Kassano junior
Member
- Jan 29, 2022
- 16
- 11
Kwan ukifa msiba wao au w nan??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wambie huna hela wakikulazimisha na utishie kujitoa roho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan ukifa msiba wao au w nan??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wambie huna hela wakikulazimisha na utishie kujitoa roho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Narudia tena wewe siyo mkatoliki, rudi tena ukasome historia ya dini yako.Wewe huna akili, kama kuanzia post ya kwanza mpaka hii ya mwisho hujanielewa basi huna akili kichwani.
Huyo anawapotezea muda ndugu, hana ukatoliki . Mimi nilivyosomaga thread yake moja kwa moja niligundua ni mtu wa imani ipi, japo hapa katika uwasilishaji wake amejivika sura ya ukatoliki.Wala usiteseke kwa kuandika uharo wako huu usio na ukweli hata kidogo, hama wewe, mkeo na vitoto vyako nenda kwa mwamposa, gwajima, kakobe kakanyage, mafuta, chumvi namaji kwa sana na michango yote ya kule ambayo ni mara 50 ya Roman au Kkkt katoe huko. usituchoshe! RC tupo hapa tulipo kutokana na michango yetu!
Inawezekana ikawa kweli si mkatoliki lakini mbona wakatoliki wengi humu wanaunga mkono hiyo hoja kuna upigaji kweli makanisani tungestiki na mada nadhaniHuyo anawapotezea muda ndugu, hana ukatoliki . Mimi nilivyosomaga thread yake moja kwa moja niligundua ni mtu wa imani ipi, japo hapa katika uwasilishaji wake amejivika sura ya ukatoliki.
Tukienda kwenye historia ya kanisa katoliki ndio unaweza usiende tena kanisani, tusifike huko naelewa kuliko unavyoelewa wewe.Narudia tena wewe siyo mkatoliki, rudi tena ukasome historia ya dini yako.
Hili sikulijuwa ndio leo nasikia kwa hapa wanakosea sana maana sio kila mtu anatafuta huduma za kiroho ana uwezo mimi muislamu tuna changamoto kama hizo ila sisi sio lazima unacho unatoa huna unakausha tu sio issue na ibada unafanya tu hakuna wa kukuingilia na msiba ukikupata utahudumiwa kama anayetoa na asiyetoa, labda ukitaka huduma specific kwa shekh utampa kitu kidogo japo hakuna kiwango. Ila hili la leo kuwa ukiwa hutoi basi unatengwa hapa ndugu zangu jifikirieni kidogo maana watu hawako sawa.Hujui waroma ww kama hutoi na ww huduma hupewi
Waroma wanakosea bigtime..,.....Hili sikulijuwa ndio leo nasikia kwa hapa wanakosea sana maana sio kila mtu anatafuta huduma za kiroho ana uwezo mimi muislamu tuna changamoto kama hizo ila sisi sio lazima unacho unatoa huna unakausha tu sio issue na ibada unafanya tu hakuna wa kukuingilia na msiba ukikupata utahudumiwa kama anayetoa na asiyetoa, labda ukitaka huduma specific kwa shekh utampa kitu kidogo japo hakuna kiwango. Ila hili la leo kuwa ukiwa hutoi basi unatengwa hapa ndugu zangu jifikirieni kidogo maana watu hawako sawa.
Tatizo sisi waislamu mashekh watu wapigaji kuna msikiti mmoja kuna mtu kajitolea kutaka kumalizia ujenzi hawataki wanataka wapewe pesa wao jamaa akajivuta. Wenzetu pamoja na haya ambayo siungi mkono kumtenga mtu kwenye msiba au harusi lakini wanaendeleza walichonacho kama mashule na makanisa sisi mpaka shule zetu tunaziuwa.Wakati unatusifia Waislamu, sisi huku wenyewe tunatamani tungekuwa na moyo wa kutoa sadaka kama wenu.
Sisi ni changamoto watu wazito kutoa sadaka, madrasa na misikiti mingi inahitaji ukarabati na shule pia. Ila watu wetu wazito mno wa kutoa sadaka. Sadaka mpaka zitokee kwa waarabu ndio madrasa zijengwe
Kanisa Katoliki zamani lilikua linaendeshwa na Misaada Toka Ulaya .Ukishaingia mfumo wa jumuia lazima utowe pesa ya kuwa mkatoliki kila mwezi.
Pili harambee za kipuuzi na sadaka nyingi kwenye ibada inaondoa system ya kikatoliki ambayo tulizoea ibada ya misa ya jumapili ni lisaa limoja na nusu tu na ikizidi kwa special case ni masaa mawili tu, sasa kwa huu upumbavu ulioanza ibada inakwenda mpaka masaa matatu, misa ya kwanza mnaingia saa 12 asubuhi mnatoka saa mbili na kitu.
Aisee nimechekaaa sana daa eti unadondosha jiti tu. Mkuu kuna vyombo vya sadaka ukiweka sarafu vinapiga kelele balaa.Usilalamike sana, chukua hatua zifuatazo.
1. Acha kutoa hizo sadaka (michango), au toa ile inayokugusa tu, mingine kaa kimya, hakuna mtu wa kukufanya lolote.
2. Tafuta chenji za kutosha ukiwa unakwenda kanisani. Kama ukikuta sadaka za kutoa ni tano na wewe ulipanga kutoa sadaka ya jumla ya shilingi mia tano tu, basi chenji hiyo mia tano ili kupata sarafu za mia mia ziwe tano, kisha kila ukitakiwa kutoa sadaka unadondosha jiti tu kwenye chombo cha sadaka.
Yeah nenda ukaisome tena, ukimaliza tafuta tena encyclopedia of religion soma kuhusu dini zote unazozijua ulimwenguni mambo kama haya hayatakupa mshangao.Tukienda kwenye historia ya kanisa katoliki ndio unaweza usiende tena kanisani, tusifike huko naelewa kuliko unavyoelewa wewe.
Hakuna upigaji hapo, ndiyo maana nikasema ukiwa muumini wa dhehebu fulani, jaribu kujifunza historia& utamaduni wa dini husika. Mtu unaabudu hujuhi hata history & culture of your religion ndiyo maana unakuta mtu anayumbishwa imani kwa jambo dogo sana.Inawezekana ikawa kweli si mkatoliki lakini mbona wakatoliki wengi humu wanaunga mkono hiyo hoja kuna upigaji kweli makanisani tungestiki na mada nadhani
aibu kuonekana maskinUzuri wake ni kuwa usipotoa si kosa la jinai.
Wewe ni paroko wa kanisa lipi?Hakuna upigaji hapo, ndiyo maana nikasema ukiwa muumini wa dhehebu fulani, jaribu kujifunza historia& utamaduni wa dini husika. Mtu unaabudu hujuhi hata history & culture of your religion ndiyo maana unakuta mtu anayumbishwa imani kwa jambo dogo sana.
kwan usipozikwa na kanisa unahasara ganiUkifa hawakuziki. Hapo ndipo wametushika pabaya