Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Kweli mkuu hata mimi nimeacha kwenda kanisani kutokana na sadaka na michango kuwa mingi mno kiasi kwamba ukipiga hesabu ya utitiri wa michango unakata tamaa ya kwenda kanisani.mara uta sikia mchango wa kununua gari la mtumishi nk. wakati Yesu huyo wanaomuhubili hakuwahi kumiliki hata baiskeli alikuwa anatembea kwa miguu! Naunga mkono hoja kuna haja ya kuhoji.
NEEMA YA BWANA IWE NANYI!
Unataka baba Paroko ale nini na kanisa ajenge nani nashangaa sana Rc wenzangu ila mkienda kwny makanisa ya kilokole mnatoa sana hamsemi kauli ngumu
 
Mimi ni muumin wa kawaida tu, huwa siingii deep sana na sina mazoea wala ukaribu na viongozi/mapadre natimiza wajibu wangu tu. Naomba kueleweshwa na mimi.

Sasa kwenye suala miradi huwa sijui tunanufaika vp na namna gani niwe muwazi hapo sasa ndiyo unipe shule mkuu ?
Kwa hiyo huyu alitaka Wakatoliki wawe wanagawiwa pesa kutokana na miradi hiyo??.
 
Uendeshaji wa ibada umegawanyika katika Masomo ya Zaburi na Injili , kisha kuna Mahubiri halafu kuna Sadaka.

Kisha kuna Mageuzi ya Mkate na divai ambapo waamini waliojiandaa HUKOMONIKA .


MWISHO MATANGAZO. ambayo hutofautiana kanisa Mahalia.

Hakuna mazingira yoyote ya UNYANG'ANYI.

Injili inasonga mbele. Miradi ya kanisa inafanya kazi kubwa ya kumtangaza Kristo kote ulimwenguni.
 
Toa ndugu toa ndugu..ulichonacho..halafu unataka usitoe hilo kanisa litapelekaje injili..unataka usitoe hilo kanisa litalipaje wahudumu..unataka usitoe hilo kanisa litalipaje bills tofauti kama umeme na maji...unataka usitoe hilo kanisa litafanyeje logistics mbali mbali...unataka usitoe maintaince na repairs ya vifaa na miundombinu mbalimbali utatoa wewe.??

Acha kulalamika sana kama huna hela kaa kutulia

Uzuri hujalazimishwa..ila mkristo wa kweli hawezi kuona kama ni wizi mana hayo ndio mahitaji muhimu ya kuendesha taasisi.

Kingine kutoa ni upendo..kiwango itachojaliwa kutoa kinatosha sana.

Kama unaona hufiti nenda huko ambako hawatoi sadaka..hakuna aliyekushikiria unabaki kanisani.

Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote.

#MaendeleoHayanaChama
Kwani zamani hizo bill alikuwa analipa nani?inaonekana na wewe ni mnufaika
 
Mfano Jimbo kuu la Dsm linabeba Mafia inasaidia kule kipindi iki si miaka ile ya wazungu ss tunajibeba wenyewe
 
Wakati unatusifia Waislamu, sisi huku wenyewe tunatamani tungekuwa na moyo wa kutoa sadaka kama wenu.

Sisi ni changamoto watu wazito kutoa sadaka, madrasa na misikiti mingi inahitaji ukarabati na shule pia. Ila watu wetu wazito mno wa kutoa sadaka. Sadaka mpaka zitokee kwa waarabu ndio madrasa zijengwe
Kuna mambo Uislamu upo vizuri aisee.
Cha kwanza ni mfumo wa ndoa za kiislamu,
Cha pili huko kwenu hakunaga uporaji kwa njia ya michango na riba.
 
Toa ndugu toa ndugu..ulichonacho..halafu unataka usitoe hilo kanisa litapelekaje injili..unataka usitoe hilo kanisa litalipaje wahudumu..unataka usitoe hilo kanisa litalipaje bills tofauti kama umeme na maji...unataka usitoe hilo kanisa litafanyeje logistics mbali mbali...unataka usitoe maintaince na repairs ya vifaa na miundombinu mbalimbali utatoa wewe.??

Acha kulalamika sana kama huna hela kaa kutulia

Uzuri hujalazimishwa..ila mkristo wa kweli hawezi kuona kama ni wizi mana hayo ndio mahitaji muhimu ya kuendesha taasisi.

Kingine kutoa ni upendo..kiwango itachojaliwa kutoa kinatosha sana.

Kama unaona hufiti nenda huko ambako hawatoi sadaka..hakuna aliyekushikiria unabaki kanisani.

Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote.

#MaendeleoHayanaChama
Kwani zamani hizo bill alikuwa analipa nani?inaonekana na wewe ni mnufaika
Wakati unatusifia Waislamu, sisi huku wenyewe tunatamani tungekuwa na moyo wa kutoa sadaka kama wenu.

Sisi ni changamoto watu wazito kutoa sadaka, madrasa na misikiti mingi inahitaji ukarabati na shule pia. Ila watu wetu wazito mno wa kutoa sadaka. Sadaka mpaka zitokee kwa waarabu ndio madrasa zijengwe
Wewe siyo muislimu ila umejichomeka
 
Mkuu, hata ukitoa unaweza usipewe huduma vilevile!

