gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
CCM,wazazi wake hela ya kimpumu hawakua nayo wangeweza lipa ada o,a level chuo!?Amelelewa na kusomeshwa na wazazi wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM,wazazi wake hela ya kimpumu hawakua nayo wangeweza lipa ada o,a level chuo!?Amelelewa na kusomeshwa na wazazi wake.
Wewe na Magufuli nani mkweli?!Tpdc ina hisa 40% gas mtwara
Sawa kabisa kwenye "Kangarooo COURTS TANZANIA"Wakati wa mahojiano na mwandishi Chief Odemba katika kipindi cha Medani za Siasa, bila kupepesa macho Lissu alisema maneno yafuatayo " mimi siwezi kuwa CCM, CCM ni majizi, CCM ni madalali ya maliasili zetu ,yameuza bandari yetu, yameuza mbuga zetu kwa waarabu, mama Abdul ameuza kila kitu cha nchi hii"
Kwa uchafuzi huu usio na kifani na madhara yake yasiyorekebishika sidhani kama CCM watakubali hili suala lipite juu juu.
Mama Abdul huyuhuyu anayesemwa na Lissu ameua nepotism ambayo ilikuwa Sugu nchi hii. Amemchukua mtu anayetoka familia maskini pale Mkuranga ambaye hana connection yoyote CCM na serikalini na kumpa uwaziri wa Tamisemi.
Amewajengea wamasai nyumba za kisasa hapo Tanga, pia wale walioamua kubaki kwa hiari yao wamepewa miundombinu yote muhimu hukohuko Ngorongoro. Leo hii huu upendo Lissu anaupa jina la udalali na wizi.
CCM tuhakikishe tunampeleka mahakamani na kuchukua kila senti yake ili kuwa funzo kwa wengine.
Nikajua unaandika vitu vya maana kumbe mpiga zumari wa mtu sio maendeleo tunakazi kubwa sana kama taifa kufika nch ya ahaid maziwa na asaliWakati wa mahojiano na mwandishi Chief Odemba katika kipindi cha Medani za Siasa, bila kupepesa macho Lissu alisema maneno yafuatayo " mimi siwezi kuwa CCM, CCM ni majizi, CCM ni madalali ya maliasili zetu ,yameuza bandari yetu, yameuza mbuga zetu kwa waarabu, mama Abdul ameuza kila kitu cha nchi hii"
Kwa uchafuzi huu usio na kifani na madhara yake yasiyorekebishika sidhani kama CCM watakubali hili suala lipite juu juu.
Mama Abdul huyuhuyu anayesemwa na Lissu ameua nepotism ambayo ilikuwa Sugu nchi hii. Amemchukua mtu anayetoka familia maskini pale Mkuranga ambaye hana connection yoyote CCM na serikalini na kumpa uwaziri wa Tamisemi.
Amewajengea wamasai nyumba za kisasa hapo Tanga, pia wale walioamua kubaki kwa hiari yao wamepewa miundombinu yote muhimu hukohuko Ngorongoro. Leo hii huu upendo Lissu anaupa jina la udalali na wizi.
CCM tuhakikishe tunampeleka mahakamani na kuchukua kila senti yake ili kuwa funzo kwa wengine.
Lisu ndiyo anataka mahakamani kuliko CCMWakati wa mahojiano na mwandishi Chief Odemba katika kipindi cha Medani za Siasa, bila kupepesa macho Lissu alisema maneno yafuatayo " mimi siwezi kuwa CCM, CCM ni majizi, CCM ni madalali ya maliasili zetu ,yameuza bandari yetu, yameuza mbuga zetu kwa waarabu, mama Abdul ameuza kila kitu cha nchi hii"
Kwa uchafuzi huu usio na kifani na madhara yake yasiyorekebishika sidhani kama CCM watakubali hili suala lipite juu juu.
Mama Abdul huyuhuyu anayesemwa na Lissu ameua nepotism ambayo ilikuwa Sugu nchi hii. Amemchukua mtu anayetoka familia maskini pale Mkuranga ambaye hana connection yoyote CCM na serikalini na kumpa uwaziri wa Tamisemi.
Amewajengea wamasai nyumba za kisasa hapo Tanga, pia wale walioamua kubaki kwa hiari yao wamepewa miundombinu yote muhimu hukohuko Ngorongoro. Leo hii huu upendo Lissu anaupa jina la udalali na wizi.
CCM tuhakikishe tunampeleka mahakamani na kuchukua kila senti yake ili kuwa funzo kwa wengine.
Hilo hata wao wanalijua snCcm hawamuwezi Lissu, itabidi tu waungane nae
Kwa haki hawamuwezi kabisa.Hilo hata wao wanalijua sn
Unaonekana humjui vizuri huyo jamaa.. usifikiri anaongea kama kengele... Nakuuliza wewe CCM ni nani? kwa mfano akitafsiri kuwa CCM = Chama Cha Majizi.. halafu Wewe ndio umeenda kushtaki ukaambiwa uthibitishe kuwa CCM yako ndio hicho alichosema utakuwa na kesi?Wakati wa mahojiano na mwandishi Chief Odemba katika kipindi cha Medani za Siasa, bila kupepesa macho Lissu alisema maneno yafuatayo " mimi siwezi kuwa CCM, CCM ni majizi, CCM ni madalali ya maliasili zetu ,yameuza bandari yetu, yameuza mbuga zetu kwa waarabu, mama Abdul ameuza kila kitu cha nchi hii"
Kwa uchafuzi huu usio na kifani na madhara yake yasiyorekebishika sidhani kama CCM watakubali hili suala lipite juu juu.
