GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Akiri mbele ya Watanzania kuwa Yeye ni Mpumbavu ( Popoma ) na hana Mpinzani Tanzania, Afrika na Duniani.
2. Akiri kuwa kwa muda wake mfupi tu Madarakani ameua Watu wasio na Hatia kama alivyowahi Kuua aliyekuwa Rais wa Liberia Charles Taylor.
3. Akiri kuwa Yeye ni Mnafiki na siyo Mcha Mungu kama anavyotulazimisha na kwamba ana Waganga wa Kienyeji wengi na sasa anaye Yule wa Kigamboni ambaye alimuokoa Boss Mmoja wa TPA asifungwe Jela kwa Kuchukua Shati lake na kwenda kuzama nalo katikati ya Bahari ( Kina Kirefu ) kisha akaibuka nalo na kumwambia awe analivaa hilo hilo kila Kesi yake ikitajwa na akienda Kisutu ili asihukumiwe kwenda Jela Maisha kwa Ufisadi na ashinde Kesi mpaka arudishiwe Mali zake ( mojawapo ni Appartments zake ) zilizoko Mbezi Beach jirani na ilipo Nyumba ya Marehemu Komba na Benki ya NBC na pia si mbali na Makaburi ya Luventi Kawe.
Na kweli alichoahidiwa na huyo Mganga wa Kienyeji ambaye mwaka Juzi alitumiwa na Timu Kubwa anayoipenda GENTAMYCINE Tanzania ila sasa anatumiwa na Timu Kubwa anayoichukia GENTAMYCINE nchini Tanzania na anaisaidia sana katika Ligi Kuu ya NBC.
4. Upesi sana awatafute Wazee wa Kiume Watatu ( Mmoja alikuwa nae Ofisini Kwake ) Mjane Mmoja ( wa Mzee aliyemlea kwa 50% ) na Mama Mmoja aishiye kati ya Bunju na Tegeta na awapigie Magoti na Kuwaomba Msamaha tena ahakikishe akiwaomba huo Msamaha anawashika Miguu kabla ya Kupeana nao Mikono.
5. Aachane na Mpango wake wa kutafuta Wateja wa Hoteli yake Kubwa anayohangaika kutaka Kuiuza iliyoko Mkoani Mwanza bali aamue aigawe ama kwa Kanisa au Msikiti ili itumike na Watoto Yatima au awape tu Serikali ipange Matumizi yake.
6. Atusaidie kutuambia ni wapi alikozikwa Mwanaharakati Ben Saanane au alipo kwa sasa kwani Watanzania wenye Mapenzi nae tuna hamu ya Kumtembelea na Kuendelea kuchota Madini yake kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili alionao / aliokuwa nao.
7. Akiri kuwa Yeye ndiye aliyekuwa 'Mastermind' wa Kuumizwa kwa Mtanzania Mwenzetu ( ambaye sasa yuko katika nchi iliyoitawala sana Congo zote ile ya Kinshasa na Brazaville ) japo lengo la Kumtanguliza haraka Sebuleni kwa Mwenyezi Mungu Mbinguni halikutimia.
GENTAMYCINE namwambia ( Kiustaarabu, Kiupendo na Kiungwana ) kuwa atambe awezavyo, ila kama hatatekeleza haya haraka sana huenda mwaka huu 2022 au ule wa 2024 ukawa mbaya Kwake na asiamini ambayo ataenda Kukutana nayo.
Sijawahi kusema Jambo lisijitokeze.
ANGALIZO
Tafadhali hapa sijamtaja Mtu au Jina la Mtu hivyo sihitaji 'Visokolokwinyo' muanze kuja na 'Viherehere' vyenu na Kumtaja na Kulazimisha kuwa niliyemlenga hapa ni huyo mnayemdhania nyie.
Unamjua au Umemhisi 'Kausha' na baki nalo Moyoni / Rohoni ila siyo 'Kushoboka' na Kumtaja hapa.
2. Akiri kuwa kwa muda wake mfupi tu Madarakani ameua Watu wasio na Hatia kama alivyowahi Kuua aliyekuwa Rais wa Liberia Charles Taylor.
3. Akiri kuwa Yeye ni Mnafiki na siyo Mcha Mungu kama anavyotulazimisha na kwamba ana Waganga wa Kienyeji wengi na sasa anaye Yule wa Kigamboni ambaye alimuokoa Boss Mmoja wa TPA asifungwe Jela kwa Kuchukua Shati lake na kwenda kuzama nalo katikati ya Bahari ( Kina Kirefu ) kisha akaibuka nalo na kumwambia awe analivaa hilo hilo kila Kesi yake ikitajwa na akienda Kisutu ili asihukumiwe kwenda Jela Maisha kwa Ufisadi na ashinde Kesi mpaka arudishiwe Mali zake ( mojawapo ni Appartments zake ) zilizoko Mbezi Beach jirani na ilipo Nyumba ya Marehemu Komba na Benki ya NBC na pia si mbali na Makaburi ya Luventi Kawe.
Na kweli alichoahidiwa na huyo Mganga wa Kienyeji ambaye mwaka Juzi alitumiwa na Timu Kubwa anayoipenda GENTAMYCINE Tanzania ila sasa anatumiwa na Timu Kubwa anayoichukia GENTAMYCINE nchini Tanzania na anaisaidia sana katika Ligi Kuu ya NBC.
4. Upesi sana awatafute Wazee wa Kiume Watatu ( Mmoja alikuwa nae Ofisini Kwake ) Mjane Mmoja ( wa Mzee aliyemlea kwa 50% ) na Mama Mmoja aishiye kati ya Bunju na Tegeta na awapigie Magoti na Kuwaomba Msamaha tena ahakikishe akiwaomba huo Msamaha anawashika Miguu kabla ya Kupeana nao Mikono.
5. Aachane na Mpango wake wa kutafuta Wateja wa Hoteli yake Kubwa anayohangaika kutaka Kuiuza iliyoko Mkoani Mwanza bali aamue aigawe ama kwa Kanisa au Msikiti ili itumike na Watoto Yatima au awape tu Serikali ipange Matumizi yake.
6. Atusaidie kutuambia ni wapi alikozikwa Mwanaharakati Ben Saanane au alipo kwa sasa kwani Watanzania wenye Mapenzi nae tuna hamu ya Kumtembelea na Kuendelea kuchota Madini yake kutokana na Uwezo wake mkubwa wa Akili alionao / aliokuwa nao.
7. Akiri kuwa Yeye ndiye aliyekuwa 'Mastermind' wa Kuumizwa kwa Mtanzania Mwenzetu ( ambaye sasa yuko katika nchi iliyoitawala sana Congo zote ile ya Kinshasa na Brazaville ) japo lengo la Kumtanguliza haraka Sebuleni kwa Mwenyezi Mungu Mbinguni halikutimia.
GENTAMYCINE namwambia ( Kiustaarabu, Kiupendo na Kiungwana ) kuwa atambe awezavyo, ila kama hatatekeleza haya haraka sana huenda mwaka huu 2022 au ule wa 2024 ukawa mbaya Kwake na asiamini ambayo ataenda Kukutana nayo.
Sijawahi kusema Jambo lisijitokeze.
ANGALIZO
Tafadhali hapa sijamtaja Mtu au Jina la Mtu hivyo sihitaji 'Visokolokwinyo' muanze kuja na 'Viherehere' vyenu na Kumtaja na Kulazimisha kuwa niliyemlenga hapa ni huyo mnayemdhania nyie.
Unamjua au Umemhisi 'Kausha' na baki nalo Moyoni / Rohoni ila siyo 'Kushoboka' na Kumtaja hapa.