Uchaguzi 2020 Kuna kila dalili huenda mwiko unaenda kuvunjika

Watakataje tamaa wakati kuna madege, mameli, mabwawa, mabarabara, madaraja, mareli na makodi mengi mengi...??
Hao wananchi hawaoni nchi ipo uchumi wa kati?

Hahaha 😂 😂 Kaka kwa maneno Haya jiandae kumtafuta mtu wa kukuwekea dhamana
 

Miaka 50 ya uhuru unampa mtu kura kwa Sababu ya umeme duh
 
Kuna Jambo Lissu ataachia wiki ya mwisho litawatikisa watesi wake.
 
Siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati, niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga". Dkt.Magufuli
 
Jiandae kisaikolojia, Magufuli atashinda kwa kishindo kikuu hiyo Oct 28.Lissu hawezi kuwa Rais wa tanzania, ukawa walichemsha 2015, ndio basi tena.
Kuna maccm kama Polepole yana DHAMBI. Unafunga MIRIJA ya UCHUMI Nchi nzima. Wananchi wanalia NJA.

Wakisema vyuma vimekaza eti unawafunga badala kufungua mirija ya Uchumi.

Huu ujinga wote unafanywa ili uweze kuwaDHIBITI siku ya UCHAGUZI kwa kuwapa buku mbili wajaze viwanja.
 
Delete ccm Oct 28
 
Wafanyabiashara hoi,wakulima masoko hamna, wafanyakazi miaka mitano(hamna nyongeza ya mishahara, kupanda madaraja kiduchu,wamezuia uhamisho toka 2018),vijana wanahitimu maelfu kwa maelfu ajira hamna, watu wameachishwa kazi kwa kisingizio cha vyeti, maisha mtaani kila mtu siri yake,ccm watachomokea wapi, labda utokee muujiza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaviburudisho na post za comedy ingia Jamii forum fungua thread za makamanda.
Wanasubiri kuapishwa Tobo Lissu km sabato masalia walivyokuwa wanasubiri uwanja wa ndege kwenda ulaya bila passport! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Acha kujichamba na kunusa kidole mkuu!!!
Dunia inaenda kwa kasi sana.

Ushindi wa CCM unategemea dola tu kufumbia hila ya wizi wa kura utakao fanyika. Wakifeli hii njia ndo basi Tena.
 
 
Dalili moja mbaya ni kwamba wananchi ambao ni wapiga kura wamekata tamaa kutokana na ugumu wa Maisha
Unafuu wa maisha unaanza kwa wewe kuwa na familia ndogo unayoweza kuimudu. .. Mshahara wa laki saba, una mke na watoto watano na wazazi wanakutegemea, huo unafuu unautoa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…