Kuna kitu cha kujifunza kwa Zelensky

kwamba kwenye simu yako ww unaamfuatliaga vita ya Urusi vs NATO ? wewe kichwan ni hamnazo
 
Na vipi kuhusu maiti za wanajeshi wa russia waliouliwa kama kuku pale Kyiv?
ni ukraine alishambulia wkt urusi walienda kyiev kupiga story ( alisikika mvaa kobaz mmoja )
 
kwahiyo hoja sio jeshi la urusi kupigana bali ni majenerali wangap wamekufa kila upande ? ila wavaa kobaz mnajua kukimbia utopolo wenu
wenzio wanauwa na kuangamizwa na unawang"ang"aniza na wachache waliobaki pia wakauawe 😎

kweli huo ndio upwagu na upwaguzi😀
 
Kifupi tuu ni kwamba;Mrusi angetimiza ile ahadi aliyoitoa kwa dunia hapo angeeleweka.
Jambo lolote usipoogopa uwezekano wa kulishinda ni mkubwa hata kama utashinda ukiwa na majeraha.
 
nyie ni buyu kichwan ma bokoharam ndo wanataka muwe matahira kabisa , wkt waarab wenye dini wanaifuata ilimu dunia huko huko kwa makafir
Kama sisi buyu basi wewe papai kabisa yaani
 
muislam ni mwehu sana , kutoka km 11 kuongia kyiev hadi leo wapo mpakan huko ila bado jivaa kobaz linapata nguv za kuongea
Kama ukimuona muislam mwehu basi ujue wewe unamzidi uwehu
 
Kifupi tuu ni kwamba;Mrusi angetimiza ile ahadi aliyoitoa kwa dunia hapo angeeleweka.
Jambo lolote usipoogopa uwezekano wa kulishinda ni mkubwa hata kama utashinda ukiwa na majeraha.
Alitoa ahadi ipi kwa dunia hem tujuze[emoji848]?
 
Unapomkuta baba wa familia anamsifia Zelensky kwamba kaupiga mwingi kwenye vita......
 
Moderator kwanini mnaruhusu watu wanadhalilisha na kukera imani za watu na kuwaacha wanatamba? Mtu anatoa kauli, 'waislam ni wehu', waislam hawana akili, is this acceptable?
 
HIlo la mazungumzo sidhani
 
vita inayo Isha nusu saa ni NUCLEAR WAR , huwezi ukawavamia wenyeji kwenye nchi yao wana silaha nzito wana intelligence nzito rahisi rahisi , halafu pia Ukraine umekuwa ikijiandaa na vita ya kurudisha Crimea toka 2014 kwa msaada wa NATO .......
 
mnapenda kutunga story asee , Urusi hajawai rudi nyuma kisa makubaliano maana tukikuhoj kwenye hayo makubaliano kipi alihaidiwa Urusi ili arudi nyuma , hutokuwa na jibu , achen kuwa wanapropagandist wa Urusi bila malipo
sijui wenzetu habari zenu mnapata wapi......
 
huwa nakuona una akili na mfuatiliaji wa mambo, kumbe nawe ni kundi lile lile la wajinga......

unajifanya mfuatiliaji wa huu mgogoro, na hujui kama turkey alifanikisha preliminary agreement za kusitisha mapigano? kweli uko serious wewe?

na unauliza eti kwanini waliendelea kupigana, umesahau boris alienda kufanya nini kiev?.....

usiwe mjinga, kama una akili jaribu kutafuta habari kabla hujabisha vitu vinavyoandikwa na wenzako!



soma hio link, tafuta na zingine mwenyewe uone kama walipigwa au wali-withdrew
 
Ila lile limsafara la 64 km!,we acha tu.alafa wote ukaliwa kichwa.ila mkubwa aliaibika sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…