MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Expert umetisha [emoji41]Thru drink exprience mkuu, am now expert!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Expert umetisha [emoji41]Thru drink exprience mkuu, am now expert!!
True, pamoja na muda gani na uko katika hali gani?Unategemea unakunywa na nani na katika mazingira gani. Au??
Thanks bruh.I"ll second you bruh!! Through 2021!! And above
Unabeba pombe kutoka mbali ukifika ndani ya geti ndo unaanza kuigida na kuzima ukiwa ndani ya geti? Au nasema uongo ndugu zangu.sijawahi kukatia moto nje ya get I, hata nilewe vipi nafika nyumbani ndo nazima
Ila nimeacha kuchanganya pombe kabisa
Nnachojua tu Nilikunywa Hennessey nikashushia na ile wine ya kwenye kidumu nikaishia kulala kwenye ngazi..siiijui zaidi
[emoji23]Nnachojua tu Nilikunywa Hennessey nikashushia na ile wine ya kwenye kidumu nikaishia kulala kwenye ngazi..siiijui zaidi
[emoji28]Hako ka gari ni kaajabu hata hakanistuagi. Kamekaa utadhani king'amuzi cha startimes
Kwa juma lokole, nasema uongo ndugu zangu.Walokole tunacomment wp???😎😎😎
Siyo kweli hii, inategemea umekunywa kiasi gani, umekula nini, umekunywa maji mengi na factors nyingine kadhaaNakunywaga sana John Walker/Jameson na hua naamka fresh kabisa.
Kuna jamaa, Afisa flani wa Serikali hawa wapenda bure na sifa, akataka hiyo Hennessy, tukamnunulia, akaifakamia kama nusu chupa. Kilichofuata akaiba funguo wa mshkaji mezani akawasha gari akasepa (japo naye alikuja na gari lake). Tulimtafuta sana, baada ya masaa 3 tukamkuta mtaroni, kms kama 60 kutoka tulipokuwa, anaelekea wilaya ambayo haimuhusu kabisa. Tukampeleka hospitali, bahati nzuri hakufa. Tangu siku ile hataki kuisikia hiyo pombe. Ishu ni kwamba hamna pombe isiyolewesha, kinacholewesha siyo jina la pombe bali ni ile alcohol iliyopo ndani yake. Pombe yeyote (hata S.lite) unaweza kulewa. Inategemea tu umekunywa kiasi gani? Umekula? Kiwango cha maji mwilini? Mazingira? (Eg. Ni rahisi kulewa kama unacheza mziki huku unakunywa)Wanadai haileweshi
Tueleze kwanini umekuwa na shauku nayo: ni Kanumba⁉️ au Marley⁉️Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu fulani maarufu waliokuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.
So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisadia kuwa ni pombe ya hadhi fulani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.
-Whats special in Hennessy, pricing and alc volume?
Mkuu unaishi kwenye nyumba ya ghorofa? Manake sidhani kama ngazi unazozizungumzia ni za nje.Nnachojua tu Nilikunywa Hennessey nikashushia na ile wine ya kwenye kidumu nikaishia kulala kwenye ngazi..siiijui zaidi
Jamaa alitisha mno, yani kaiba funguo mbele ya macho yenu?Kuna jamaa, Afisa flani wa Serikali hawa wapenda bure na sifa, akataka hiyo Hennessy, tukamnunulia, akaifakamia kama nusu chupa. Kilichofuata akaiba funguo wa mshkaji mezani akawasha gari akasepa (japo naye alikuja na gari lake). Tulimtafuta sana, baada ya masaa 3 tukamkuta mtaroni, kms kama 60 kutoka tulipokuwa, anaelekea wilaya ambayo haimuhusu kabisa. Tukampeleka hospitali, bahati nzuri hakufa. Tangu siku ile hataki kuisikia hiyo pombe. Ishu ni kwamba hamna pombe isiyolewesha, kinacholewesha siyo jina la pombe bali ni ile alcohol iliyopo ndani yake. Pombe yeyote (hata S.lite) unaweza kulewa. Inategemea tu umekunywa kiasi gani? Umekula? Kiwango cha maji mwilini? Mazingira? (Eg. Ni rahisi kulewa kama unacheza mziki huku unakunywa)