Niwe Mkweli, sijawahi kui-test.... Kumbe Ni Tamu eeeeeeKuna boss flani wa police mwaka 2014 tulimualika sehemu(tulikua watatu) pale Arusha ilikua, akaagiza hio kitu akainywa kiasi then akachukua na take away akisema ni ya mke wake.
Laki 5 ikawa imetutoka hio(250,000Γ2) watu wakabaki wanatoa macho tu,wkt sisi wenyeji wake tulikua tunakunywa castle lager tu.,hahah.
Kumbe hii ndio logic behind that Bottle??Ukinywa Henny unatoa illusion kuwa upo succesful kimaisha and you got fine taste
Hahahaha Safi sana Kamanda sometimes tusiliwe kizembeAh mm mwenyewe master [emoji23][emoji23][emoji23]
Walipo lala wao nimemka mimi
Ova
Kumbe JF of GT's kunamembers wanaishi magorofani! Wenzetu hamjambo, shikamoo mkora.Nnachojua tu Nilikunywa Hennessey nikashushia na ile wine ya kwenye kidumu nikaishia kulala kwenye ngazi..siiijui zaidi
Kwa uwezo wako wa kufikiri ni ghorofa tu Lina ngazi?Kumbe JF of GT's kunamembers wanaishi magorofani! Wenzetu hamjambo, shikamoo mkora.
Yap yap, wakati nipo mtwara tulikuwa tunaita ballatenga, basi ndio yameshakuwa mazoeaBallantine..
Ushawahi kuona mtoto wa kishua mzuri? Mweke hadharani.Ushuani ipi hio yenye mademu wabovu mzee? Mbona kama maelezo yako contrary
Weka picha ya demu wa kishua hapauongo mtupu..
Hahah neno tamu ni "relative' mkuuNiwe Mkweli, sijawahi kui-test.... Kumbe Ni Tamu eeeeee
πππ wamezidisha sifur moja au macho yanguHahah tupate tangazo kutoka kwa wadhamini wetu kutoka hapo studio.View attachment 1663548
Miaka buku unakuwa highHio Ace of Spade ukinywa unalewa miaka mingapi Chief? [emoji16][emoji16][emoji16]