Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

Niwe Mkweli, sijawahi kui-test.... Kumbe Ni Tamu eeeeee
 
Hii kitu imetajwa sana na wasanii wa kimarekani kwenye nyimbo zao ilikua ni pombe pendwa ya ya mwanamuziki 2 pack shakur
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…