Kuna kila dalili kuwa Putin kaanza kukata tamaa!

Kuna kila dalili kuwa Putin kaanza kukata tamaa!

Uko sahihi hapo no.1, 3 na 4

Sababu ni kwamba malengo yake yameishatimia, coz majimbo aliyoyataka kaishayakamata so vita ya nin tena

Na sitashangaa naye akianza kutumia human shield kama Ukraine ataendelea kushambulia majimbo hayo baada ya referendums
 
Sitashangaa kumwona Putin akikokotwa kuelekea mahakamani siku moja kama ana bahati nzuri vinginevyo atauawa kwa staili ya akina Saddam na Ghaddafi.
Mmh Urusi usiifananishe na hao kina Iraq wala Libya mkuu
 
Back
Top Bottom