Mama Abdul huyuhuyu anayesemwa na Lissu ameua nepotism ambayo ilikuwa Sugu nchi hii. Amemchukua mtu anayetoka familia maskini pale Mkuranga ambaye hana connection yoyote CCM na serikalini na kumpa uwaziri wa Tamisemi.
Amewajengea wamasai nyumba za kisasa hapo Tanga, pia wale walioamua kubaki kwa hiari yao wamepewa miundombinu yote muhimu hukohuko Ngorongoro. Leo hii huu upendo Lissu anaupa jina la udalali na wizi.
CCM tuhakikishe tunampeleka mahakamani na kuchukua kila senti yake ili kuwa funzo kwa wengine.
Bimkubwa wa AbduliKwani mama Abdul ndo nani?
Ccm hakuna mwenye akili ya kushindana na lisu mahakamani, cha kufanya wampige risasi, maaana shetani jiwe alijaribu ikashindikanaWakati wa mahojiano na mwandishi Chief Odemba katika kipindi cha Medani za Siasa, bila kupepesa macho Lissu alisema maneno yafuatayo " mimi siwezi kuwa CCM, CCM ni majizi, CCM ni madalali ya maliasili zetu ,yameuza bandari yetu, yameuza mbuga zetu kwa waarabu, mama Abdul ameuza kila kitu cha nchi hii"
Kwa uchafuzi huu usio na kifani na madhara yake yasiyorekebishika sidhani kama CCM watakubali hili suala lipite juu juu.
Mama Abdul huyuhuyu anayesemwa na Lissu ameua nepotism ambayo ilikuwa Sugu nchi hii. Amemchukua mtu anayetoka familia maskini pale Mkuranga ambaye hana connection yoyote CCM na serikalini na kumpa uwaziri wa Tamisemi.
Amewajengea wamasai nyumba za kisasa hapo Tanga, pia wale walioamua kubaki kwa hiari yao wamepewa miundombinu yote muhimu hukohuko Ngorongoro. Leo hii huu upendo Lissu anaupa jina la udalali na wizi.
CCM tuhakikishe tunampeleka mahakamani na kuchukua kila senti yake ili kuwa funzo kwa wengine.
Nimesoma alafu nikarudia tena alafu nikachekaWakati wa mahojiano na mwandishi Chief Odemba katika kipindi cha Medani za Siasa, bila kupepesa macho Lissu alisema maneno yafuatayo " mimi siwezi kuwa CCM, CCM ni majizi, CCM ni madalali ya maliasili zetu ,yameuza bandari yetu, yameuza mbuga zetu kwa waarabu, mama Abdul ameuza kila kitu cha nchi hii"
Kwa uchafuzi huu usio na kifani na madhara yake yasiyorekebishika sidhani kama CCM watakubali hili suala lipite juu juu.
Mama Abdul huyuhuyu anayesemwa na Lissu ameua nepotism ambayo ilikuwa Sugu nchi hii. Amemchukua mtu anayetoka familia maskini pale Mkuranga ambaye hana connection yoyote CCM na serikalini na kumpa uwaziri wa Tamisemi.
Amewajengea wamasai nyumba za kisasa hapo Tanga, pia wale walioamua kubaki kwa hiari yao wamepewa miundombinu yote muhimu hukohuko Ngorongoro. Leo hii huu upendo Lissu anaupa jina la udalali na wizi.
CCM tuhakikishe tunampeleka mahakamani na kuchukua kila senti yake ili kuwa funzo kwa wengine.
CCM hawawezi kumburuza Lissu mahakamani.Wakati wa mahojiano na mwandishi Chief Odemba katika kipindi cha Medani za Siasa, bila kupepesa macho Lissu alisema maneno yafuatayo " mimi siwezi kuwa CCM, CCM ni majizi, CCM ni madalali ya maliasili zetu ,yameuza bandari yetu, yameuza mbuga zetu kwa waarabu, mama Abdul ameuza kila kitu cha nchi hii"
Kwa uchafuzi huu usio na kifani na madhara yake yasiyorekebishika sidhani kama CCM watakubali hili suala lipite juu juu.
Mama Abdul huyuhuyu anayesemwa na Lissu ameua nepotism ambayo ilikuwa Sugu nchi hii. Amemchukua mtu anayetoka familia maskini pale Mkuranga ambaye hana connection yoyote CCM na serikalini na kumpa uwaziri wa Tamisemi.
Amewajengea wamasai nyumba za kisasa hapo Tanga, pia wale walioamua kubaki kwa hiari yao wamepewa miundombinu yote muhimu hukohuko Ngorongoro. Leo hii huu upendo Lissu anaupa jina la udalali na wizi.
CCM tuhakikishe tunampeleka mahakamani na kuchukua kila senti yake ili kuwa funzo kwa wengine.
Kama wazazi wako ni malofa usifikirie kila mtu amezaliwa kimasikini , unawaza kimasikini sana wewe boyaCCM,wazazi wake hela ya kimpumu hawakua nayo wangeweza lipa ada o,a level chuo!?
Mbona hata majambazi wakitoa sadaka zinapokelewa? Wao wenyewe si wamejipendekeza kuweka hela kwenye account yake, cha mlevi huliwa na mgema mkuu wangu.Sasa kama CCM ni majizi mbona amepokea mchango wao wa gari kwa bashasha
Akili za kijima hizi, Lisu amelelewa na familia yake.Hivi ni chama gani kilimlea Tundulisu?