Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

Hahahahah ulisepetuka kinyele blaza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!!

Tatizo ma slay queen wakikuona mtu wa kuvimba wanajiongezaga sasa unakuta wengine zile ni taizi tu za kimjinimjini...Mwamba huna mzigo kihivyo mwisho wake ndio mambo ya kutoka unyoya kukwepa bill
 
Not Fiesta remix ....R.Kelly ft Gotti,Jay Z?
 
Ungezubaa ungefilisiwa[emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…