Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!

Kuna Kitu Rais Samia Amekisema Kuhusu Kurejea Kizimkazi “Post 2025”. Nashauri na Nasisitiza Wenye Uwezo Kusaidia, Tumsaidie Kumshauri Ukweli!

Wanabodi
Hili sio bandiko la kila mtu, ni bandiko la wale tuu wenye jicho la 3 na sikio la tatu.

Leo Rais Samia, akiwahutubia maofisa ugani, Ikulu ya Chamwino, kuna kitu Rais Samia amekisema kuhusu uchaguzi mkuu wa 2025, pale aliposema atarejea lini Kizimkazi. Rais Samia ameuzungumzia uchaguzi wa 2025 not expressly but impliedly

Juzi kati nilipandisha bandiko humu nikiuliza kuhusu Wasaidizi wa Rais Samia kama wanamsaidia kwa kumwambia ukweli Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..?

Kauli hiyo ya Rais Samia sio tuu ina maana kubwa sana kwa uchaguzi wa 2025 tuu, bali ni kauli ya uthibitisho bado kuna wasaidizi wa rais, ambao hawamwambii Rais Samia ushauri wa ukweli kuhusu mambo mbalimbali ukiwemo urais wa 2025.

Mimi ni miongoni mwa watu wanaounga mkono urais wa JMT 2025, twende na mwanamke Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Nimewasisitiza watu wenye uwezo wa kusaidia, wasaidie, kwa kumshauri Rais Samia ushauri wa ukweli wa urais wa 2025.

Mimi pia ni miongoni mwa watu hao wenye uwezo wa kusaidia, na nimeisha saidia kwa kutoa ushauri wangu katika bandiko la sauti HII

Kauli hiyo inaonyesha Rais Samia tayari ameisha hakikishiwa na watu wake, kuwa 2025 rais ni yeye, hii maana yake ni rais wetu wa 2025 tayari tunaye, yupo na ameisha chaguliwa, (amechaguliwa na nani?), hivyo siku ya uchaguzi ni kumthibitisha tuu!.

Hivyo nashauri, wale wenzetu ambao ni Presidential hopefuls wa urais wa JMT kwa uchaguzi Mkuu wa 2025, nawashauri save your time and money, rais wa JMT 2025, tayari tunaye!, zoezi la upigaji kura za urais uchaguzi wa 2025, sio kumchagua rais bali kukamilisha tuu taratibu za takwa la kikatiba kuwa uchaguzi ni kila baada ya miaka 5, hivyo hata kama rais tayari tunaye, bado tutapiga tuu kura sio kumchagua rais bali kutimiza tuu takwa la kikatiba la kufanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano hata kama uchaguzi huo sio uchaguzi, bali ni igizo tuu la uchaguzi kumthibisha tuu rais aliyepo!. Swali kama hili pia nililiuliza kabla ya uchaguzi wa 2020 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Tena nimewasikia watani zangu fulani wakisemezana kumsimamisha jembe lao, jibaba la shoka na shujaa wao, nawashauri wamsimamishe mgombea mwanamke, wanawake ndio wapambane, maana jibaba dume la shoka kushindwa na mwanamke, si ni itakuwa ni aibu sana?. Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Nawatakia Jumamosi Njema

Paskali
P kama P wa miaka ile, hongera.
 
Yapo mambo yanaonekana na Kuna mambo hayaonekani. Mambo mawili makubwa yanaweza kutokea 2025. Mh Rais kukubali wosia wa wazee kuwa hakuwa ktk mnyororo wa kuwa Rais na mbele yake Kuna miba ambayo akitaka kuendelea basi akubali kuikanyaga ila maumivu yake yatakuwa makali kiasi atajisemea laiti ningesikiliza nikashuka nikapumzika. Nadharia ya pili ni conspiracy ambapo jambo lolote laweza kutokea 2025 yaani hakuna atakaye weza kuamini kama vile ilivyotokea huko USA. Bila kupepesa macho kuongoza nchi sio lelemama wala sio jambo la jinsia ukweli nikwamba utashi wakisiasa nimuhimu sana kwa kule tunaelekea. Sioni kwa uwezo wangu Mungu kanipa kama Mh Rais miaka 5 itakuwa rahisi kwake itakuwa ni miaka migumu sana kiasi anaweza kusema naomba kushuka ila ataambiwa huwezi kushuka ulisha shauriwa 2025 sasa maliza kiapo chako naogopa sana maana utakuwa usiku mzito sana. Well Sina uwakika kama majasusi ya Taifa hili kongwe yatashindwa pindua meza 2025 kuweka wanaye mtaka mambo ni mengi Muda mchache ila Mungu ibariki Tanzania na watu wake🕊️🙏
.
 
