Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
neno huru kwako lina maan a tofauti na maana halisi ya watu kuwa huru. Kwetu tuna umeme tangu mwaka juzi, lakini wewe unaongea umeme wa leo. Mpaka sasa hivi kuna vijana wana ajira za "fundi umeme" ambao wanatandika waya za umeme kwenye nyumba kwa malipo laki moja na nusu hadi laki mbili pamoja na gharama za vifaa. Wewe endelea kulala na kuota tu, wengine wameshaamka wako kazini sasa.
Mwaka jana kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ndugu zako walichagua viongozi au walilazimishiwa viongozi na CCM kama vijiji vingine vyote nchini vilivyofanyiwa?
Bila dhulma, uonevu na kupora chaguzi CCM ishakataliwa nchini