Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Halafu maandiko yana tumika kututisha.

Kuna kanisa nilienda Eti kuna maombi ya 50,000 40.000 30,000 20,000 10,000 5,000. Duh! Nilijiuliza maswali mengi sanaa.
Unachukulia mchezo mchezo jamaa unasikia anasema"jana ameoneshwa au ameongea na mungu akamwambia chumvi ya misri itawaponya shida na matatizo"
Sasa na wewe kanisani kwenu msitoe 500 inabidi muongeze sifuri sifuri kadhaa ndio mtaanza kusikia mtumishi ameongea na mungu.
 
Kama hauamini kwamba utapata ufalme wa Mungu kanisani basi taka sana kuzifahamu kazi za roho mtakatifu. Yesu Kristu Katika mafundisho yake neno kanisa alilitaja mara moja tuu Rejea
Mathayo 16:13-17
Na wakati anaondoka aliwaachiwa mitume kazi ya kufundisha juu ya ufalme wa Mungu kwa msaada wa roho mtakatifu.

Mtakatifu Paulo ndio mwalimu wa mwanzo wa kanisa na mifumo mingi imeasisiwa nayeye jitahidi kumsoma kwa kina na uelewe hoja ya kwanini imempasa kasisi kuishi useja. Ukristo ni kazi tena ni nguvu jibidiishe kujifunza ili kujenga Imani yako juu ya mwamba imara

1 Tim 3:2-3​

Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha
 
Kuna song imeimbwa na choir ya Makubuli wazee wa mimina tulijenge kanisa maana kanisa si la Askofu,wala paroko,Katekista,Walei sisi sote tunajukumu la kujenga kanisa.Kwaupendo wa Kristu tutumikie na kuwajibika.
 
Leo ni Jumapili ya matawi Yesu anaingia Jerusalem, lakini nikitafakari imani yangu ya ufuasi wa kristu napata mashaka makubwa sana.

To declare interest mimi nimezaliwa nimejikuta tu ni mkatoliki kwahiyo nipo hivyo mpaka leo, mahusiano yangu na Mungu naamini ni mazuri kiroho lakini mahudhurio yangu kanisani kwa miaka ya karibuni si mazuri huwa nakwenda na kuacha kwenda.

Basi mambo yasiwe mengi last Sunday nikatimba church kwenye parokia yetu mambo niliyokutana nayo huko ni ya kusikitisha na nathubutu kuita kile alichokikemea mwokozi wetu Yesu kristu kwamba wasigeuze nyumba ya baba yake kuwa pango la walanguzi, kwa hakika hicho ndicho kinachoendelea parokiani kwetu si kanisa tena bali ni pango la walanguzi.

Sisi Wakatoliki huko nyuma tulikuwa tukiwacheka Lutheran kwa utaratibu wa sadaka nyingi na bahasha nyingi kumbe sasa utaratibu huo umeingia kwa speed kubwa kwenye kanisa katoliki ibada ya misa moja sadaka mnatowa mara saba, sina hakika na parokia zingine hali ikoje.

Sasa kila mwanaparokia unapewa kadi ya kuchanga pesa ya kuwa mkatoliki mume na mke 10,000)= kwa mwezi na watoto buku mbilimbili kila mwezi hii ni nje ya sadaka harambee na michango mingine, tunakwenda wapi?

Najuwa wapo watetezi waliolewa mvinyo wa dini watatetea uharamia huu kwa utetezi ni lazima tuchangie ujenzi wa kanisa, hakuna anayekataa hilo na tumekuwa tukijitolea miaka yote kwa kiasi, lakini naamini mtu ambaye yuko free minded hawezi kutetea uharamia huu kugeuza kanisa kuwa pango la walanguzi, na wasiokuwa na pesa za kuamka kwenye mabenchi mara saba kutowa hizo sadaka hawatojisikia vizuri na wataacha kuja kanisani kwa kuteswa kihisa kila watu wakiinuliwa kwenye mabenchi wao hawana kitu.

Hiyo sasa tisa kumi ni hawa jamaa zetu born again, nipo hapa nyumbani namsikiliza mtumishi wa Mungu akitangaza viwango vya sadaka ya kugombowa uzao wa kwanza ni laki mbili, uzao wa pili laki na na nusu, uzao wa tatu laki.

