Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Robert Mtaji ni mtoto wa kitaa kabisa ila kauza utu vibaya mno na hilo kojo la HennessyBaada ya kitu kukubali
View attachment 1663950
Henny inakubalika karibu sehem nyingi ulimwenguni. Kwa hapa bongo sasa hivi ndio kipindi chake. Kipindi cha nyuma kulikua na Jack Daniels na John walkerAaw kumbe, basi hamna noma maana ninaona kila mtu anafloss na Henny
Ni sh ngap hiyo Hennessy Boss ? Nikivunja kikoba nikanunue,ili niachane na double kickHenny inakubalika karibu sehem nyingi ulimwenguni. Kwa hapa bongo sasa hivi ndio kipindi chake. Kipindi cha nyuma kulikua na Jack Daniels na John walker
We upo dunia ya mwisho, endelea kuwaza utopoloNi busta ya yale mambo.
Kuna small bottle kuanzia 50k na kuendelea na big bottle 150k hivi. Inategemea na sehemu unayonunuaNi sh ngap hiyo Hennessy Boss ? Nikivunja kikoba nikanunue,ili niachane na double kick
naishi underground ngazi nnazozungumzia za kushuka chiniMkuu unaishi kwenye nyumba ya ghorofa? Manake sidhani kama ngazi unazozizungumzia ni za nje.
vichwa havifanani kuna watu wanalallamika wakinywa Windhoek wanaamka nazoSiyo kweli hii, inategemea umekunywa kiasi gani, umekula nini, umekunywa maji mengi na factors nyingine kadhaa
Mbona iko poa tu mkuu ukimix na tonic water.Hivi mnawezaje kunywa na ile harufu yake?
Bro kwani hua unakunywa chupa nzima au?Siyo kweli hii, inategemea umekunywa kiasi gani, umekula nini, umekunywa maji mengi na factors nyingine kadhaa
Curiosity killed the cat mangi.,๐๐๐๐curiosity tu chief