Hapo ulipomalizia Mungu anaona moyo wako. Umemrudishia mpira mtoa mada.Cha msìngi beba mia 7 yani shilingi mia ziwe 7,kuanzia sadaka ya kwanza adi ya 7 unanyanyuka tu na washirìka wanakuona umetoa!
Wala hutaumia,kikubwa Mungu anaona moyo wako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ulipomalizia Mungu anaona moyo wako. Umemrudishia mpira mtoa mada.Cha msìngi beba mia 7 yani shilingi mia ziwe 7,kuanzia sadaka ya kwanza adi ya 7 unanyanyuka tu na washirìka wanakuona umetoa!
Wala hutaumia,kikubwa Mungu anaona moyo wako!
The same can be said about Gandhi on Africa. " I love Africa but I hate black people". He was a racist."I love christianity but I hate Christians"....Gadhi.
[emoji16][emoji16][emoji16]kuacha kiti Moto tuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]Ona waislam duniani kote wanajijua Kuna wale wajahidina na wasio wajahidina hata uende wapi duniani ukikuta muslam atakuwa kundi moja hapo ndio maana warabu wanawajengea misikiti, mda huu wa mwezi mtukufu Kuna misikiti Kila siku inatoa pesa kwa watu wasiojiweza kwenda kununua futari umeona hapo kwanini hawajaingiza ubinafsi na umimi kwenye Imani njoo kwetu Sasa
Kanisa la masanja mkandamizaji
Kanisa la mc pilipili
Kanisa la gwajima
Kanisa la mzee wa upako
Kanisa la mwamposa
Kanisa la kakobe
Na bado Kuna utitiri wa makanisa na bado wanapigana vijembe unasali wapi wewe ukisema kwa MC pilipili wanaanza kusengenya njoo uku yani
ingekuwa kula kitu moto inaruhusiwa uslam unaenda uko sema kiti moto kuacha dah ngumu, maana nishaionja Sasa kuacha ngumu
Usihofu utakua umekufa then hawatakuacha watazika ili usiharibike, ibada ya makaburini Ni kwa ajili ya walio haiUkifa hawakuziki. Hapo ndipo wametushika pabaya
Sure,he was purely racist!The same can be said about Gandhi on Africa. " I love Africa but I hate black people". He was a racist.
Ww ni mpumbavu sana usijibu watu nyodo si nenda ukatoe kimyakimya hiyo sadaka mwenzako anazungumzia uwingi wa uitisho wa sadaka vikapu 6 mpaka 7 kwanini isiwe vikapu 2 au 3Toa ndugu toa ndugu..ulichonacho..halafu unataka usitoe hilo kanisa litapelekaje injili..unataka usitoe hilo kanisa litalipaje wahudumu..unataka usitoe hilo kanisa litalipaje bills tofauti kama umeme na maji...unataka usitoe hilo kanisa litafanyeje logistics mbali mbali...unataka usitoe maintaince na repairs ya vifaa na miundombinu mbalimbali utatoa wewe.??
Acha kulalamika sana kama huna hela kaa kutulia
Uzuri hujalazimishwa..ila mkristo wa kweli hawezi kuona kama ni wizi mana hayo ndio mahitaji muhimu ya kuendesha taasisi.
Kingine kutoa ni upendo..kiwango itachojaliwa kutoa kinatosha sana.
Kama unaona hufiti nenda huko ambako hawatoi sadaka..hakuna aliyekushikiria unabaki kanisani.
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote.
#MaendeleoHayanaChama
kkkt ni balaa mara 7Hali ni mbaya kwakweli ....lutheran ndo balaa zaidi
Hata biblia hawasomagi kabisa wao pesa mbeleWala hatubishanii mahesabu, hao wana fungu lao, kanisa lina kamati ya fedha wala hamna shida mahesabu, tatizo ni kukamuwa watu kupita hali halisi na vipato vya Watanzania.
Wewe angalia Mtanzania huyu mwenye kipato finyu kuna haya yanamkabili.
• Family maintenance
• Shool fees
• Michango ya kijamii, harusi n:k
• Vyama vya hiyari umoja fulani hivi au Vicoba
Hayo ni kwa uchache tu sasa jumapili unasema uende kanisani ukamuamudu Mungu unakutana na uharamia kama huu, muda wa sadaka unazidi muda wa injiri tunakwenda wapi?
Nyamaza kwanza uzi uishe usitukorofishe tumeshaamua Moslem ndii lilmodo wetu kwa huu uzi [emoji23][emoji23]Wakati unatusifia Waislamu, sisi huku wenyewe tunatamani tungekuwa na moyo wa kutoa sadaka kama wenu.
Sisi ni changamoto watu wazito kutoa sadaka, madrasa na misikiti mingi inahitaji ukarabati na shule pia. Ila watu wetu wazito mno wa kutoa sadaka. Sadaka mpaka zitokee kwa waarabu ndio madrasa zijengwe
Halafu hawa watu wabaguzi sana hata ukiwa nao jiranikkkt ni balaa mara 7
Mkuu ras jeff kapita umeshamaliza michango yako!Mavuno nadaiwa laki mbili mwisho mwezi wa sita.
Nadaiwa zaka sijarudisha bahasha hii lazima nitoe.
Leo jpili lazima nizame kanisani na sadaka 3.
Nadaiwa laki mbili mchango wa gari la Paroko...nili-pleadge.
nisipotekeleza haya nitaonekana sio mkristo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ona waislam duniani kote wanajijua Kuna wale wajahidina na wasio wajahidina hata uende wapi duniani ukikuta muslam atakuwa kundi moja hapo ndio maana warabu wanawajengea misikiti, mda huu wa mwezi mtukufu Kuna misikiti Kila siku inatoa pesa kwa watu wasiojiweza kwenda kununua futari umeona hapo kwanini hawajaingiza ubinafsi na umimi kwenye Imani njoo kwetu Sasa
Kanisa la masanja mkandamizaji
Kanisa la mc pilipili
Kanisa la gwajima
Kanisa la mzee wa upako
Kanisa la mwamposa
Kanisa la kakobe
Na bado Kuna utitiri wa makanisa na bado wanapigana vijembe unasali wapi wewe ukisema kwa MC pilipili wanaanza kusengenya njoo uku yani
ingekuwa kula kitu moto inaruhusiwa uslam unaenda uko sema kiti moto kuacha dah ngumu, maana nishaionja Sasa kuacha ngumu
Jay one ungetutafsiria kwa kiswahili
Tatizo unchanganya UKWELI NA UWONGO acha kupotoshaKwa uzoefu wangu mdogo wa eneo nililokulia, zamani kulikuwa na mapadre wazungu, ambao mashirika yao na waumini wa huko ulaya, walikuwa hawaishi kuleta pesa,magari, mitumba, chocolate na biskuti, ambacho, viliwezesha kujenga makanisa, shule, na nyumba za mapadre na masista. Nafikiri siku hizi mambo yamebadilika, kama wapo wazungu ni wachache, na wazawa ndio wanashikilia uongozi na hakuna misaada kama ya mwanzo. Sasa hii michango lukuki kama inakwenda kimahesabu au ni ulaji, hilo sijui.