Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mimi nina kanuni yangu kwamba sipokei wala sitoi offer ambayo sijui gharama yake.Hata sikuwaza kwamba anapiga pombe ya bei mbaya so wazo la bei halikuwepo kabisa. Ila alinifundisha sana kitu siku ile yule mkuda.