Hahahaaaa, nimecheka sana. Na zanzibar itafikia level ya mauritius, kisha watavunja muungano tuanze upya na Tanganyika yetu
Hakuna lisilowezekana chini ya jua !
Naiona Zanzibar iking’ara kama ilivyokuwa zamani za kale 🥰

Nchi ya kwanza kuwa na TV 📺 ya Rangi Africa 😅

Nchi ya kwanza kuwajengea majumba makubwa wananchi wake na kuwapa waishi bure katika Africa !

Au nasema uongo ndugu zanguni ??!
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni 😅🙏🙌😂🙏
 
Wanabodi
Hili sio bandiko la kila mtu, ni bandiko la wale tuu wenye jicho la 3 na sikio la tatu.

Leo Rais Samia, akiwahutubia maofisa ugani, Ikulu ya Chamwino, kuna kitu Rais Samia amekisema kuhusu uchaguzi mkuu wa 2025, pale aliposema atarejea lini Kizimkazi. Rais Samia ameuzungumzia uchaguzi wa 2025 not expressly but impliedly

Juzi kati nilipandisha bandiko humu nikiuliza kuhusu Wasaidizi wa Rais Samia kama wanamsaidia kwa kumwambia ukweli Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..?

Kauli hiyo ya Rais Samia sio tuu ina maana kubwa sana kwa uchaguzi wa 2025 tuu, bali ni kauli ya uthibitisho bado kuna wasaidizi wa rais, ambao hawamwambii Rais Samia ushauri wa ukweli kuhusu mambo mbalimbali ukiwemo urais wa 2025.

Mimi ni miongoni mwa watu wanaounga mkono urais wa JMT 2025, twende na mwanamke Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Nimewasisitiza watu wenye uwezo wa kusaidia, wasaidie, kwa kumshauri Rais Samia ushauri wa ukweli wa urais wa 2025.

Mimi pia ni miongoni mwa watu hao wenye uwezo wa kusaidia, na nimeisha saidia kwa kutoa ushauri wangu katika bandiko la sauti HII

Kauli hiyo inaonyesha Rais Samia tayari ameisha hakikishiwa na watu wake, kuwa 2025 rais ni yeye, hii maana yake ni rais wetu wa 2025 tayari tunaye, yupo na ameisha chaguliwa, (amechaguliwa na nani?), hivyo siku ya uchaguzi ni kumthibitisha tuu!.

Hivyo nashauri, wale wenzetu ambao ni Presidential hopefuls wa urais wa JMT kwa uchaguzi Mkuu wa 2025, nawashauri save your time and money, rais wa JMT 2025, tayari tunaye!, zoezi la upigaji kura za urais uchaguzi wa 2025, sio kumchagua rais bali kukamilisha tuu taratibu za takwa la kikatiba kuwa uchaguzi ni kila baada ya miaka 5, hivyo hata kama rais tayari tunaye, bado tutapiga tuu kura sio kumchagua rais bali kutimiza tuu takwa la kikatiba la kufanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano hata kama uchaguzi huo sio uchaguzi, bali ni igizo tuu la uchaguzi kumthibisha tuu rais aliyepo!. Swali kama hili pia nililiuliza kabla ya uchaguzi wa 2020 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Tena nimewasikia watani zangu fulani wakisemezana kumsimamisha jembe lao, jibaba la shoka na shujaa wao, nawashauri wamsimamishe mgombea mwanamke, wanawake ndio wapambane, maana jibaba dume la shoka kushindwa na mwanamke, si ni itakuwa ni aibu sana?. Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Nawatakia Jumamosi Njema

Paskali
Kwani Habari yako ilihitaji blah blah zote hizi ili kueleweka?
 
Mimi nashangaa ni kwanini mtu ashauriwe asigombee ilihali Chama chake kinataka agombee ?

Suala la kama hatakiwi na Wananchi walio wengi basi suala hilo liachiwe kwa wapiga kura !

Maana wao wapiga kura ndio watakaoamua ama wamchague yeye ama wamchague mgombea mwingine wa Chama kingine cha Upinzani !