Mimi mama yangu mzazi alikua kiongozi wa jumuia huko kijijini na alikua mtoa sadaka asie na kifani, shughuli zote za ujenzi wa kanisa alishiriki kikamilifu kwa maisha yake yote mpaka amezeeka.

Bahati mbaya akaja kupata tatizo la kiafya ambalo limemuweka kitandani zaidi ya miaka 10 sasa. Cha ajabu eti kila mwaka analetewa bahasha ya zaka na kanisa linatishia kwamba akifa halitamzika kama sisi watoto hatutakua tunatoa hela za kwetu na zake!

Sasa mimi najiuliza, mtu ambae amelala kitandani hilo fungu la 10 analitoa wapi? Tangu amelala kitandani, kanisa limemsaidia vipi? Michango yote aliyochanga tangu akiwa binti mdogo mpaka sasa ni mzee, haijatosha tu? Ni mpaka tone la mwisho??
Hawa watu wanatumia kifo kutisha waumini.
Na watu wanaona kuzikwa bila Padre ni aibu.
Ni muda sasa watu waka draft njia simple ya kuwapumzisha wapendwa wao bila kushirikisha hawa wezi wa masikini.
 
Utazikwake na wakati wa uhai ulihasi dini wakti wa uhai umekataa kulitegemeza kanisa umekataa kukili imani alafu uwe mfu upelekwe kanisani
 
🇹🇿Waumini wanaongezeka kwa kasi ya exponential function

🇹🇿 Kila makao mapya yanapoibuka sehemu yanakusanya wakristu wengi hivyo lazima nyumba za ibada zijengwe

🇹🇿 Vilivyokuwa vigango vinapanda hadhi ya kuwa parokia hivyo lazima miundombinu ya kiparokia ijengwe

🇹🇿 Zamani tulitegemea misaada ya wazungu kujenga makanisa lakini sasa tunasimama wenyewe

🇹🇿 Sisi hatutegemei matajiri wamepiga fedha zao kwenye biashara halafu waje wajitakase kwa kutujengea nyumba za ibada

🇹🇿Sisi hatutegemei nyumba zilizoachwa wakfu

🇹🇿Hivyo michango ni zoezi la mpaka kufa utawaacha wengine waendelee na haimaanishi usipo changa utakuwa na utajiri au ukichanga utafilisika hapana
 
Mkuu, hata ukitoa unaweza usipewe huduma vilevile!

Mimi mama yangu mzazi alikua kiongozi wa jumuia huko kijijini na alikua mtoa sadaka asie na kifani, shughuli zote za ujenzi wa kanisa alishiriki kikamilifu kwa maisha yake yote mpaka amezeeka.

Bahati mbaya akaja kupata tatizo la kiafya ambalo limemuweka kitandani zaidi ya miaka 10 sasa. Cha ajabu eti kila mwaka analetewa bahasha ya zaka na kanisa linatishia kwamba akifa halitamzika kama sisi watoto hatutakua tunatoa hela za kwetu na zake!

Sasa mimi najiuliza, mtu ambae amelala kitandani hilo fungu la 10 analitoa wapi? Tangu amelala kitandani, kanisa limemsaidia vipi? Michango yote aliyochanga tangu akiwa binti mdogo mpaka sasa ni mzee, haijatosha tu? Ni mpaka tone la mwisho??
Mmh hii ni hatari ni too much
 
F*#ck that!
Mie nilishasema nikifa hata manispaa ikinizika hamna shida. I don't care.
Ukifa hawakuziki. Hapo ndipo wametushika pabaya
BTW, Roman Catholic wana double standards sana katikaa hili.
Rejea kifo cha mzee kingunge ambaye aliasi kwenda kanisani kwa muda mrefu lakini at his funeral alizikwa kikanisa.
 
Mkuu unaweza nisaidia sadaka hizi tisa zilikua zipi na mlitoa kwa wakati gani?. Ili ni muhimu usiache kujibu.

Mimi kwangu ilishabaki na sali sala binafsi nyumba. Ikiwa tofauti mara moja moja naenda kanisani nasali na kuondoka. Ukweli michango imekua mingi imefika hatua hadi kanisa wanajisajili kulipa kwa mpesa au tigo pesa. Huwa siaangaiki ata na mchango mmoja. Utasikia kanisa halijaisha, shule ya chekechekea, nyumba ya sisters.

Swala la zaka sijawai toa na sitarajii kama ntakuja kutoa. Ile asilimia 10 ya kipato cha mtu inatofauti gani kodi wanayotoza TRA katika kila faida anayopata mtu. Ni onyonyaji.

Nafikiri hofu ya wengi huwa wana hofu padri hasipokuja siku ya maziko yako. Kwangu ili si hofu maana ntakua mfu sitojua walinitupa au walinivisha nguo gani. Nani alikuja msibani nani hakuja

Hapa ndio naona dini wakati mwingine ni mchongo. Haiwezekani wao wakitaka gari aua nyumba tuwachangie. Ila sisi wauumini tukitaja gari au nyumba tupige magoti tuombe sana.
Hela yangu huwa nawasaidia wahitaji na wagonjwa,na naamini ndo sadaka yangu
Huwa ni ngumu kumpa mtu pesa yangu afu yeye akastarehe,kwangu ni big no
 
Back
Top Bottom