Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili huenda mwiko unaenda kuvunjika

Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili huenda mwiko unaenda kuvunjika

Kijiji gani??we ongelea kijijini kwenu tu mzee, huko kwenu inaelekea bado ni ulimwengu wa giza...mi nafanya projects vijijini mikoa tofati watu wameamka mnoo!!watu hawaitaki Ccm na Ccm mwaka huu inaanguka
Kama unafanya project vijijini, basi ndiko kwenye waliolala wanaotegemea projects za NGO. Huwezi kufika kijijini kwetu kwa vile wao hawategemei project hizo bali wanajitegemea wenyewe na wako happy sana na maisha sasa hivi kuliko enzi zozote. Nyumba za nyasi zinafutika haraka sana kwa sababu kila familia inataka umeme nyumbani; nyumba za nyasi zimebaki kama asilimia kumi tu ya kijiji (na kata) chote. Mwendo ni wa aina hiyo hiyo kwenye kiwango cha kata na tarafa pia; sasa hivi vijiji vimekuwa kama vinashindana kufuta nyumba za nyasi.
 
Kijiji gani??we ongelea kijijini kwenu tu mzee, huko kwenu inaelekea bado ni ulimwengu wa giza...mi nafanya projects vijijini mikoa tofati watu wameamka mnoo!!watu hawaitaki Ccm na Ccm mwaka huu inaanguka
Walisema huko kanda ya ziwa Lissu hawamjui jana na juzi wameona Kazi ya Rukwa, Mpanda, sumbawanga na Kigoma. Wanaweseseka tu
 
Kama unafanya project vijijini, basi ndiko kwenye waliolala wanaotegemea projects za NGO. Huwezi kufika kijijini kwetu kwa vile wao hawategemei project hizo bali wanajitegemea wenyewe na wako happy sana na maisha sasa hivi kuliko enzi zozote. Nyumba za nyasi zinafutika haraka sana kwa sababu kila familia inataka umeme nyumbani; nyumba za nyasi zimebaki kama asilimia kumi tu ya kijiji (na kata) chote. Mwendo ni wa aina hiyo hiyo kwenye kiwango cha kata na tarafa pia; sasa hivi vijiji vimekuwa kama vinashindana kufuta nyumba za nyasi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Walisema huko kanda ya ziwa Lissu hawamjui jana na juzi wameona Kazi ya Rukwa, Mpanda, sumbawanga na Kigoma. Wanaweseseka tu
Ndo namwambia huyo ndugu yangu kuachana na ushabiki,CDM huko vijijini inaamsha vibaya sana,yeye atakua anaongelea Chato labda!!watu wameamka sana miaka hii
 
October 28 ni mbali sana. Mh. saana Mwenyekiti wangu wa CCM ana kazi nzito sana.

Hakuna kazi ngumu kama kumshawishi mtu aliyekata tamaa, na mbaya zaidi wasaidizi wako wanakuhujumu kwa kuendelea kuwapotezea matumaini.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, kwa tume huru na uchaguzi wa haki naiona jinsi meza inavyogeuka kwa speed.

Mungu ni mwema, haki huinua taifa. Kama Taifa tusimamie haki, sioni ubaya mimi CCM kuona tunashindwa na kuwa wapinzani ikiwa pana haki.

Tanzania ni zaidi ya chama, Tanzania ni zaidi ya mtu au kikundi maslahi.
 
Wasalam,

Pamoja na mazuri yote aliyofanya Mh magufuli bado wingu jeusi limetanda ndani ya ccm kutokana na uasi wa baadhi ya wanaccm.
Kuna kila dalili kwamba ccm inaenda kushindwa kwa fedhea ktk uchaguzi wa Oct 28.

Dalili moja mbaya ni kwamba wananchi ambao ni wapiga kura wamekata tamaa kutokana na ugumu wa Maisha na wengi wameapa kuikataa ccm Oct 28, huenda Tanzania ikaandika historian kwa Rais kuongoza kipindi kimoja cha miaka5.

Dalili zinaonesha Watanzania hawana imani na CCM pamoja na rais magufuli.

