Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah ulisepetuka kinyele blaza 😂😂😂!!!Hii pombe ilinifanya nililetewa bill ya ajabu
Lounge moja maarufu hpo atwn...nliyokuwa nao walitaka kunikomoa niliwachia bill nikizuga naenda chooni kmbe ndiyo kimoja[emoji23][emoji23][emoji23]
Huko nyuma watu walibanwa wengine wakaacha sim zao mwingine gari alinyanganywa funguo
Warete hela mpaka leo madem hao hawana hamu na mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
Hennesy hiyooooo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Haalfu tulikuwa wawili na Mr tu ,tena aliniambia agiza wine mm ninajidai aaha tunywe tu wote hii,asubuh alinicheka sanaHennessy ina namna ya pekee ya kuwatuliza wenge wafakamiaji pombe [emoji23] kuna mwenzenu alijikojolea juzi kati
We kweli? Mimi hle nyingine ndo yangu ya kweli hayoSerengeti Ni uzazi wa mpango kwa wanaume. Ikikuzoea huku chini itakua mtambo wa kutolea mkojo tuu.
Especially kale ka rangi ya chama
hiyo ndio kazi ya pesa kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yakeEti utakuta hennessey inauzwa mpk mln 10
Unajiuliza hii pombe inakitu gani cha ajabu [emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kama mimi na LubisiNiulize kuhusu K-Vant plz!!
Mzee funguo kwenye ulevi watu si wanatupia tu mezani huku stories zikiendelea, mkishalewa kuna mtu anazijali tenaJamaa alitisha mno, yani kaiba funguo mbele ya macho yenu?
Pisi Kali gogo kitandani, hahahaaaa! Nyingine zinanuka keiChupa ndogo ni 40 k, haina miujiza yoyote, ni kama tu Pisi kali ageukavyo gogo kitandani
Hatari sanaPisi Kali gogo kitandani, hahahaaaa! Nyingine zinanuka kei
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Bora double kick kuliko henessy ya masimango
Not Fiesta remix ....R.Kelly ft Gotti,Jay Z?Pombe wanazosifia wanamuziki wa marekani ndio wabongo nao wanashoboka.
-Cris ,belaree,ciroc,barcadi na henesi.
=====
After the show it's the after party then
After the party it's the hotel lobby and
After the Belve' then it's probably Cris'.
You see V-I-P; me, Kelly, Gotti, and Hov'
Drinkin Cris' like its H-2-O
======
Fresh Prince of Bel-Aire, all they do is stare.
Not Fiesta remix ....R.Kelly ft Gotti,Jay Z?
Hivi Rumion imeizidi Crown Athlete kwa ku trend bongo?Nothing special with Hennessy ni trending tu kwa wabongo
Kama unavyoona trending kwenye gari aina ya Rumion kwa wabongo
Ungezubaa ungefilisiwa[emoji1]Hii pombe ilinifanya nililetewa bill ya ajabu
Lounge moja maarufu hpo atwn...nliyokuwa nao walitaka kunikomoa niliwachia bill nikizuga naenda chooni kmbe ndiyo kimoja[emoji23][emoji23][emoji23]
Huko nyuma watu walibanwa wengine wakaacha sim zao mwingine gari alinyanganywa funguo
Warete hela mpaka leo madem hao hawana hamu na mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
Hennesy hiyooooo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hahahahahah Ila uliwafunza adabuWaliagiza chupa 3 madada wenyewe walikuwa maconcrd hpo atwn,nkaona hao wameniona boya
Nkawaonesha kuwa wameingia sehemu siyo
[emoji23][emoji23][emoji23]kesho yke si sms za matusi na miscal kibao
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ukinywa hio ya million 10 unapaa Kama SupermanEti utakuta hennessey inauzwa mpk mln 10
Unajiuliza hii pombe inakitu gani cha ajabu [emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Bwana eh hata mm nkashangaaUkinywa hio ya million 10 unapaa Kama Superman
Mpaka leo hawana hamu na mm [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahah Ila uliwafunza adabu
Ah mm mwenyewe master [emoji23][emoji23][emoji23]Ungezubaa ungefilisiwa[emoji1]