Kuna kipindi wasanii, viongozi wa dini na CHAWA wamewahi kuingia mara nyingi Ikulu kama sasa hivi?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Ikulu ya Magogoni imewakarimu sana viongozi wa dini na wasanii wakiambatana na CHAWA. Nadhani hiki ni kipindi ambacho kila mwezi hata makundi lazima yawe Ikulu.

Je, huu ni ukarimu? Na ukarimu huu unamchango wowote kwa wananchi maskini? Lengo la huu ukarimu ni nini kitaifa?

Maskini waliopo kijijini wanapataje huu ukarimu? Je, si wakati sasa wa DC na RC kuwa na ukaribu kama huu wa kitaifa ili tuwafikie watu wengi zaidi?
 
Nimenjoy sana Futari ya Mama

Nyie endeleeni kulia Lia sisi tunakula mema ya nchi

Endeleeni na ushamba wa kupiga picha nyumba ya Bonge yai
 
IKULU ni mahala PATAKATIFU....siojumba la Hovyohovyo....

The birds nest on specific position...rethink

By TILgt the university of Ganzo
 
Zamani walikua wanafuturisha viongozi wa dini, mabalozi, wasomi.
Leo chawa, wapiga singeli.
 
We kaharishe labda huo uvundo utapungua kichwani. Huoni hata haya kuandika huu upumbavu? Shame on you
 
Yes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…