Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Unataka baba Paroko ale nini na kanisa ajenge nani nashangaa sana Rc wenzangu ila mkienda kwny makanisa ya kilokole mnatoa sana hamsemi kauli ngumu
 
Kwa hiyo huyu alitaka Wakatoliki wawe wanagawiwa pesa kutokana na miradi hiyo??.
 
Uendeshaji wa ibada umegawanyika katika Masomo ya Zaburi na Injili , kisha kuna Mahubiri halafu kuna Sadaka.

Kisha kuna Mageuzi ya Mkate na divai ambapo waamini waliojiandaa HUKOMONIKA .


MWISHO MATANGAZO. ambayo hutofautiana kanisa Mahalia.

Hakuna mazingira yoyote ya UNYANG'ANYI.

Injili inasonga mbele. Miradi ya kanisa inafanya kazi kubwa ya kumtangaza Kristo kote ulimwenguni.
 
Kwani zamani hizo bill alikuwa analipa nani?inaonekana na wewe ni mnufaika
 
Mfano Jimbo kuu la Dsm linabeba Mafia inasaidia kule kipindi iki si miaka ile ya wazungu ss tunajibeba wenyewe
 
Kuna mambo Uislamu upo vizuri aisee.
Cha kwanza ni mfumo wa ndoa za kiislamu,
Cha pili huko kwenu hakunaga uporaji kwa njia ya michango na riba.
 
Kwani zamani hizo bill alikuwa analipa nani?inaonekana na wewe ni mnufaika
Wewe siyo muislimu ila umejichomeka
 
Hawa watu wanatumia kifo kutisha waumini.
Na watu wanaona kuzikwa bila Padre ni aibu.
Ni muda sasa watu waka draft njia simple ya kuwapumzisha wapendwa wao bila kushirikisha hawa wezi wa masikini.
 
Utazikwake na wakati wa uhai ulihasi dini wakti wa uhai umekataa kulitegemeza kanisa umekataa kukili imani alafu uwe mfu upelekwe kanisani
 
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟWaumini wanaongezeka kwa kasi ya exponential function

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Kila makao mapya yanapoibuka sehemu yanakusanya wakristu wengi hivyo lazima nyumba za ibada zijengwe

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Vilivyokuwa vigango vinapanda hadhi ya kuwa parokia hivyo lazima miundombinu ya kiparokia ijengwe

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Zamani tulitegemea misaada ya wazungu kujenga makanisa lakini sasa tunasimama wenyewe

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Sisi hatutegemei matajiri wamepiga fedha zao kwenye biashara halafu waje wajitakase kwa kutujengea nyumba za ibada

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟSisi hatutegemei nyumba zilizoachwa wakfu

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟHivyo michango ni zoezi la mpaka kufa utawaacha wengine waendelee na haimaanishi usipo changa utakuwa na utajiri au ukichanga utafilisika hapana
 
Mmh hii ni hatari ni too much
 
F*#ck that!
Mie nilishasema nikifa hata manispaa ikinizika hamna shida. I don't care.
Ukifa hawakuziki. Hapo ndipo wametushika pabaya
BTW, Roman Catholic wana double standards sana katikaa hili.
Rejea kifo cha mzee kingunge ambaye aliasi kwenda kanisani kwa muda mrefu lakini at his funeral alizikwa kikanisa.
 
Hela yangu huwa nawasaidia wahitaji na wagonjwa,na naamini ndo sadaka yangu
Huwa ni ngumu kumpa mtu pesa yangu afu yeye akastarehe,kwangu ni big no
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