Just as simple as that ! Kwa sababu Uchaguzi Mkuu huo wa 2025 utakuwa na wagombea wengine wa URAIS kutokea vyama vingine vya siasa !!

Ni kwanini mnakuwa kama vile mmeshafanya uamuzi kwamba mtu atakayeshinda URais ni LAZIMA atokee Chama Tawala ??!!

Ina maana kumbe Uchaguzi utakuwa ni kiini macho tu kama alivyokwisha kutanabahisha Nape Nnauye ???!

Bado sijaona mantiki ya watu wengine nje ya Ccm kumtaka mgombea wa Ccm asigombee eti ili kusitokee matatizo mbele ya safari !

Waachieni CCM wenyewe waamue nani apeperushe bendera ya Chama chao !

Kisha Wananchi wataamua kama anatosha watamchagua kwa kura nyingi !
La kama hawamtaki watamchagua mgombea mwingine wa kutoka Chama chochote kile kitakachoweka mgombea watakayemtaka !
JUST AS SIMPLE AS THAT !

Acheni kuongea kama vile hakutakuwepo na Uchaguzi bali utakuwepo Uteuzi tu 🙏🙌👍
 
MIMI SIYO MCHAWI WALA MALAIKA ILA KAMA SAMIA ATAKUWA RAIS 2025 TANZANIA ITAINGIA KWENYE GIZA ZITO AMBALO TOKA NCHI YETU KUWEPO ALIJAWAI KUTOKEA ..na hilo giza litasababisha hasara kubwa sana na funzo kubwa sana ndani ya nchi yetu. Hiyo hasara ndani yake kutakuwa na damu za wanadamu wa kutosha.
Waeleze Hawa chawa ushabiki tu hawaoni mbele
 
Dunia inakoelekea haitabiriki

Kila nikiwaangalia Ruto na Sir Starmer sioni furaha ya kuongoza kwenye nyuso zao 🐼
Hao Walidhani wanaenda kuiba na kula Raha
Mama Abdul anadhani bandari itampa familia hela nyingi

Atapata shida kuongoza post 2025 na nchi itavunjika vipande vipande
Asithubuti kugombea, wapambe wanamdangaya

Hi haiitaji utabiri wa Pasco Kila mtu mwenye akili anaona
 
Wanamtahadharisha tu. Inaoneka kuna mitego imewekwa, sema haambiwi ila hawa waleta mabandiko ndio malaika wenyewe sasa. 😃😃😃.
Mkuu Mpalakugenda , umesema jambo moja kubwa sana, kuna watu wanadhani malaika ni viumbe weupe wana mabawa wanaruka angani, kumbe sauti kama HII inaweza kabisa kuwa ndio sauti ya malaika mwenyewe wa Mungu!, watu wajinga wajinga watadharau kuwa huyu sini Paskali tuu atatuambia nini?!, kumbe sio Paskali bali ni YEYE mwenyewe anasema nasi kupitia Paskali.

Tembelea hapa uone nilimshauri nini yule Blaza wangu, Magufuli, "Kama Unaona Kazi ya Urais ni Ngumu Kwako, Jiuzulu! ". Mwaka 2017 kwenye andiko hili Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” nilishauri hivi
Wanabodi,
to be honest I wish if Mungu angemua, huyu mama ndio akawa, then amini usiamini tutakuwa na Tanzania nzuri 100 times kuliko Tanzania hii tulionayo sasa!.

Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.
Paskali
Na mwezi April mwaka 2020, nilipandisha bandiko hili humu "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza humo nilishauri
Wanabodi,

ningekuwa ni uwezo wangu, ningeshauri October 2020, Mama Samia ndiye aje ampokee Magufuli, maana kwa maoni yangu, kwa uongeaji huu, huyu mama ndiye Mzanzibari pekee anayekubalika kuweza kuchagulika kuwa rais wa JMT kutokea Zanzibar, vinginevyo Wazanzibari wausahau kabisa urais wa JMT
au kwa vile Magufuli analamika sana kuhusu urais, mara ni mateso, mara ni kazi ngumu, mara ni mzigo mzito, tumshauri rais Magufuli, kwa vile Samia anatosha sana, hivyo tumpunguzie mateso, hana haja ya kuendelea na mateso, mzigo mzito na kazi ngumu ya urais, na hata kama ni wale tausi au wanyama wa Magogoni, au yale majabali ya Chamwino, tutamjengea Chato na kumuomba bora apumzike tuu mapema, na kumpisha Mama Samia ndio amalizie ngwe yake iliyobakia?. Hili mnalionaje?.
Paskali
You never know, kama Blaza angesikiliza ushauri huu, labda saa hizi, angekuwepo!.

