Kuna kitu cha kujifunza kwa Zelensky

Kama raia na western alikua nao na yupo nao mpaka sasa mwambieni aregeshe zile 20% za eneo lake zinazoshikiliwa na russia ama hazitaki
muislam ni mwehu sana , kutoka km 11 kuongia kyiev hadi leo wapo mpakan huko ila bado jivaa kobaz linapata nguv za kuongea
 
Katika jambo ambalo ni la kulikwepa ni la kuingia kwenye ubishani wa vita vya Urusi na Ukraine na mtu mwenye uchungu na hizo nchi. Matusi nje nje.
unakuwaj na uchungu na urusi na ukraine ,kama sio dalili za kuweuka tu
 
hv unavuta bangi ? ukimaliza vuta bangi jipumzishe kwanza akili ikae sawaView attachment 2874448View attachment 2874450View attachment 2874449
 
Mbona huna akili?hata putin alishasema hivyo kwamba waliongea na Ukraine alafu kikao kilifanyika Istanbul na warusi wakaondoa majeshi.hivi huwezi kutumia hata akili kwamba Ukraine hawawezi urusi kijeshi?angalia counteroffensive offensive.
hv hizo taarifa ulizitoa wap? wavaa kobaz mnapenda uongo uongo sana , kikaocha utiruki kiliferi sababu Urusi alitaka aachiwe eneo alilpteka na hiyo ikawa ngumu kwa serikali ya Ukraine , hv mnavyotunga uongo kuosafisha Urusi mnalipwa nin mbwazz nyie
 
Umemkumbusha vizur sana,baada ya kupamba moto huyo Zelensky alitaka mazungumzo ndipo Putin alipomwambia mwamuzi ni kupigana
baadae mtakuka na story za kuwa Zele ndo alikwamisha mazunguzmo ya amani , yaan nyiny watu mnabadili ukwel pindi mnapoona unafaa kupindishwa , HUO NI UGONJWA WA AKILI
 
Hiyo javelin imesaidia nini urusi anaendelea kuchukua maeneo? javelin haiwezi kuwazuia urusi kwanza imeshakuwa krepa sio story tena.
kwan ukraine ni kubwa kias gan tangu 2022 mpk 2024 bado Urusi hajamaliza kuchukua maeneo
 
Unamcheka russia katumia muda mrefu kuimaliza ukraine lakini haushangai israel+usa+uk+germany wameshindwa kuimaliza hamas eneo ukubwa wa mkoa mmoja wa tanzania huu tunaenda mwezi wa 4
na mahakaman ICJ mmenda kufanya nin?
 
unafanya nn humu kwenye internationl forum , nenda kule HABARI MCHANGANYIKO
 
Mdusi 94 wewe hujui kitu chochote kuhusu URUSI kunywa gahawa tulia mwache mwanaume urusi afanye Vita vyake
mwanaume gan anachagulia vivulana akina Georgia na Ukraine kwann asijalibu kwa wanaume akina Ujeruma wapo jiran yako hawajapasha kitambo sana
 
Huna hela, huna helimu, huna akili ila unanipangia mimi cha kujadili. Uko unafanya nini kwenye huu uzi, si utafute nyuzi za mwanamke kulinda ndoa ukajadili na kinamama wenzio.
hahahaaaa
 
fungua thread uandike madai yako haya na sio kutuvurugia uzi wetu nyambafffuuuu , sheytainiii mkubwaaa
 
ndio ujue sasa urusi ni mjanja 7generals in 3 yrs, uliza upande wa pili kama kuna alie salia hai hata moja na walikua wangap
kwahiyo hoja sio jeshi la urusi kupigana bali ni majenerali wangap wamekufa kila upande ? ila wavaa kobaz mnajua kukimbia utopolo wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…