hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Watakataje tamaa wakati kuna madege, mameli, mabwawa, mabarabara, madaraja, mareli na makodi mengi mengi...??
Hao wananchi hawaoni nchi ipo uchumi wa kati?
Hahaha 😂 😂 Kaka kwa maneno Haya jiandae kumtafuta mtu wa kukuwekea dhamana