Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Sema jamaa anasema ukweli ....
 
Hichi ni kitabu gani tena maana najua vilikuwepo vitabu 66 hiyo wakabayo imetokea agano gani tena,turudi kwenye mada hiyo sadaka anaondoka nayo padri inaenda jimboni ama?
Hicho ni miongoni mwa vitabu sita vilivyo chomolewa na Martin Luther, hivyo Waprotestanti hamna.Hiyo sehemu inahusu kuombea wafu.Sadaka hiyo hupelekwa Parokia I kwaajili ya kumwombea misa ya wafu huyo Marehemu.
 
Nipanick kwa sababu ya mtu anayeishi kwa sadaka? Be seriuos man!kilichonishangaza ni yeye kujiona hana hadhi ya kupanda gari
Hayo ni mawazo yako,ishu hapo sio hadhi inawezekana ni majukumu au Sababu za kiafya, huwezi jua.
 
... kwenye kanisa katoliki ibada ya misa moja sadaka mnatowa mara saba, sina hakika na parokia zingine hali ikoje.
... kuamka kwenye mabenchi mara saba kutowa hizo sadaka
Mimi nijuavyo misa ya Kikatoliki isiyokuwa na tukio maalum la sherehe au sakramenti huwa haizidi saa moja na nusu. Umesema mmeinuliwa mara saba kutoka katika benchi, na nafsi yako inashuhudia hayo kwamba uliyosema ni ya kweli, kwamba mmeinuliwa kutoa michango mara saba! Kwangu mimi hiki kitu ni kipya kabisa katika Kanisa Katoliki, na siwezi kukupinga kwa kuwa nafsi yako imetoa ushuhuda huu hadharani, na kwamba ushuhuda huu ni wa kweli. Ninachoweza kusema ni kwamba kama uyasemayo ni kweli kabisa, basi yanahitajika marekebisho makubwa hapo Parokiani kwenu, maana Paroko kuruhusu misa kuwa ndefu kiasi cha kutoa sadaka kwa kuinuka mara saba sio jambo la kawaida
 
Hakuna anayekutisha Mzee mzima,na wala haulazimishwi.
 
Hicho ni miongoni mwa vitabu sita vilivyo chomolewa na Martin Luther, hivyo Waprotestanti hamna.Hiyo sehemu inahusu kuombea wafu.Sadaka hiyo hupelekwa Parokia I kwaajili ya kumwombea misa ya wafu huyo Marehemu.
Kuhusu hilo nisikubishie ntakuwa nakutenda vibaya ,sema nini me napenda kitu inaitwa logic!
 

Yah na hii ndio imani ya kweli. Au ibada safi
 
Namshukuru Mungu sna saivi mm wala kanisa halimipi presha nimeamua kuishi vile naona sahihi kama kuzikwa na pdri hii denia watu wengi Tu wanakufa bila kuzikwa
 
😂😂 Hapo kuna kitu sio sawa kama uzi huu unavyonadi. "..Yani ile ya chini pamoja na uzuri wake wanaona sio hadhi yao". Mkuu, Simamia hapo-hapo kidedea.
Kwani walioishi hapo hiyo miaka takribani 6 hawakuwa Mapadre?
Ila narudia tena Ila kama haijitoshelezi kwa mfano Nyumba na Ofisi au Huduma kwa Idadi ya wale wanaoishi hapo e.g. Uwepo wa Masister, Ukumbi wa mikutano, Huduma Mtambuka e.g. Vyoo, Bafu,Stoo, mahali pa chakula au Jiko la ndani n.k. na Eneo lililopo ni dogo au finyu. Kweli inabidi Mjinyime/Mjibane zaidi lakini pia kuwe na maboresho kimawasiliano kwa mfano kutumia neno linaloonesha kudharau au Kubeza e.g. sio Hadhi ya mapadre....sio kauli nzuri. Pia namna nzuri na ya unyenyekevu Kuwahamasisha Waumini ili washiriki kutoa michango kwa Hiari bila vitisho.
 
Hizo fedha wanapelekaga wapi ukizingatia jamaa wanasema hawaruhusuwi kuoa na wenzao hawaruhusiwi kuolewa?
Wanapata posho ndogo sana, fedha nyingi zinatumika kwa ajili ya maendeleo ya kanisa. Mfano ni ununuzi wa viwanja kwa ajili ya vigango vipya, ambavyo baadaye huwa Parokia. Lakini kuna fedha za mavuno, hizi huwa si mali ya Parokia, huwa zinaenda Jimboni na kuwa ruzuku kwa Parokia zisizojiweza, mfano Parokia iliyopo Rufiji kwenye waumini wasiozidi 200, haiwezi kujitegemeza bila ya ruzuku kutoka Jimboni. Tuondoe mentality ya kuwa kila matoleo ni kwa ajiliya matumizi ya mapadre, labda madhehebu mengine ila sio RC
 
Kwa hili niliwahi hudhuria msiba wa ndugu yangu mkatoliki nikasikia hii, nikasema duuuh kwa hili asee watu wanapigwa , kwa Hy wale wenye wapendwa wao wanao wapenda Sana wawatolee hao ndugu mpaka lini, ? Manaka hata tukitenda dhambi tujivunie kuwa huku dunian watakao Baki watanitolea sadaka ili nisamehewe? Alie anzisha hili jambo aliwapiga na kitu kizito kichwani
 
Umeshawahi kufuatwa au kulazimishwa kutoa sadaka? Umeshawahi kusitishiwa huduma yoyote mf ekaristi kitubio n.k Kisaa haujatoa sadaka? Umeshawahi kwenda kusali ukaambiwa hapa wanaingia waumini waliochangia ujenzi wa kanisa pekee? Kanisa uliloenda unajua waliochangia mpaka Leo unaingia bila shida??
 

Ufike hadi huko italy wausome na michangi yote. Maana tukija kuongelea kanisani tutaonekana wapinga kristo. We padri apewe mapaji ambayo ni matumizi yake kusaidia kuishi parokiani. Tena atake sadaka ni mbaya
 
Ukiona mambo ya kanisani hauyaelewi , nenda kaabudu mizimu yenu.
 
😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…