Milele Amina mkatoliki mhenga mwenzangu,
Umeandika hoja moja muhimu ambayo kama huna mihemuko ya dini utaona ni kiasi gani ukristo wetu unatoka kwenye imani.
Binafsi huwa nashangaa na jinsi polepole tunavyokuwa brainshwashed kuwa kutoa kuwa direct relationship na kuingia mbinguni au luwa mkristo bora. Naamini kubwa la kupata kwenye misa ni mahubiri, maelekezo yatakayonifanya niwe mkatoliki mkristo bora then niwe mtu mwema na nisaidie kwa kadri ninavyoguswa.
Leo hii tuna michango hii ambayo inaandikwa majina na ukikosa kila mtu anakutolea macho; sadaka, tuna zaka , tuna tegemeza jimbo, wawata, uwaka, utoto mtakatifu , viwawa, mavuno ( hii tunayo kwetu), shukrani ya mwaka ( tunayo kwetu), bahasha ya mtoto Yesu krismas, bahasha ya pasaka, mapaju jumuia ikihudumu kila familia elf 10, ujenzi wa kanisa ( letu tunachangaga ujenzi since 2005 _ 17 yrs back) na halijaisha.
Jumuia tuna mchangonwa familia kila mwezi , sadaka ya jumuia jumamosi .
Hizi ni fixed ila kuna zile adhock askofu anatembelea tumpe zawadi, gari la mapadri , nk nk
Sawa kanisa linategemezwa na waamini but come on tusiwe vipofu hivi to what extent??? Mbona kanisa hili halitoi kwa waamini? Na bado hakunaga usawa hata msemeje hakuna usawa - uwe na mgonjwa anataka sacrament ya wagonjwa utapita mlolongo huo balala. Hao wanaoniita makatekista ndio wakwanza kuwa warasimu .
Nimewahi kuomba mtoto ninaemlea miaka 6 agongewe muhuri tu alitaka kijiunga seminari dah nilienda pale parokiani mara 4 , nikaulizwa mambo yasiyihusiana na issue husika ( je namlea kivipi, je yuko kwenye sensa ya waamini na nimemtolea mchango wake - hamtaamini ila it was pathetic nilimjibu katekista na padre vubaya sana kuwa kama issue ni muhuri naweza kuchongesha ila kwa kujali ukristo wa mtoto nimefuata taratibu.
In short viongozi hawa wakatoliki wasioobadilika wajue wao ndio kikwazo kikuu na sababu ya waamini kukimbia kanisa na andiko linasema ole wake anaesababisha makwako kwa wengine.
Kuna siku jumuia yetu ilikuwa na zamu yanusafi na jumapili yake kupeleka mapaji ...hii ya mapaji nayo imekuja miaka hii ya 2000 zamani haikuwepo ; wasio wakatoliki mapaji ni kama mayai,sabuni, mahitaji ya kutumia mapadre ina week ( najiulizaga kama tunatoa sadaka iendeshe nyumba ya mapadre mapaji ya nini ila ndio kwa ufinyu wetu ukiuliza unaambiwa una lucifer kichwani) now back to the story, katekista akatuma ujumbe kuwa mapaji tunayopelela yawe ya aina fulani sabuni, mayai nk , nilitafakari sana tumefikia hapa mapadre au katekista anachagua sio mbaya sawa ila alikuwa aki dictate na brand za margarine, cooking oil. Tukumbuke kanisa ni kimbilio la wanyonge je wale wahitaji kanisa lina give back vipi kwao. Miaka 2 nyuma tulikuwa na harambee ya kununua gari la mapadre waumini wakasema tununue Rav4 ,mapadre walikataa wakataka navara tukasema jamani parokia iko mjini na inahudumia wanaparokia kwanini hawataki rav4 - we never won na prado lilinunuliwa. I can go on and on ila tuna tatizo kubwa sana kanisani.
Hiinya kupangiana sasa zaka ,eti nijaze form na mshahara wangu ndio naona mpya kanisa, who brough us here ? Nijaze napata laki 2 ,so kanisa linadai elf 20 bila kujali nina mama mkwe, wategemezi, watoto ,nk nk . Wanasema fungu la 10 ni strickt asimilia wanasahau tuna operate in a complete different environment ya tozo kila pahala.
Binafsi naipenda sana imani yangu ila nakwazwa sana na behavior ambazo zinaonekana ni strategy kuwba kuanzia juu hadi chini. Inakera zaidi wanapoogopesha waamini kuwa kutoa ni tiketi ya ukristo bora ,kuzikwa ni ishara njema , watasema ooh marehemu alilipenda kanisa ,what nonsense?? Bora waseme marehemu alisaidia majirani hata kama alikuwa mpagani.
Uzi huu usomwe na makasisi warekebike ,wanatukwaza kwa. Kwa kiwango cha juu sana. Kizazincha vijana chipukizi kinakuja na reasoning power na wasipoangalia watakosa waamini.
Sijui tunashun