Na kuhusu katiba enzi za JPM, alipoingia kwa vile anajua atakaa vipindi viwili, japo issues ya katiba ilikuwepo kwenye ilani yake ya uchaguzi iliyomuingiza Ikulu, yeye akasema katiba sio kipaumbele chake!. Hili nililiulizia humu Kitendo cha Kukiuka Ilani ya CCM Bila Kikao Chochote, Sio Udikiteta?

Kwavile mimi ni good trends reader kuhusu katiba, enzi za JPM, niliwaletea hii trends Trends, Visions: Watanzania msitatizwe na kauli zake kuhusu Katiba, baada ya Nyerere, ni Magufuli ndiye ataacha legacy kubwa ikiwemo Katiba Mpya!

The same scenario inataka kujirudia kwa Rais Samia, she has a chance to make things right now kuhusu minimum reforms za Katiba, kwa vile na yeye amehakikishiwa ni yeye 2025, hili la Katiba, analiweka kiporo kwasababu anajua ana ample time 2025-2030, tuendelee kumsisitiza, if there is anything she can do under her powers kuhusu katiba, she better do it now, because no one knows about tomorrow, ndio maana tumemshauri Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!

Mama bado ana muda to make things right.

P
 
Wanabodi
Hili sio bandiko la kila mtu, ni bandiko la wale tuu wenye jicho la 3 na sikio la tatu.

Leo Rais Samia, akiwahutubia maofisa ugani, Ikulu ya Chamwino, kuna kitu Rais Samia amekisema kuhusu uchaguzi mkuu wa 2025, pale aliposema atarejea lini Kizimkazi. Rais Samia ameuzungumzia uchaguzi wa 2025 not expressly but impliedly

Juzi kati nilipandisha bandiko humu nikiuliza kuhusu Wasaidizi wa Rais Samia kama wanamsaidia kwa kumwambia ukweli Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..?

Kauli hiyo ya Rais Samia sio tuu ina maana kubwa sana kwa uchaguzi wa 2025 tuu, bali ni kauli ya uthibitisho bado kuna wasaidizi wa rais, ambao hawamwambii Rais Samia ushauri wa ukweli kuhusu mambo mbalimbali ukiwemo urais wa 2025.

Mimi ni miongoni mwa watu wanaounga mkono urais wa JMT 2025, twende na mwanamke Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Nimewasisitiza watu wenye uwezo wa kusaidia, wasaidie, kwa kumshauri Rais Samia ushauri wa ukweli wa urais wa 2025.

Mimi pia ni miongoni mwa watu hao wenye uwezo wa kusaidia, na nimeisha saidia kwa kutoa ushauri wangu katika bandiko la sauti HII

Kauli hiyo inaonyesha Rais Samia tayari ameisha hakikishiwa na watu wake, kuwa 2025 rais ni yeye, hii maana yake ni rais wetu wa 2025 tayari tunaye, yupo na ameisha chaguliwa, (amechaguliwa na nani?), hivyo siku ya uchaguzi ni kumthibitisha tuu!.

Hivyo nashauri, wale wenzetu ambao ni Presidential hopefuls wa urais wa JMT kwa uchaguzi Mkuu wa 2025, nawashauri save your time and money, rais wa JMT 2025, tayari tunaye!, zoezi la upigaji kura za urais uchaguzi wa 2025, sio kumchagua rais bali kukamilisha tuu taratibu za takwa la kikatiba kuwa uchaguzi ni kila baada ya miaka 5, hivyo hata kama rais tayari tunaye, bado tutapiga tuu kura sio kumchagua rais bali kutimiza tuu takwa la kikatiba la kufanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano hata kama uchaguzi huo sio uchaguzi, bali ni igizo tuu la uchaguzi kumthibisha tuu rais aliyepo!. Swali kama hili pia nililiuliza kabla ya uchaguzi wa 2020 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Tena nimewasikia watani zangu fulani wakisemezana kumsimamisha jembe lao, jibaba la shoka na shujaa wao, nawashauri wamsimamishe mgombea mwanamke, wanawake ndio wapambane, maana jibaba dume la shoka kushindwa na mwanamke, si ni itakuwa ni aibu sana?. Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Nawatakia Jumamosi Njema

Paskali
KWANI HUYU MAMA ATAPITA URAIS 2025?
 
