Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

Kama huna hela unaanzaje nunua hennessy??, na anaekunywa hio kitu ofcoz anahela mzee. Hennessy ni bonge la kiburudisho acha mawazo ya kimaskin
Babu yangu nina uwezo wa kununua ya bei yoyote kwa maisha yangu
ila kwa pande hizi za maduka yetu kuna option nyingi kupita kiasi kwahiyo hiyo Hennesy iko kwenye section ya kawaida tu
 
Hahahah ndio mangi jamaa alimchukulia na mkewe aiseee,sijui alikua anatupima imani au la maana tulikua tunaongea nae inshu ya mpunga.

Lkn mwishowe inshu tuliyoongea nae ilitiki fresh kabisaa,lkn aliacha vumbi pale mezani maana ilikua ndani ya dakika 45 tu kashafanya yake na kusepa.

Kuna mabinti waliona tukio lile wakajua pale wako njema ikabidi waombe kampani kumbe mamamae wangejua tulikua tunapambania kombe wasingejisogeza kabisaa.
[emoji1787][emoji1787] ok
 
Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu fulani maarufu waliokuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.

So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisadia kuwa ni pombe ya hadhi fulani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.

- Whats special in Hennessy; pricing and alc volume?

View attachment 1664532

View attachment 1664533
Hennessy sio whisky ni Superior Brandy (kuna regular na superior brandy)

ipo katika kundi la alcoholic spirits

ni superior brandy inayotengenezwa katika jimbo la Cognac TU. nchini France

ikitengenezwa nje ya hilo jimbo haitaitwa Cognac labda under licence

Any brandy ni product ya grapes (zabibu) only (process yake nitakupa next time) tofauti na whiskey inayotokana na cereals

Neno Hennessy ni brand name tu kama kilimanjaro, safari, castle, serengeti, bingwa, heineken, windhoek n.k. - zote ni lager beer
 
Maisha hayalingani haya.... wakati kwa wengine 50k ni budget ya mwezi, kwa wengine ni kichupa kidogo cha Hennessy

Kila mtu aishi kwenye lane yake tuu

Binafsi ukiniwekea hennessy na JD nitakwenda na JD hii kitu ni amazing
IMG_8053.jpg
 
Nilichanganya kvant ,castle lite , budweiser, serengeti lite, red label some sips of henny.. same night na shots za tequila .. uo upele nikapata[emoji51][emoji51].
 
Hennessy sio whisky ni Superior Brandy (kuna regular na superior brandy)

ipo katika kundi la alcoholic spirits

ni superior brandy inayotengenezwa katika jimbo la Cognac TU. nchini France

ikitengenezwa nje ya hilo jimbo haitaitwa Cognac labda under licence

Any brandy ni product ya grapes (zabibu) only (process yake nitakupa next time) tofauti na whiskey inayotokana na cereals

Neno Hennessy ni brand name tu kama kilimanjaro, safari, castle, serengeti, bingwa, heineken, windhoek n.k. - zote ni lager beer
Ndio niko maabara hapa najaribu kuitest ila majibu niliopata mpaka sasa ni kuwa haijapishana sana na Valeur Brandy kwenye swala la ladha.
IMG_20210101_211409.jpg
 
Labda bei
Kuna sehemu nilienda inauzwa karibu 150K..
Ndo wadada wakinunua wanarusha video hadi Instagram wameikumbatia...

Naona ni namna ya kujiona expensive Kwa ma slay Queen..


Bar inauzwa 180,000 bar zingine wanauza 200,000
 
Maisha hayalingani haya.... wakati kwa wengine 50k ni budget ya mwezi, kwa wengine ni kichupa kidogo cha Hennessy

Kila mtu aishi kwenye lane yake tuu
Eeh mrembo, ni matumizi tu yanatofautiana wengine ni petrol ya week nzima kuendea job!
 
Back
Top Bottom