Kutokana na uharamia huu na unyang'anyi unaoendelea kupitia mwamvuli wa dini serikali haiwezi kusaidia lolote katika hili kwa sababu ni partners muhimu in crime.

Kwakuwa waislamu wanajitambuwa sana katika hili ni wakati sasa kwa wakristu wote kuamka na kupinga dhulma hii ambayo cha kusikitisha sasa imeingia radmi kanisa katoliki na hakuna hata mkatoliki mmoja aliwahi kuhoji miradi yote ya kanisa hadi mkombozi bank ipo kwa faida ya nani na inalisaidia vipi kanisa?

Tumsifu Yesu kristu.
Kanisani tunabananishwa na Sadaka za kufa mtu, Nje ya Kanisa nako Tozo kama, zote, "Ndani Ntiti, Nje Ntiti" 🤣🤣🤣
 
Nilijuwa watetezi hamuwezi kukosekana, hebu nieleze tu miradi ya kanisa katoliki ina faida gani kwa kanisa? Na ile benki yetu ya Mkombozi inalifaidisha vipi kanisa?

Kwani huko nyuma tuliweza vipi kujenga makanisa na mashule kwa sadaka za kawaida bila huu uharamia mpya ulioingia? Ni nini kilichobadirika?

Sisi parokia yetu ilikuwa na vigango vitatu na vyote vimekuwa parokia sasa zenye makanisa makubwa tu, tuliwezaje hayo kwa mwendo wa kawaida bila watu kunung'unika na leo kimebadirika nini?
Majibu kwa Matola:

Naona hapa umezungumzia shida ya michango kuwa mingi, namna ya kukusanya Sadaka au michango mingine ni miongozo ya Parokia husika si formula ya Parokia zote.

KANISA LINA NAMNA TATU TU ZA MATOLEO RASMI.

1.Zaka
2.Sadaka na
3. Shukrani ya Mavuno

Hayo mengjne ni Parokia husika, wapo baadhi ya Mapadri wamesimamia Zaka vizuri hivyo hawaruhusu michango mingine.
 
Majibu kwa Matola:

Naona hapa umezungumzia shida ya michango kuwa mingi, namna ya kukusanya Sadaka au michango mingine ni miongozo ya Parokia husika si formula ya Parokia zote.

KANISA LINA NAMNA TATU TU ZA MATOLEO RASMI.

1.Zaka
2.Sadaka na
3. Shukrani ya Mavuno

Hayo mengjne ni Parokia husika, wapo baadhi ya Mapadri wamesimamia Zaka vizuri hivyo hawaruhusu michango mingine.
Sijapenda tu kujiexpose, mimi nilikuwa ministrant na ningefaulu vizuru huenda ningeenda seminary na kuwa mtawa.

Kwahiyo naelewa vizuri sana hapo nyuma kanisa lilikuwa vipi na sasa liko vipi.

Labda mkuu unaweza kunisaidia miradi yote mikubwa inayomilikiwa na kanisa inanufaisha vipi wakatoliki?
 
Makanisa na misikiti vinapaswa kuwa nyumba za ibada kwa ajili ya kumuabudu na kumtukuza Mungu (Period). Nyumba hizi za Mungu HAZIPASWI kuwa za watu binafsi, watu hawapaswi kwenda kwenye nyumba za Mungu kwa kufuata jina la mtu binafsi bali jina la Mungu. Lengo la nyuma hizi za Mungu ni kufanya ibada, na si biashara. Viongozi wa nyumba hizi za ibada wanapaswa wafarijike pale wanapoona wafuasi wanafurika kwenye nyumba kwa lengo la kufanya ibada, lakini ni jambo la ajabu sana siku hizi kumuona kiongozi wa kanisa fulani akikasirka na kuona wivu kwamba kiongozi wa kanisa lingine 'amemchukulia' wafuasi wake, inapaswa iwe 'wafuasi wa Mungu' na 'wafuasi wake'.

Kama umesafiri nje ya mkoa unaoishi, wewe ni mgeni hapo mkoani hivyo unapaswa kwenda nyumba yoyote ibada iliyo jirani na ulipofikia kutokana na dini yako. Kama wewe ni muislamu unapaswa uende msikiti na kama wewe ni mkristo unapaswa kwenda kanisa lililo jirani na hapo, lakini hali haiko hivyo hasa kwa wakristo, inabidi uende umbali mrefu kulifuata kanisa aidha la dhehebu lako au kanisa la jina la mchungaji fulani unayempenda wewe.

