Watakataje tamaa wakati kuna madege, mameli, mabwawa, mabarabara, madaraja, mareli na makodi mengi mengi...??
Hao wananchi hawaoni nchi ipo uchumi wa kati?
Tunagombana bure Watanzania, kila mtu anajia kura yake ataipeleka wapi na kwasababu zipi. Kusema ukweli mimi nitaipeleka kwa Magufuli kwa sababu kama tatu kwanza umeme kufika kijijini kwetu na nyumbani ninautumia tena unit 75 nalipia 9150, pili maji salama na safi ninayatumia nyumbani na hayakatiki mwaka mzima nalipia tsh 9000 kwa mwaka na mwisho ni mawasiliano ya simu mitandao yote inapatikana mpaka uvunguni zamani tulikuwa tukitumia mitandao ya Burundi.
Ni kwa sababu hizo tu nitaipigia tena kura CCM na wagombea wake wote nilijia Philip Isdory Mpango atakuwa mbunge wangu
Hahahahaa. Ngojaaa kipogo cha tar 29 hatari. Ndo utajua kama we sexieOne in a million. Negligible.
Ndge john karudi tena.nilijua anafanya masihara
Ana wanyonge wake huko CCM tu, kiboko yake TUNDU LISSU.....Ila mkuu akishinda kunawatu watakiona cha mla kuni.
Kuna maccm kama Polepole yana DHAMBI. Unafunga MIRIJA ya UCHUMI Nchi nzima. Wananchi wanalia NJA.Jiandae kisaikolojia, Magufuli atashinda kwa kishindo kikuu hiyo Oct 28.Lissu hawezi kuwa Rais wa tanzania, ukawa walichemsha 2015, ndio basi tena.
Delete ccm Oct 28One picture of Dr Magufuli sitting on a lonely boulder on a Ubungo Flyover Road side intently listening to barefoot Machingas went viral.
That picture symbolised deliberative government, grassroots consultation, servant leadership and humility.
In Dr Magufuli’s Tanzania, no citizen is too small. The biggest office is that of a citizen, not President What’s happening in Tanzania is revolutionary.
Presidents elsewhere should come to benchmark in Tanzania, not Belgium.
Acha kujichamba na kunusa kidole mkuu!!!Ninaongea kila wiki na ndugu zangu huko kijijini; hakuna wanaojua chama cha upinzani, wanasema tangu mwaka 2010 wakati CHADEMA ilikuwa imeanza kujikita hapo kijijini, leo hii hakuna chama zaidi ya CCM. Wanashindwa kutofautisha kati ya serikali na CCM; kwao huwezi kuwaambia jambo dhidi ya CCM, ndiyo maana nina uhakika kuwa CHADEMA kinacheza kujifurahisha tu, ila siyo kutafuta ushindi. Ushindi hauji kwa mtindo huu wa CHADEMA.
Wasalam,
Pamoja na mazuri yote aliyofanya Mh magufuli bado wingu jeusi limetanda ndani ya ccm kutokana na uasi wa baadhi ya wanaccm.
Kuna kila dalili kwamba ccm inaenda kushindwa kwa fedhea ktk uchaguzi wa Oct 28.
Dalili moja mbaya ni kwamba wananchi ambao ni wapiga kura wamekata tamaa kutokana na ugumu wa Maisha na wengi wameapa kuikataa ccm Oct 28, huenda Tanzania ikaandika historian kwa Rais kuongoza kipindi kimoja cha miaka5.
Dalili zinaonesha Watanzania hawana imani na CCM pamoja na rais magufuli.
Maendeleo yana vyama.
Unafuu wa maisha unaanza kwa wewe kuwa na familia ndogo unayoweza kuimudu. .. Mshahara wa laki saba, una mke na watoto watano na wazazi wanakutegemea, huo unafuu unautoa wapi?Dalili moja mbaya ni kwamba wananchi ambao ni wapiga kura wamekata tamaa kutokana na ugumu wa Maisha