Duuh, pole mkuu ila kiukweli kwa miaka ya karibuni,katoliki kuna shida nyingi sana,lakini kwa vile waumini haturusiwi kuhoji basi mambo yanakwenda kama yalivyopangwa,michango imekua mingi kupitiliza,zamani mtu anajivunia kuwa mkatoliki kutokana kutokana na jinsi kanisa linavyoendeshwa.Hili nina uhakika wakatoriki wengi hatupo vizuri katika kuichambua na kuijua biblia, that's why tunapokuwa hata ktk mijadala ya kidini huwa hatuna majibu kwasababu hatusomi na kuijua biblia, viongozi wa kanisa huwa wamejikita ktk michango ambayo mingine sio muhimu kabisa.Mnaweza mkatumia miaka minne kujenga kanisa,likiisha mtaambiwa mnunue gari la padri [emoji2],kapu la mama,mambo ni mengi