Tunapaswa tujiulize tunaabudu Mungu, dhehebu, au jina la kiongozi wa nyumba ya Mungu?

TAFAKARI
 
Alie design hiyo business model ya church business ni genius ndio maana alihakikisha kuna njia za kukubana ili usiache kutoa hela maisha yako yote.

Kwanza kabisa wanaanzia mbali kwa kukuingiza kwenye system tangu ukiwa mtoto mchanga kwa ubatizo. Pili unaaminishwa kwamba bila kubatizwa kanisani na kupewa sakramenti wewe si mkristo.

Hiyo yote unajengwa kisaikolojia ili uje upigwe vizuri. Baadae unaaminishwa kwamba ili uwe mkristo lazima utoe sadaka na michango yote ili "kueneza injili" na kusaidia jamii wakati kiuhalisia hamna kitu kama hicho.

Mwisho unaambiwa usipotoa michango hautazikwa na kanisa na unatishiwa usipozikwa na kanisa unaenda motoni..!!! Yaani system ipo self contained mwanangu kila kitu ni mumo kwa mumo..!

Yaani mtu unafika mahali unajua kabisa hapa napigwa, ila huna pa kutokea dadeki..!
Yes you wrote.

Although kitu kimoja cha maana ni kuamini Mungu yupo ili ikitokea umekufa na akawepo kweli basi ile salama, maana hata ukisema hayupo na ukamkuta something manner so whatever you say hayupo au yupo huko mbele haitakupungizia kitu.

Problems is up this kind of religious.
 
Sijapenda tu kujiexpose, mimi nilikuwa ministrant na ningefaulu vizuru huenda ningeenda seminary na kuwa mtawa.

Kwahiyo naelewa vizuri sana hapo nyuma kanisa lilikuwa vipi na sasa liko vipi.

Labda mkuu unaweza kunisaidia miradi yote mikubwa inayomilikiwa na kanisa inanufaisha vipi wakatoliki?
Kwahiyo unataka kila mwanakanisa apate chochote nendeni mkajiunge na saccoss za kanisa zipo pale Jimbo kuu st Joseph.
 
Leo ni Jumapili ya matawi Yesu anaingia Jerusalem, lakini nikitafakari imani yangu ya ufuasi wa kristu napata mashaka makubwa sana.

To declare interest mimi nimezaliwa nimejikuta tu ni mkatoliki kwahiyo nipo hivyo mpaka leo, mahusiano yangu na Mungu naamini ni mazuri kiroho lakini mahudhurio yangu kanisani kwa miaka ya karibuni si mazuri huwa nakwenda na kuacha kwenda.

Basi mambo yasiwe mengi last Sunday nikatimba church kwenye parokia yetu mambo niliyokutana nayo huko ni ya kusikitisha na nathubutu kuita kile alichokikemea mwokozi wetu Yesu kristu kwamba wasigeuze nyumba ya baba yake kuwa pango la walanguzi, kwa hakika hicho ndicho kinachoendelea parokiani kwetu si kanisa tena bali ni pango la walanguzi.

Sisi Wakatoliki huko nyuma tulikuwa tukiwacheka Lutheran kwa utaratibu wa sadaka nyingi na bahasha nyingi kumbe sasa utaratibu huo umeingia kwa speed kubwa kwenye kanisa katoliki ibada ya misa moja sadaka mnatowa mara saba, sina hakika na parokia zingine hali ikoje.

Sasa kila mwanaparokia unapewa kadi ya kuchanga pesa ya kuwa mkatoliki mume na mke 10,000)= kwa mwezi na watoto buku mbilimbili kila mwezi hii ni nje ya sadaka harambee na michango mingine, tunakwenda wapi?

Najuwa wapo watetezi waliolewa mvinyo wa dini watatetea uharamia huu kwa utetezi ni lazima tuchangie ujenzi wa kanisa, hakuna anayekataa hilo na tumekuwa tukijitolea miaka yote kwa kiasi, lakini naamini mtu ambaye yuko free minded hawezi kutetea uharamia huu kugeuza kanisa kuwa pango la walanguzi, na wasiokuwa na pesa za kuamka kwenye mabenchi mara saba kutowa hizo sadaka hawatojisikia vizuri na wataacha kuja kanisani kwa kuteswa kihisa kila watu wakiinuliwa kwenye mabenchi wao hawana kitu.

