Kuna Kila Dalili Mbowe akawa Rais wa Tanganyika(TZ) 2025, jela Tu ndo itamzuia

Ndoto yako ikitimia Mbowe ndio atakuwa Rais alieingia madarakani kwa mara ya kwanza akiwa Kikongwe zaid


Julius aliingia akiwa na 40
Ally aliingia akiwa na 60
Benja akiwa na 58

Jakaya akiwa na 55
John akiwa na 56
Samia akiwa na 61
Biden na 90

Katika maisha historia huja kwa majira yake... na kila mtu ana time zone yake
 
Next president ni Tundu Lissu
 
Halafu Tundu Lisu itakuwaje wakati ndio Rais wetu.... wale jamaa hata EL akienda tena kugombea 2025 watampa tu...
 
Ndoto yako ikitimia Mbowe ndio atakuwa Rais alieingia madarakani kwa mara ya kwanza akiwa Kikongwe zaid


Julius aliingia akiwa na 40
Ally aliingia akiwa na 60
Benja akiwa na 58

Jakaya akiwa na 55
John akiwa na 56
Samia akiwa na 61
Akiwa kikongwe wewe itakupunguzia nini maishani mwako?
 
Bila ya kumuomba Magufuli msamaha no chance, chadema na Mbowe hawawezi kushinda uchaguzi Tanzania kwa kumtukana na kumdhihaki Magufuli (RIP).

Magufuli anajeshi kubwa sana nchi hii la Watanzania Waislamu na Wakristo wote, ndo maana hata CCM wenyewe hawajielewi.
 
Akili matope tupu
 
"Age is just a number.".

Hizo rekodi zako za miaka unazoziweka labda hadi za kina Dr. Msukuma, Dr. Jaffo, Dr. Majaliwa au Dr. Vitendo hazina tija yoyote mjomba.

Hiiiiii bagosha!
Dr Msukuma Kasheku!!!!!

Very soon tutakuja na Dr Jah People
 
Nimeongea ki ukweli sana. WAchaga si watu wa kuwapa nchi. Wanaweza sana kushika nyadhida za juu za serikali wakiwa chini ya mamlaka dhibiti, lakii si kuwaacha wao ndio wawe vingozi wa nchi. TUMEKWISHA.
Wewe ni mbulula sana kiakili na ni mbaguzi mshenzi
 
Akili za ukilaza kutoka kwa kilaza mkuu wa mavilaza.
 
Sukuma gang mtanyooka tu safari hii
 
huyo bonge nyanya wa ccm hata akisimamishwa na kingwendu anapigwa asubuhi kweupe.
 

Wapi nimesema Mbowe ni bora zaidi kuliko Samia au hata kuliko nani?

Nimesema sote sisi ni watanzania. Tuache kila mtu atupe karata yake kwa uhuru na haki, kama vipi ukiwamo pia wewe ukitaka.

Aliye bora zaidi kwenye mchakato huo ataibuka mshindi kama walivyo patikana kina Obama.

Kwamba kuna wachezaji caliber za kina Messi, lakini nanyi kina Samatta mmeng'ang'ania namba? Hamuoni hata aibu wajameni?

Zaidi sana huo ni usaliti!

Kwamba hamtaki mchakato ulio huru, wa haki na wenye kuaminika, basi nyote na genge lenu mmedhamiria kutubambikia mtu feki.

Tuna stahili kilicho bora!
 
Wachaga hawafai kupewa hata ubalozi wa Nyumba kumi. Tatizo ni uchagaa ni very tribalism
 
Kwani wewe kila unacho comment lazima kiwe na effect kwenye personal life yako?
Inaonekana umetoa hiyo comment makusudi kabisa na kwa uzito mkubwa.

Inaonyesha una ajenda iliyo nyuma ya pazia juu ya mh Mbowe.
 
Kituko mbowe awe rais wa tz? Ha ha ha

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…