Kumbe hupogo? Ulipoteaga hapa kati nikadhani na wewe umetekwa kwa kudhulumu kwenye udalali.Tofauti na kipindi hicho ilikua anayeamua ni mmoja,
Asaivi ni kama vile yeyote anayeweza akijisikia.
Nahisi tunakoelekea ndio njia nzuri ya kurudi katika kuheshimia
Ndo maana tunasisitiza jiwe afe tena huko kuzimu. La sivyo hii tabia mbofumbofu ya utekaji itaendelea.Si mlisema Jiwe ndo anateka na Kuua watu, mkasifia serikali ya maza ni safi, nini sasa kinachotokea sasa hivi?
[emoji16][emoji16]Ndo maana tunasisitiza jiwe afe tena huko kuzimu. La sivyo hii tabia mbofumbofu ya utekaji itaendelea.
Dogo unanichafua, Nipo kwenye mchakato wa kupewa u moderator halafu unaniita Dalali?Kumbe hupogo? Ulipoteaga hapa kati nikadhani na wewe umetekwa kwa kudhulumu kwenye udalali.
Hivi yule binti wa kiarabu aliyetekewa msasani peninsula alitekwa na mamlaka?Umteke unaemdai umpeleke wapi...si bora unampiga cha moto tu. Hata South Africa walokubuhu kwa visasi hawatekani...kuteka ni kujiongezea kazi na hatari. Mara nyingi kibongobongo mamlaka ndio zinazoweza kukuteka
Vita ya ubunge huko Iramba! Manila kibubu hataki ushindani maana anajua atashindwaMfano ni mkoani Singida, familia tatu zinawalilia ndugu zao walio tekwa na watu wasiojulikana.
Familia mbili za huko Wilaya ya Iramba, zinazoishi karibu na Loya, zinalia kupotelewa na wafanyabiashara wa mazao jinsia yao ni wanaume wawili. Wawili hao inasemekana walitekwa na gari nyeupe aina ya Toyota LC. Na tukio hilo lilitukia tokea Oktoba mwaka jana.
Tukio jingine fanani na hilo limetukia ndani ya Manispaa ya Singida, likiwahusisha wafanyabiashara wa mbao nao ni wawili wa familia moja. Kama sikosei, walitekwa na gari fanani na ile iliyotajwa hapo juu na kwa ufanano uleule wa utekwaji. Nao ni wanaume.
Kipi kinaendelea kwa aina hiyo ya kutoweshwa!?