mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Mimi natumia chochote kisichoniumiza au kumuumiza binadamu mwingine ππππUnatumiaga kumbe haya mavitu π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi natumia chochote kisichoniumiza au kumuumiza binadamu mwingine ππππUnatumiaga kumbe haya mavitu π
Sichagui lakini Valeur haijawai kunisumbua.Nimenunua Hennessy mtoto ili kutest mitambo πππ ntakupa ukajaze Valuer maana zinaendana kwa ladha tu! Sijaona tofauti!
Ukiniita ujue tuu silewagi, na sishibagi π₯πππππKumbe eehπ basi usijali kuhusu hilo, nilihofia labda utazidiwa maana ni kakali ila tutayajenga tu wala hautaumia!
Mm naweza kukulewesha kama unabisha tukutane siku moja πUkiniita ujue tuu silewagi, na sishibagi π₯πππππ
Mkuu wa meza tenaπ€ umeniacha hapoHahahah we ntakupa haka ka Hennessy na mkuu wa meza.
Ukitoboa hapo nakupa kubwa ile...
Ha ha haBora double kick kuliko henessy ya masimango
naam huyo ndio mfalme wa wafalmeNamaanisha kitu cha Pig Mnyama π
Sasa nikivunja kikoba changu nikanunue ipi kati ya hizo Boss ?Jana nimepita Liqour store, inaanza 27, 47, 85 na 150K!
Hii ya 85 ni V.S na 150K ni V.S.O.P
Haya Asante, ngoja nivunje kikoba ntaenda kununua na hela yote ya kikobaKuna small bottle kuanzia 50k na kuendelea na big bottle 150k hivi. Inategemea na sehemu unayonunua
Wanadai hio ya 150K V.S.O.P ndio nzuri zaidi ila mi nimeanza na kale katoto kabisa ili nipate feeling yake. Ipo vizuri