Kipenda roho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 488
- 939
Hata kwa mchina mtajiuliza successor ni nani, wamashariki wana mifumo yao tofauti na mlivyokariri huko wa magharibi , successor yupo na anaweza akawa roho mbaya zaidi ya huyo aliekuwepo, kwani kuna siku Mmarekani alipanga au alijua kwamba ataibuka Putin??? Wao walishajua walimaliza kazi na kibaraka wao Gorbachev kumbe walikua wanaliwa timing tu.....hayo mawazo yenu pelekeni kwa nchi mlizozea kuzionea za Afrika na waarabu huko......ila kwa mrusi na mchina mipango yenu inafeli vibaya sana
You will swallow your pride this time !! The US is more than determined to finish up Russia [emoji635] once and for all ! Could you have ever imagined demonstrations against the government in the Soviet Russia ? It is happening in this generation! Where is the eastern block ? Crumbled during the Reagan administration! Where is Xi by now ?