Hiyo sasa tisa kumi ni hawa jamaa zetu born again, nipo hapa nyumbani namsikiliza mtumishi wa Mungu akitangaza viwango vya sadaka ya kugombowa uzao wa kwanza ni laki mbili, uzao wa pili laki na na nusu, uzao wa tatu laki.

Kutokana na uharamia huu na unyang'anyi unaoendelea kupitia mwamvuli wa dini serikali haiwezi kusaidia lolote katika hili kwa sababu ni partners muhimu in crime.

Kwakuwa waislamu wanajitambuwa sana katika hili ni wakati sasa kwa wakristu wote kuamka na kupinga dhulma hii ambayo cha kusikitisha sasa imeingia radmi kanisa katoliki na hakuna hata mkatoliki mmoja aliwahi kuhoji miradi yote ya kanisa hadi mkombozi bank ipo kwa faida ya nani na inalisaidia vipi kanisa?

Tumsifu Yesu kristu.
Wewe jamaa utakuwa mgonjwa wa akili, kwanza umesema mahudhurio yako Kanisani sio mazuri,Sasa kwenda tu siku moja umeleta malalamiko JF, Naomba nikuulize maswali yafuatayo na unijibu vizuri.
1.Ulipokuwa huendi Kanisani, Kwani Kanisa lilishindwa kuendesha mambo yake kisa kukosa sadaka yako??

2.Je,Kuna mtu au watu waliokulazimisha kutoa sadaka ambazo unazilalamikia hapa??.

3.Hivi ktk maisha Yako ni pesa kiasi gani huwa unatoa kugharamia mambo ambayo si ya msingi sana, Matharani kuwanunulia watu pombe,kuhongea mademu ambapo wengine wanaishia kukutosa,kutoa michango ya sendoff,harusi,n.k.Lkn hujawahi kuja hapa kulalamika?

4.Je, unadhani hayo makanisa mengine hawana michango??,Ikiwa hawana michango je,Wanajiendeshaje?,wanawezaje kujenga makanisa?, wanawezaje kulipa gharama za umeme,maji,walinzi,chakula,vifaa mbalimbali,nk.??.

5.Umewaita watetezi wa sadaka na michango kuwa Walevi wa mvinyo,Hivi kati ya wewe unayepinga na wao wanaounga mkono nani ni mlevi wa mvinyo??

6.Hivi unadhani wewe ukiacha kutoa sadaka na michango,ndio Kanisa halitasonga mbele??.Hebu jiulize miaka yote hiyo takribani 2000 liliwezaje kusambaa na kujengwa maeneo mbalimbali km sio michango ya watu wema??.Wewe umezaliwa ukalikuta Kanisa Katoliki, utakufa na kuliacha likiendelea kutamalaki.Kwa hiyo uache kusali, kuchangia wala huna impact yeyote.



Ushauri WANGU.
Chagua kuwa Mkristo Mkatoliki au wa Dhehebu jingine ambalo litaendana na matakwa yako,na Ukiona kote kugumu basi acha tu, hakuna atakayekulazimisha hutakuwa wa kwanza kufanya hivyo,kuliko kuja hapa kulia lia Bora tu ukakaa pembeni.
 
Sijapenda tu kujiexpose, mimi nilikuwa ministrant na ningefaulu vizuru huenda ningeenda seminary na kuwa mtawa.

Kwahiyo naelewa vizuri sana hapo nyuma kanisa lilikuwa vipi na sasa liko vipi.

Labda mkuu unaweza kunisaidia miradi yote mikubwa inayomilikiwa na kanisa inanufaisha vipi wakatoliki?
Mimi ni muumin wa kawaida tu, huwa siingii deep sana na sina mazoea wala ukaribu na viongozi/mapadre natimiza wajibu wangu tu. Naomba kueleweshwa na mimi.

Sasa kwenye suala miradi huwa sijui tunanufaika vp na namna gani niwe muwazi hapo sasa ndiyo unipe shule mkuu ?
 

