Huyu baba ana matatizo makubwa kama kweli aliwaahidiWanaCCM tunaopenda ukweli, basi ni huu " MAGUFULI UMEMPA USHINDI MAALIM SEIF KWENYE SAHANI YA DHAHABU"
Magufuli unaiuwa CCM yetu, huna dhamira nzuri na chama chetu, tunajua hadi yako kwa mzee mwinyi, na sasa Ahadi yako kwa Lowassa.
oooohhhhNani mwenye habari za uhakika kukamatwa Serukambi Dodoma na pesa njingi sana ambazo zilitumika katika operation za uchaguzi wa Hussein Mwinyi.
Pia Inasemekana hizo pesa zimetoka kwa Rostam
shehe, mwaka huu Wazanzibari mmeletewa tena Mndengereko wa pale Mkuranga.Tunaendelea kuwapeni habari zetu za tathmini. Bado timu iko visiwani ikitupatia tathmini mbali mbali za kisiasa na kijamii.
Huko visiwani kuna kijungu chapagwa...
Ukisema hivyo unamaanisha hao wengine hawakupata kura hata moja kutoka kwa wajumbe wa bara? Huoni hesabu zako zinakataa?Sio kweli wajumbe wa nec ccm Zanzibar jumla yake 68. 33 kati ya hao wamempa kura Dk Hussein. 35 wamegawana Dk Khalid na Mh Nahodha Kwa hiyo Dk Hussein Mwinyi amepata nusu ya kura za wajumbe wa nec kutoka Zanzibar. Watu wasiokuwa na nia safi wanaopenda mifarakano na kuendeleza siasa za chuki na ubaguzi Kwa maslahi wanayoyajua wao ndio wanaoeneza hizo propaganda. Lazima tuwapige vita watu wa aina hii Kwa mustakbali wa taifa letu.
Ukisema hivyo unamaanisha hao wengine hawakupata kura hata moja kutoka kwa wajumbe wa bara? Huoni hesabu zako zinakataa?Sio kweli wajumbe wa nec ccm Zanzibar jumla yake 68. 33 kati ya hao wamempa kura Dk Hussein. 35 wamegawana Dk Khalid na Mh Nahodha Kwa hiyo Dk Hussein Mwinyi amepata nusu ya kura za wajumbe wa nec kutoka Zanzibar. Watu wasiokuwa na nia safi wanaopenda mifarakano na kuendeleza siasa za chuki na ubaguzi Kwa maslahi wanayoyajua wao ndio wanaoeneza hizo propaganda. Lazima tuwapige vita watu wa aina hii Kwa mustakbali wa taifa letu.
Safari hii mtatumaliza kwa risasi Wazanzibar wote, hatukubali kupangiwa Rais
Hali ya Komandoo si unaifahamu?
Mwinyi ni wa MkurangaTwende Na Mwinyi Huko Zanzibar
"Maalim atashinda kura lakini Mwinyi atashinda uchaguzi".
Hapana hesabu hazijakataa ni ukweli usopingika mgombea pekee katika wagombea watatu aliyekuwa anakubalika pande zote mbili za ccm bara na zanzibar ni dk Hussein.Ukisema hivyo unamaanisha hao wengine hawakupata kura hata moja kutoka kwa wajumbe wa bara? Huoni hesabu zako zinakataa?
Mungu Ibariki Tz - MITz
Mkuu mbona unaota ndoto za jioni,Maalim katu hataweza kushinda na kuwa raisi wa Zanzibar .WanaCCM tunaopenda ukweli, basi ni huu " MAGUFULI UMEMPA USHINDI MAALIM SEIF KWENYE SAHANI YA DHAHABU"
Magufuli unaiuwa CCM yetu, huna dhamira nzuri na chama chetu, tunajua hadi yako kwa mzee mwinyi, na sasa Ahadi yako kwa Lowassa.
Unauhakika kuwa baba yake ni mpigakura wa Zanzibar?Kama kweli amekataliwa na znz wote ina maana atapata kura moja ambayo ni yake. Nasubiri hili litokee ili uwe right otherwise ni unafiki wa kisiasa tu. Yaani hata baba yake na mkewe?
Muda utaongea.
Kwani nani mwenye asili ya Zanzibar wengi wana asili ya BaraNi Dhahiri shahiri kuwa haya ni maneno ya wapinzani wa CCM huko Zanzibar wakijificha chini na ndani ya kichaka cha UTAFITI NA UCHAMBUZI. Fumbo mfumbie mjinga yahe mwerevu atalibaini tu.
Tumeshabaini rongo rongo na choko choko zenu wapinzani, kwa vile hamna pa kutokea, sasa mnataka kujikita ndani ya ubaguzi wa kitoto, wa huyu Mzanzibari Asili na huyu siyo au huyu Mpemba na huyu Mzanzibari na MZANZIBARA! Tunazijua hizo zote na kama wasemavyo TCRA, Mjanja Haingizwi Chaka!
Safari hii mtatumaliza kwa risasi Wazanzibar wote, hatukubali kupangiwa Rais
Achana na chadema hizo mada Wala waanzilishi sio Wana CCM Ni Chadema.Hakuna chama kikichojaa wambeya Kama ChademaSio kweli wajumbe wa nec ccm Zanzibar jumla yake 68. 33 kati ya hao wamempa kura Dk Hussein. 35 wamegawana Dk Khalid na Mh Nahodha Kwa hiyo Dk Hussein Mwinyi amepata nusu ya kura za wajumbe wa nec kutoka Zanzibar. Watu wasiokuwa na nia safi wanaopenda mifarakano na kuendeleza siasa za chuki na ubaguzi Kwa maslahi wanayoyajua wao ndio wanaoeneza hizo propaganda. Lazima tuwapige vita watu wa aina hii Kwa mustakbali wa taifa letu.
Nimejaribu kupitia comments. Bado hakuna hoja za kubainisha ushindi wa dr Hussein isipokuwa kwa kujiegemeza kwenye historia tu ya kutumika vyombo vya dola.Propaganda hizi
As long as Mwana CCM hawezi kuitetea Zanzibar kwa njia yoyote ile basi hilo ni pengo kwa mazingira ya Zanzibar na ni turufu kwa upinzani. Kwa sababu ya maelekezo ya chama, Wazanznibari walio CCm wameprove failure kuthubutu kupigania maslahi ya Zanzibar.Kwani nani mwenye asili ya Zanzibar wengi wana asili ya Bara