama chama kikuu Cha upinzani. Maana ataipa back up huku bara na kuwa chama chenye ushawishi mkubwa, na kule visiwani tayari ACT Ina mizizi. Ndipo kwama mara ya kwanza tutapata chama chenye kuungwa mkono Zanzibar na bara.
Hili Jambo nimelitafakari kwa kina Sana nikawaza itakuwaje?. Naomba Wana CHADEMA wenzangu tufanye uchaguzi kwa haki, atakaye shindwa aone ameshindwa kwa haki na tusikubali pesa zikatufanya tufanye maamuzi batili. Tuiangalie CHADEMA ya kesho sio Leo au Tusifanye uchaguzi wa kumpendeza mtu hapana, tufanye uchaguzi kwa Nia ya kuleta mabadiliko ndani ya CHADEMA.
Wakati wetu ni Sasa, tusiruhusu chama chetu kikapotea au kufa kwa sababu za kibinafsi za maslahi ya wachache, tumchague mgombea mwenye maono mapya na mwenye kujua uchungu wa harakati. Tusifanye makosa kabisa, Tanzania inatutegemea. Tusurudie makosa ya RENAMO Msumbiji mpaka ikapitwa na chama Cha PODEMOS kwa ushawishi na uungwaji mkono.
NB.
Siiamini ACT na Wala sidhani Kama kina Nia ya dhati ya kuiondoa CCM madarakani.
Au sabab top leaders sio watu wa pwaniACT kwa Sasa haina nguvu ni muda tu watazidiwa hata na hio CUF. Shida CHADEMA hawajawekeza Zanzibar sijui Kwa Nini
ACT hii ya Zitto!??Kuna jambo nalitafakari kwa kina na ninadhani watu wengi hawajaliona Wala kulifikiria. Iwapo Lissu atafanyiwa figisu kwenye uchaguzi ndani ya CHADEMA na akatimkia ACT Nini kitatokea? Hili Jambo watu hawalioni.
Lissu akihamia ACT ndio utakuwa mwisho wa CHADEMA kama chama kikuu Cha upinzani. Maana ataipa back up huku bara na kuwa chama chenye ushawishi mkubwa, na kule visiwani tayari ACT Ina mizizi. Ndipo kwama mara ya kwanza tutapata chama chenye kuungwa mkono Zanzibar na bara.
Hili Jambo nimelitafakari kwa kina Sana nikawaza itakuwaje?. Naomba Wana CHADEMA wenzangu tufanye uchaguzi kwa haki, atakaye shindwa aone ameshindwa kwa haki na tusikubali pesa zikatufanya tufanye maamuzi batili. Tuiangalie CHADEMA ya kesho sio Leo au Tusifanye uchaguzi wa kumpendeza mtu hapana, tufanye uchaguzi kwa Nia ya kuleta mabadiliko ndani ya CHADEMA.
Wakati wetu ni Sasa, tusiruhusu chama chetu kikapotea au kufa kwa sababu za kibinafsi za maslahi ya wachache, tumchague mgombea mwenye maono mapya na mwenye kujua uchungu wa harakati. Tusifanye makosa kabisa, Tanzania inatutegemea. Tusurudie makosa ya RENAMO Msumbiji mpaka ikapitwa na chama Cha PODEMOS kwa ushawishi na uungwaji mkono.
NB.
Siiamini ACT na Wala sidhani Kama kina Nia ya dhati ya kuiondoa CCM madarakani.
Unakumbuka Msiba wa Mzee kibao Mbowe alichofanyaKati ya mbowe na Lisu kuna mmoja ni agent na mwingine mzalendo
Kazi ya agent ni kuweka sawa mambo ya kijani pale yanapoharibika
Hivi uwa ni dhehebu gani Lissu mwenyewe hata sijuiDr Slaa ni Padre so lazima awe na wafuasi wachache na ndio sababu ilikuwa rahisi sana Mbowe kumtema
Lisu hata dhehebu lake limejulikana juzi tu pale Singida ndio sababu hadi Waislamu akina Shehe Ponda wanamuunga mkono bila hata kujiita Ustaadh Abubakar ๐๐๐