Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rumion ni gari ina trend Siku izi?ðŸ¤Nothing special with Hennessy ni trending tu kwa wabongo
Kama unavyoona trending kwenye gari aina ya Rumion kwa wabongo
Mm naweza kukulewesha kama unabisha tukutane siku moja 🙈
😢 bas nikivunja kakikoba changu au unasemaje?Nop...kuna ya 30K ile ndogo, nunua hio
sawabasi nikivunja kakikoba kangu ntakutafuta tunywe kahanessy kamoja sawa?Sawa kabisa yani, haitamaliza mzigo wote ila burudan utapata
Shkamoo waziri? 🤔
Aisee nenda nayo polepole hio kitu,hua inapanda utashangaa tu mtu anafanya maajabu ya karne.
Mkuu uliamua uchomoke kama Ninja.Hii pombe ilinifanya nililetewa bill ya ajabu
Lounge moja maarufu hpo atwn...nliyokuwa nao walitaka kunikomoa niliwachia bill nikizuga naenda chooni kmbe ndiyo kimoja[emoji23][emoji23][emoji23]
Huko nyuma watu walibanwa wengine wakaacha sim zao mwingine gari alinyanganywa funguo
Warete hela mpaka leo madem hao hawana hamu na mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
Hennesy hiyooooo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mzee baba vipi ukipiga Hennessy nasikia unaflow English ile ya Kwa Malkia.Hennessy ina namna ya pekee ya kuwatuliza wenge wafakamiaji pombe 😂 kuna mwenzenu alijikojolea juzi kati
Waliagiza chupa 3 madada wenyewe walikuwa maconcrd hpo atwn,nkaona hao wameniona boyaMkuu uliamua uchomoke kama Ninja.
Eti utakuta hennessey inauzwa mpk mln 10sawabasi nikivunja kakikoba kangu ntakutafuta tunywe kahanessy kamoja sawa?
Bar inauzwa 180,000 bar zingine wanauza 200,000
mi mwenyewe mdau naachaje kuijua sasa? Itakuwa aibu kwanguKibosho1 unajua jina la hii kitu inayobebea kinywaji?
View attachment 1665078
Hahahah mwamba alifakamia mchupa wa robo tatu ule yani 750mls akitegemea atamudu mziki huku akipoozea ukali na heineken baridi😂Mzee baba vipi ukipiga Hennessy nasikia unaflow English ile ya Kwa Malkia.
Mwamba aliyejikojolea alijua pombe kama juisi ya ukwaju.