1 Tim 3:2-3​

Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha
1 Wakorintho 7:32-35
32 - Lakini nataka msiwe na masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje Bwana;
33 - bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.
34 - Tena iko tofauti hii kati ya mke na mwanamwali. Yeye asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana, apate kuwa mtakatifu mwili na roho. Lakini yeye aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mumewe.
35 - Nasema hayo niwafaidie, si kwamba niwategee tanzi, bali kwa ajili ya vile vipendezavyo, tena mpate kumhudumia Bwana pasipo kuvutwa na mambo mengine.

Mathayo 19:10-12
10 - wanafunzi wake wakamwambia, mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
11 - Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.
12 - Maana wako matowashi waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama zao; tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi;
tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa mbinguni. Awezaye kulipokea neno hili, na alipokee.
 
Hizi dini ni belief systems, hata kabla ya hizi dini kuja Africa, tulikuwa na dini zetu na hazina tofauti na zao maana wote tulikuwa tunamuamini mungu mmoja.

Na ndo ilikuwa sababu kusambaza hizi dini zao duniani wakiamini kwamba kila binadamu ana Imani na mungu.

Cha kufanya kama Africa ili tuweze nusuru kizazi chetu, inabidi tutengeneze believe system yetu. Ambayo Iko updated na isiwe na mshikamano wowote wa hizo dini za kuja yaan ukristo na uislam.

Mfano, tukiwa na believe system inayoitwa Africanism ambayo tutajenga sehemu za kuabudia na pia kila tukikutana ni kuongelea na kujadili jinsi ya kuikomboa jamii yetu na kukumbushana ni wapi tulipotoka. Tumepitia kwenye utumwa na Bado tupo kwenye utumwa hata kuwazidi hao Wana wa Israel mnao wasoma kwenye vitabu vya dini za kuja. Tunaweza kutengeneza kitabu au bible yetu ambayo inaelezea historia yetu na kwa ufasaha. Maana tunasoma historia ya waisrael ambazo hazituhusu hata kidogo. Tunadharau mababu zetu eti tunawaita mizimu ila mizimu ya kizungu tuiita watakatifu na tunaiomba ituombee.
 
Mkuu Matola asante kwa kuandika mawazo ya wengi.
Nina miaka minne tangu niurudie ukatoliki, na nilichokikuta huko ni WIZI MTUPU.
hawa viongozi wa dini wanatukamua hadi cent ya mwisho ili wao waishi maisha ya kustarehe.
Parokia ninayosali mapadre wanaendesha ndinga za kifahari, michango haikauki.
Kwa miaka miwili sasa wanajenga jumba la kifahari ghorofa lao la kuishi. Wanachangisha waumini kwa kufosi. Yaani kila ibada weka kando sadaka ya kawaida wana mchango wa ujenzi, wameweka viwango kisipotimia mnarudia kutoa tena, hamtoki kanisani hadi kitimie.
Kwenye jumuiya ndo usiseme, unachangia jumuiya, parokia, Askofu nk.
Wanachangisha pesa za kuanzisha vitega uchumi kama vile bank, shule, majengo, zahanati n.k lakini vikishakamilika hakuna return yoyote kwa waumini.

Kanisa limekuwa genge la wezi, wanatumia kifo kama nira ya kuwakokota waumini. Usipochangia hupewi huduma za sakrament pamoja na maziko.

Ni muda sasa wa watu kujifunza namna ya kuishi nje ya utegemezi wa Kanisa.
 
Leo ni Jumapili ya matawi Yesu anaingia Jerusalem, lakini nikitafakari imani yangu ya ufuasi wa kristu napata mashaka makubwa sana.

To declare interest mimi nimezaliwa nimejikuta tu ni mkatoliki kwahiyo nipo hivyo mpaka leo, mahusiano yangu na Mungu naamini ni mazuri kiroho lakini mahudhurio yangu kanisani kwa miaka ya karibuni si mazuri huwa nakwenda na kuacha kwenda.

Basi mambo yasiwe mengi last Sunday nikatimba church kwenye parokia yetu mambo niliyokutana nayo huko ni ya kusikitisha na nathubutu kuita kile alichokikemea mwokozi wetu Yesu kristu kwamba wasigeuze nyumba ya baba yake kuwa pango la walanguzi, kwa hakika hicho ndicho kinachoendelea parokiani kwetu si kanisa tena bali ni pango la walanguzi.

