desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Ila ata sahivi huwezi kufananisha Heineken na SerengetiKumbe ni mbwembwe tu zilikuwa, sahivi 40% ya wanywa heineken tunakunywa nao Serengeti premium lite!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ata sahivi huwezi kufananisha Heineken na SerengetiKumbe ni mbwembwe tu zilikuwa, sahivi 40% ya wanywa heineken tunakunywa nao Serengeti premium lite!
Babu yangu nina uwezo wa kununua ya bei yoyote kwa maisha yanguKama huna hela unaanzaje nunua hennessy??, na anaekunywa hio kitu ofcoz anahela mzee. Hennessy ni bonge la kiburudisho acha mawazo ya kimaskin
[emoji23][emoji23][emoji23] wana'kumbatia 150k kudadekiLabda bei
Kuna sehemu nilienda inauzwa karibu 150K..
Ndo wadada wakinunua wanarusha video hadi Instagram wameikumbatia...
Naona ni namna ya kujiona expensive Kwa ma slay Queen..
[emoji1787][emoji1787] okHahahah ndio mangi jamaa alimchukulia na mkewe aiseee,sijui alikua anatupima imani au la maana tulikua tunaongea nae inshu ya mpunga.
Lkn mwishowe inshu tuliyoongea nae ilitiki fresh kabisaa,lkn aliacha vumbi pale mezani maana ilikua ndani ya dakika 45 tu kashafanya yake na kusepa.
Kuna mabinti waliona tukio lile wakajua pale wako njema ikabidi waombe kampani kumbe mamamae wangejua tulikua tunapambania kombe wasingejisogeza kabisaa.
Hennessy sio whisky ni Superior Brandy (kuna regular na superior brandy)Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu fulani maarufu waliokuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.
So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisadia kuwa ni pombe ya hadhi fulani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.
- Whats special in Hennessy; pricing and alc volume?
View attachment 1664532
View attachment 1664533
Maisha hayalingani haya.... wakati kwa wengine 50k ni budget ya mwezi, kwa wengine ni kichupa kidogo cha Hennessy
Kila mtu aishi kwenye lane yake tuu
Package💥👌Binafsi ukiniwekea hennessy na JD nitakwenda na JD hii kitu ni amazing View attachment 1664897
Ballantine..Mm mpenzi wa Hennessey toka kitambo ila now imekuwa overrated na slay queens na mabishoo, haina hang over
Now nimeamia kwenye ballatine
Ndio niko maabara hapa najaribu kuitest ila majibu niliopata mpaka sasa ni kuwa haijapishana sana na Valeur Brandy kwenye swala la ladha.Hennessy sio whisky ni Superior Brandy (kuna regular na superior brandy)
ipo katika kundi la alcoholic spirits
ni superior brandy inayotengenezwa katika jimbo la Cognac TU. nchini France
ikitengenezwa nje ya hilo jimbo haitaitwa Cognac labda under licence
Any brandy ni product ya grapes (zabibu) only (process yake nitakupa next time) tofauti na whiskey inayotokana na cereals
Neno Hennessy ni brand name tu kama kilimanjaro, safari, castle, serengeti, bingwa, heineken, windhoek n.k. - zote ni lager beer
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa mkemia mkuuNdio niko maabara hapa najaribu kuitest ila majibu niliopata mpaka sasa ni kuwa haijapishana sana na Valeur Brandy kwenye swala la ladha.
View attachment 1665021
Ni kweli hasa kubalance chemical ikweshen zilikuwa kipengele 😂😂😂 ila kwa sasa nachanganya kama mkemia mkuu wa serikali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa mkemia mkuu
Lkn shuleni ulisema sayansi ngumu
Labda bei
Kuna sehemu nilienda inauzwa karibu 150K..
Ndo wadada wakinunua wanarusha video hadi Instagram wameikumbatia...
Naona ni namna ya kujiona expensive Kwa ma slay Queen..
Eeh mrembo, ni matumizi tu yanatofautiana wengine ni petrol ya week nzima kuendea job!Maisha hayalingani haya.... wakati kwa wengine 50k ni budget ya mwezi, kwa wengine ni kichupa kidogo cha Hennessy
Kila mtu aishi kwenye lane yake tuu
Hebu fanya maarifa hapo unifungulie mwaka na Hennessy ExtrovertEeh mrembo, ni matumizi tu yanatofautiana wengine ni petrol ya week nzima kuendea job!