Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Cha msìngi beba mia 7 yani shilingi mia ziwe 7,kuanzia sadaka ya kwanza adi ya 7 unanyanyuka tu na washirìka wanakuona umetoa!
Wala hutaumia,kikubwa Mungu anaona moyo wako!
Hapo ulipomalizia Mungu anaona moyo wako. Umemrudishia mpira mtoa mada.
 
namshukuru mungu nimezaliwa nikajikuta mimi ni muislamu. woow thanks god
 
Kutoa michango kanisa ni suala la kheri na kila muumini mwenye utambuzi hawezi kua na kigugumizi kwenye hili.Bila michango kanisa haliwezi kujiendesha,hii ni kwa vile hata maparokia huwajibika kuchangia harambee za kijimbo.
Shida ni utitiri wa michango,mingine ikiwa ni ile isiyokua na ulazima kmf kuchangia jiko la gesi!!!?? Mbona issue kama hizi zinaweza kumalizwa na majitoleo ya sadaka tunazotoa?
Kitu ambacho hua nakwazika nacho zaidi ni msururu wa michango wakati wa sacrament kama ubatizo,komunio na kipaimara.....mara zawadi ya kumshika askofu au shukrani ya ubatizo.....vikoro koro ni vingi mno na vinaweza hata kukwamisha waumini wenye uwezo mdogo kupata sakramenti muhimu za kikanisa.Tusigeuze makanisa kama "capitalist institutions "
Naunga mkono hoja ya mtoa post.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mwenyewe kanisani huko(ukatoliki) nadaiwa michango lukuki yaani Malaki hivi na sitotoa kwa kweli

Mara mchango wa ujenzi ,mara zaka ,zote hizi ni kumi kumi halafu sadaka tatu tatu.

Halafu mwisho wa ibada kiongozi anawananga kweli kweli msiotoa

"Hutozikwa na kanisa .." aisee [emoji2]

Basi Waumini wanaingia woga kweli kweli.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]kuacha kiti Moto tuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
 
Tambua kitu kimoja kwamba hii Imani ililetwa kwa gharama by then, Sasa sio wachanga Tena tunatakiwa kujiendesha wenyewe Hakuna wafadhili Tena, source of income Ni Church members tu.
Pili sadaka kanisani siyo legal compursory payment, huna na nafsi yako inakusaidia huna, relax only God knows.
Sadaka au michango kanisani siyo quid pro quo, Ni shukrani kwa MUNGU wako kwa uhai ulionao.
Pia umesema umezaliwa umejikuta tu mkristo, now umekua jifunze KWELI then ubatizwe kwa maji mengi upokee kipawa cha ROHO mtakatifu, uwe na ujasiri wa kuahinda dhambi.
Mwisho hudhuria kanisani kila Sunday service Ni nzuri kwa afya ya kiroho.
 
Alafu unaiomba serekare iingilie kati,huo ushubwana peleka kule.
kama hujitambui kakufe mwenyewe.hata hivyo anayetoa zipo kama hazipo anatoa nini?
 
Watu weng wamekimbilia kuabudu kwa "manabii" na "mitume" maana wana amini huko kuna miujiza.. hivyo makanisa yetu yamebaki wazi waumin wamepungua sana
 
Ww ni mpumbavu sana usijibu watu nyodo si nenda ukatoe kimyakimya hiyo sadaka mwenzako anazungumzia uwingi wa uitisho wa sadaka vikapu 6 mpaka 7 kwanini isiwe vikapu 2 au 3
 
Hata biblia hawasomagi kabisa wao pesa mbele
 
Nyamaza kwanza uzi uishe usitukorofishe tumeshaamua Moslem ndii lilmodo wetu kwa huu uzi [emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tatizo unchanganya UKWELI NA UWONGO acha kupotosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…