Kuna kipi kinaendelea? Mbona kila kona malalamiko ni ndugu kupotelewa na jamaa zao?

Kumbe hupogo? Ulipoteaga hapa kati nikadhani na wewe umetekwa kwa kudhulumu kwenye udalali.
Dogo unanichafua, Nipo kwenye mchakato wa kupewa u moderator halafu unaniita Dalali?
 
Tatizo letu tunachukulia utani hili Jambo. Siku likishika Kasi hakuna pakujificha.
 
Umteke unaemdai umpeleke wapi...si bora unampiga cha moto tu. Hata South Africa walokubuhu kwa visasi hawatekani...kuteka ni kujiongezea kazi na hatari. Mara nyingi kibongobongo mamlaka ndio zinazoweza kukuteka
Hivi yule binti wa kiarabu aliyetekewa msasani peninsula alitekwa na mamlaka?
Kuna watu wametekwa na wao syo wanaharakati,hawajidhugulishi na siasa

Ova
 
Vita ya ubunge huko Iramba! Manila kibubu hataki ushindani maana anajua atashindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…