Wanabodi
Hili sio bandiko la kila mtu, ni bandiko la wale tuu wenye jicho la 3 na sikio la tatu.

Leo Rais Samia, akiwahutubia maofisa ugani, Ikulu ya Chamwino, kuna kitu Rais Samia amekisema kuhusu uchaguzi mkuu wa 2025, pale aliposema atarejea lini Kizimkazi. Rais Samia ameuzungumzia uchaguzi wa 2025 not expressly but impliedly

Juzi kati nilipandisha bandiko humu nikiuliza kuhusu Wasaidizi wa Rais Samia kama wanamsaidia kwa kumwambia ukweli Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..?

Kauli hiyo ya Rais Samia sio tuu ina maana kubwa sana kwa uchaguzi wa 2025 tuu, bali ni kauli ya uthibitisho bado kuna wasaidizi wa rais, ambao hawamwambii Rais Samia ushauri wa ukweli kuhusu mambo mbalimbali ukiwemo urais wa 2025.

Mimi ni miongoni mwa watu wanaounga mkono urais wa JMT 2025, twende na mwanamke Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Nimewasisitiza watu wenye uwezo wa kusaidia, wasaidie, kwa kumshauri Rais Samia ushauri wa ukweli wa urais wa 2025.

Mimi pia ni miongoni mwa watu hao wenye uwezo wa kusaidia, na nimeisha saidia kwa kutoa ushauri wangu katika bandiko la sauti HII

Kauli hiyo inaonyesha Rais Samia tayari ameisha hakikishiwa na watu wake, kuwa 2025 rais ni yeye, hii maana yake ni rais wetu wa 2025 tayari tunaye, yupo na ameisha chaguliwa, (amechaguliwa na nani?), hivyo siku ya uchaguzi ni kumthibitisha tuu!.

Hivyo nashauri, wale wenzetu ambao ni Presidential hopefuls wa urais wa JMT kwa uchaguzi Mkuu wa 2025, nawashauri save your time and money, rais wa JMT 2025, tayari tunaye!, zoezi la upigaji kura za urais uchaguzi wa 2025, sio kumchagua rais bali kukamilisha tuu taratibu za takwa la kikatiba kuwa uchaguzi ni kila baada ya miaka 5, hivyo hata kama rais tayari tunaye, bado tutapiga tuu kura sio kumchagua rais bali kutimiza tuu takwa la kikatiba la kufanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano hata kama uchaguzi huo sio uchaguzi, bali ni igizo tuu la uchaguzi kumthibisha tuu rais aliyepo!. Swali kama hili pia nililiuliza kabla ya uchaguzi wa 2020 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Tena nimewasikia watani zangu fulani wakisemezana kumsimamisha jembe lao, jibaba la shoka na shujaa wao, nawashauri wamsimamishe mgombea mwanamke, wanawake ndio wapambane, maana jibaba dume la shoka kushindwa na mwanamke, si ni itakuwa ni aibu sana?. Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Nawatakia Jumamosi Njema

Paskali
Wewe Pascal sijui unamaanisha nini kwa kweli. Watanzania wengi wanajua Samia ni rais wa katiba tu. Wamekua na hofu kipindi cha mpito wakiona akiingizwa kwenye majaribu hatari kutaka kugeuza misingi ya siasa na itikadi inayoongoza taifa. Wanaccm asilia waliogopa sana pale kuona balozi wa marekani anakaribishwa makao makuu ya ccm. Wanaojua hila za marekani kugeuza kila nchi kikaragosi wake watanielewa. Ilikua kama kumleta shetani makao makuu ya CCM. Tutamuona mtu mwema kama mama akisimamia nchi kupata Kiongozi mwingine aina ya John Pombe Magufuli ili kurejesha taifa kwenye njia ya kweli ya maendeleo kwa umma wa wananchi. Akifanya hivyo hakika tutamkumbuka na kumpa heshima kubwa.
 
Mkuu Paskali, ukiitwa ukaambiwa uthibitishe hizi kauli zako, je utaweza?
Kwanini mimi ndie niitwe kuthibitisha kitu nilichosikia badala ya kumuuliza aliyetamka alimaanisha nini?. Mtu atoe tamko, anayeripoti kuhusu hilo tamko ndie ahojiwe badala ya aliyetamka!.