Maendeleo yana vyama.
Too low
 
Walisema huko kanda ya ziwa Lissu hawamjui jana na juzi wameona Kazi ya Rukwa, Mpanda, sumbawanga na Kigoma. Wanaweseseka tu
Kujipa matumaini ni jambo zuri sana kwa sababu husaidia katika kutunza sanity yako. Lakini subiri Octiber 28 ambayo ndiyo fainali. Zimebaki siku chache sana
 
Kwetu ni pazuri sana huenda kuliko kwenu; wako vizuri sana kibiashara, hawategemei pesa za mkato mkato ambazo ndizo zinazoliliwa na watu wengi hapa. Umewahi kuona watu wanaofanya biashara za kihalali wakililamika? Hii ya kupungua hela kwenye mzunguko ni jambo la muhimu sana kuimarisha uchumi. Mkapa aliimarisha sana mzunguko wakati wake lakini yaliyofuata ndiyo tunayokumbuka leo; kuna wakati inflation ilikuwa inapanda. Sasa hivi inflation imekuwa controlled tena kama alivyoacha Mkapa.

Sijui kama unajua kusoma graph!


View attachment 1574815

Sijui kama bado unaikumbuka picha hii pamoja na vikatuni vilivyofuatia

View attachment 1574817


Saada Mkuya Waziri wa FEDHA enzi hizo.
 
Haya maudhui yako ya ndoto sio. Moderator futa mbali.
Wingu jeusi ni utabiri tu.
 
Ninaongea kila wiki na ndugu zangu huko kijijini; hakuna wanaojua chama cha upinzani, wanasema tangu mwaka 2010 wakati CHADEMA ilikuwa imeanza kujikita hapo kijijini, leo hii hakuna chama zaidi ya CCM. Wanashindwa kutofautisha kati ya serikali na CCM; kwao huwezi kuwaambia jambo dhidi ya CCM, ndiyo maana nina uhakika kuwa CHADEMA kinacheza kujifurahisha tu, ila siyo kutafuta ushindi. Ushindi hauji kwa mtindo huu wa CHADEMA.
October hao ndugu zako wataondoka kwenye enzi za ujima.
 
October hao ndugu zako wataondoka kwenye enzi za ujima.
Wako developed sana siku hizi; hawana vibatari wala taa za chemli, na kidogo kidogo wanaachana na majiko ya kuni na mkaa. Inawezekana wewe unawasiliana na vijiji vinavyoishi maisha ya ujima, na unadhani kuwa Tanzania yote iko hivyo. Kiongozi wa CHADEMA anayesema kuwa ataboresha maisha ya watanzania wakati hajaboresha maisha ya wafanyakazi wa CHEADEMA bado wako hoi, ni wa kuogopwa kama ukoma! Ofisi ya makao makuu ya Chedama ni kama nyumba ya mtu wa kawaida sana kijijini kwetu.
 
Wako developed sana siku hizi; hawana vibatari wala taa za chemli, na kidogo kidogo wanaachana na majiko ya kuni na mkaa. Inawezekana wewe unawasiliana na vijiji vinavyoishi maisha ya ujima, na unadhani kuwa Tanzania yote iko hivyo. Kiongozi wa CHADEMA anayesema kuwa ataboresha maisha ya watanzania wakati hajaboresha maisha ya wafanyakazi wa CHEADEMA bado wako hoi, ni wa kuogopwa kama ukoma! Ofisi ya makao makuu ya Chedama ni kama nyumba ya mtu wa kawaida sana kijijini kwetu.
Hao ndugu zako hawako huru, hawawezi hata kuhoji ni kwanini umeme wa REA unasambazwa kwa kasi kubwa kipindi hiki cha uchaguzi wakati uzalishaji wetu wa umeme haujaongezeka.
 
,
IMG_20200919_183100.jpg
 
Nchi sio chama, nchi Ni katiba chama chochote chaweza kuongoza Kama kikiaminiwa na wananchi
 
Mgombea wa ccm hauziki tuliwaambia wabadili mgombea awakusikia,
 
Back
Top Bottom