Sisi Wakatoliki huko nyuma tulikuwa tukiwacheka Lutheran kwa utaratibu wa sadaka nyingi na bahasha nyingi kumbe sasa utaratibu huo umeingia kwa speed kubwa kwenye kanisa katoliki ibada ya misa moja sadaka mnatowa mara saba, sina hakika na parokia zingine hali ikoje.

Sasa kila mwanaparokia unapewa kadi ya kuchanga pesa ya kuwa mkatoliki mume na mke 10,000)= kwa mwezi na watoto buku mbilimbili kila mwezi hii ni nje ya sadaka harambee na michango mingine, tunakwenda wapi?

Najuwa wapo watetezi waliolewa mvinyo wa dini watatetea uharamia huu kwa utetezi ni lazima tuchangie ujenzi wa kanisa, hakuna anayekataa hilo na tumekuwa tukijitolea miaka yote kwa kiasi, lakini naamini mtu ambaye yuko free minded hawezi kutetea uharamia huu kugeuza kanisa kuwa pango la walanguzi, na wasiokuwa na pesa za kuamka kwenye mabenchi mara saba kutowa hizo sadaka hawatojisikia vizuri na wataacha kuja kanisani kwa kuteswa kihisa kila watu wakiinuliwa kwenye mabenchi wao hawana kitu.

Hiyo sasa tisa kumi ni hawa jamaa zetu born again, nipo hapa nyumbani namsikiliza mtumishi wa Mungu akitangaza viwango vya sadaka ya kugombowa uzao wa kwanza ni laki mbili, uzao wa pili laki na na nusu, uzao wa tatu laki.

Kutokana na uharamia huu na unyang'anyi unaoendelea kupitia mwamvuli wa dini serikali haiwezi kusaidia lolote katika hili kwa sababu ni partners muhimu in crime.

Kwakuwa waislamu wanajitambuwa sana katika hili ni wakati sasa kwa wakristu wote kuamka na kupinga dhulma hii ambayo cha kusikitisha sasa imeingia radmi kanisa katoliki na hakuna hata mkatoliki mmoja aliwahi kuhoji miradi yote ya kanisa hadi mkombozi bank ipo kwa faida ya nani na inalisaidia vipi kanisa?

Tumsifu Yesu kristu.
Kweli mkuu hata mimi nimeacha kwenda kanisani kutokana na sadaka na michango kuwa mingi mno kiasi kwamba ukipiga hesabu ya utitiri wa michango unakata tamaa ya kwenda kanisani.mara uta sikia mchango wa kununua gari la mtumishi nk. wakati Yesu huyo wanaomuhubili hakuwahi kumiliki hata baiskeli alikuwa anatembea kwa miguu! Naunga mkono hoja kuna haja ya kuhoji.
NEEMA YA BWANA IWE NANYI!
 
Ona waislam duniani kote wanajijua Kuna wale wajahidina na wasio wajahidina hata uende wapi duniani ukikuta muslam atakuwa kundi moja hapo ndio maana warabu wanawajengea misikiti, mda huu wa mwezi mtukufu Kuna misikiti Kila siku inatoa pesa kwa watu wasiojiweza kwenda kununua futari umeona hapo kwanini hawajaingiza ubinafsi na umimi kwenye Imani njoo kwetu Sasa

Kanisa la masanja mkandamizaji
Kanisa la mc pilipili
Kanisa la gwajima
Kanisa la mzee wa upako
Kanisa la mwamposa
Kanisa la kakobe
Na bado Kuna utitiri wa makanisa na bado wanapigana vijembe unasali wapi wewe ukisema kwa MC pilipili wanaanza kusengenya njoo uku yani

ingekuwa kula kitu moto inaruhusiwa uslam unaenda uko sema kiti moto kuacha dah ngumu, maana nishaionja Sasa kuacha ngumu
Hujui Dini Yako na hautaona ahueni yoyote popote uendako maana hata Kwa Waislam wamegawanyika Sana tu, kuwa na makanisa utitiri Kuna kuzuia vipi wewe kuwa Mkristo? Kuwa mkristo na Kwenda Kanisani ni vitu viwili tofauti, Ukristo uko moyoni mwako. Soma Vizuri biblia na uelewe sio unapelekwa na maneno ya mitaani.
 
Back
Top Bottom