Hata issue ya zile pyu pyu za yule jamaa yetu, kuna mtu alitamka kitu hadharani kuhusu vita vya kiuchumi, na akamtaja mtu not expressly but impliedly, huyu aliyetajwa, zikamshukia pyu pyu za kutosha, niliposhauri aliyetoa kauli ile ahojiwe alimaanisha nini, niliambiwa nitahojiwa mimi! Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
Kinga ni ya kutokushitakiwa!, hakuna kinga ya kuhojiwa!.
P
 
Wanabodi
Hili sio bandiko la kila mtu, ni bandiko la wale tuu wenye jicho la 3 na sikio la tatu.

Leo Rais Samia, akiwahutubia maofisa ugani, Ikulu ya Chamwino, kuna kitu Rais Samia amekisema kuhusu uchaguzi mkuu wa 2025, pale aliposema atarejea lini Kizimkazi. Rais Samia ameuzungumzia uchaguzi wa 2025 not expressly but impliedly

Juzi kati nilipandisha bandiko humu nikiuliza kuhusu Wasaidizi wa Rais Samia kama wanamsaidia kwa kumwambia ukweli Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..?

Kauli hiyo ya Rais Samia sio tuu ina maana kubwa sana kwa uchaguzi wa 2025 tuu, bali ni kauli ya uthibitisho bado kuna wasaidizi wa rais, ambao hawamwambii Rais Samia ushauri wa ukweli kuhusu mambo mbalimbali ukiwemo urais wa 2025.

Mimi ni miongoni mwa watu wanaounga mkono urais wa JMT 2025, twende na mwanamke Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Nimewasisitiza watu wenye uwezo wa kusaidia, wasaidie, kwa kumshauri Rais Samia ushauri wa ukweli wa urais wa 2025.

Mimi pia ni miongoni mwa watu hao wenye uwezo wa kusaidia, na nimeisha saidia kwa kutoa ushauri wangu katika bandiko la sauti HII

Kauli hiyo inaonyesha Rais Samia tayari ameisha hakikishiwa na watu wake, kuwa 2025 rais ni yeye, hii maana yake ni rais wetu wa 2025 tayari tunaye, yupo na ameisha chaguliwa, (amechaguliwa na nani?), hivyo siku ya uchaguzi ni kumthibitisha tuu!.

Hivyo nashauri, wale wenzetu ambao ni Presidential hopefuls wa urais wa JMT kwa uchaguzi Mkuu wa 2025, nawashauri save your time and money, rais wa JMT 2025, tayari tunaye!, zoezi la upigaji kura za urais uchaguzi wa 2025, sio kumchagua rais bali kukamilisha tuu taratibu za takwa la kikatiba kuwa uchaguzi ni kila baada ya miaka 5, hivyo hata kama rais tayari tunaye, bado tutapiga tuu kura sio kumchagua rais bali kutimiza tuu takwa la kikatiba la kufanya uchaguzi kila baada ya miaka mitano hata kama uchaguzi huo sio uchaguzi, bali ni igizo tuu la uchaguzi kumthibisha tuu rais aliyepo!. Swali kama hili pia nililiuliza kabla ya uchaguzi wa 2020 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Tena nimewasikia watani zangu fulani wakisemezana kumsimamisha jembe lao, jibaba la shoka na shujaa wao, nawashauri wamsimamishe mgombea mwanamke, wanawake ndio wapambane, maana jibaba dume la shoka kushindwa na mwanamke, si ni itakuwa ni aibu sana?. Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Nawatakia Jumamosi Njema

Paskali
Hii nchi tunaishi kwa ulaghai nanukishakua mkweli basi ujue unakua treated kama muhaini na kua sio mzalendo ila ukweli ni kwamba masisiemu hayako tayari kwa uchaguzi huru wakati wowote hivyo nchi hii uchaguzi ni takwa tu lakini nigelesha ndio mana hutaina sikubwakikubali matokeo kupingwa mahakamani wanajua kabisa ndio mwisho wao utakapofika nakuvuna aibu hivyo wataendelea kuhodhi mifumo yote ili kuendelea kusalia madarakani kwa gharama yoyote na kama taifa tusitegemee miujiza toka kwa watu hawa mana wanafanya wanayoamua wao na sio matakwa ya wananchi tuombe Mungu atujalie huko siku za usoni kama tutapata kizazi ambacho kitaona umuhimu wakuwajibika.
 
Back
Top Bottom