Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

(TuT)n(F'nT)=>?
Huu ni ukweli unaoambatana na uongo.
 
Wajuzi wa mambo watuambie ukweli kuhusu tension ya Kikwete na othman rashidi

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
huyu kagame anahangaika sana na TZ, ila jibu la mjinga ni ukimya. mwenzenu ana uchaguzi nadhani 2 years to come, so anatumia tz kujipatia umaarufu huko kwao ameshaona watu wake wanaanza kuchoshwa na mabavu yake
 
Tunaendesha nchi kifamilia, Mungu epushia mbali haya mambo!
 
kagame ana uhakika na anachokisema nyie mnao mtetea jk ,jengeni hoja juu ya haya sio kushabikia msiyo yajua, kama watu wanatoka kigari wanajua mambo yote ya tss, maduka yako mikocheni wanayajua unafikiri hawana hoja?fatilieni ni kweli haya maduka hayalipi kodi?wamiliki wake ni kina nani apo ndo mje mkanushe sio bla bla hazisaidii kitu
 
How? just read between the lines. Inaonekana kama wamekuwa dissapointed Kikwete hakuchukua ushauri wa Othman. Na vile vile don't forget walituma watu wao hapa kuomba TZ isipeleke jeshi DRC.
Unapojenga hoja kwamba othman ni mtu wao sisi wenye akili timamu tunakuona punguani, ndio mana nimekwambia hilo neno. Kusema jk hakufanyia kazi ushauri wa othman ni njia dhaifu ya kutaka kuwachonganisha wawili hao, which is equal to awake the died
 
kagame ana uhakika na anachokisema nyie mnao mtetea jk ,jengeni hoja juu ya haya sio kushabikia msiyo yajua, kama watu wanatoka kigari wanajua mambo yote ya tss, maduka yako mikocheni wanayajua unafikiri hawana hoja?fatilieni ni kweli haya maduka hayalipi kodi?wamiliki wake ni kina nani apo ndo mje mkanushe sio bla bla hazisaidii kitu
Ukiwa na akili nyepesi lazima udanganyike kirahisi hivi. Ndio mana wanawake malaya huwa rahisi sana kuibiwa.
 
Kagame represents Rwanda. But each Rwandese is not represented by Kagame in opinions matter. Some tutsi in rwanda and outside rwanda dnt lime kagame. As we speak there are different plans left to right to haunt kagame regime from left to right.These people are determined despite all the road blocks ahead.Now,Tanzania have no problem with rwanda citizen either ur tutsi or hutu but with Kagame. And that mof will leave the office soon.watch!!!
 
Watanzania ni wajinga sana. TPDF haiwez kwenda sehemu bila kuwa na assessment and military intelligence in place sababu ya mapenzi ya kikwete tu na fdlr. Kwanza hii article mnasoma tu haina lolote mama salma ni mhutu?? Urafiki wa salma na mama membe umeingiaje hapo. Things are not connecting right. Bado walio wajinga wanajiita wamesoma udom sijui udsm eti nao wasomi. Manina
 
ifwero ckia ndg ucweke siasa za tanzania kwa kagame? vijana wengi wa kinyarwanda na kisomalia wapo ndani ya ccm na wanapata taarifa zote kupitia chama. utambue kuwa usalama wa taifa tanzania wanatumia nguvu kupambana na raia wao na kuacha mataifa yakiwachezea. Kagame ni mafia wa east africa na mara nyingi anachokiongea huwa anamaanisha.
 
Ukiwa na akili nyepesi lazima udanganyike kirahisi hivi. Ndio mana wanawake malaya huwa rahisi sana kuibiwa.

Mbona unatoa povu sana. Amekugusa pabaya nini? Ngoja kesho naanza uchunguzi wa hayo maduka nione ukweli.... Hiyo ndio njia rahisi ya kuona kama hii habari ina chembe za ukweli. Lakini mimi ninavyoifahamu hii familia ya Kikwete mh...
 
kagame ana uhakika na anachokisema nyie mnao mtetea jk ,jengeni hoja juu ya haya sio kushabikia msiyo yajua, kama watu wanatoka kigari wanajua mambo yote ya tss, maduka yako mikocheni wanayajua unafikiri hawana hojafatilieni ni kweli haya maduka hayalipi kodi?wamiliki wake ni kina nani apo ndo mje mkanushe sio bla bla hazisaidii kitu
Afadhali Theo Mutahaba ni mtunzi mzuri kuliko hilo gazeti, deputy wa TISS ni Jack Nzoka huyo Zongo sijui wamemtoa wapi si wangeuliza
 
Ukiwa na akili nyepesi lazima udanganyike kirahisi hivi. Ndio mana wanawake malaya huwa rahisi sana kuibiwa.

ndo shida ya akili ndogo,wewe usiye danganyika tujuze tunaodanganyika maana ndo simple answer .mfano ni kweli hayo maduka yanayotajwa yapo apo mikocheni,je ni kweli hayalipi kodi na wamiliki wake ndo hao watajwa?ukikuta sio kweli then conclude kwa msemo wako kuwa nadanganywa kama malaya,lakini hata malaya sidhani kuwa unaweza kulala naye ukaondoka bila kumlipa kisa ulikuwa unamdanganya nenda kinondoni makaburini ukajaribu uho mziki
 
Back
Top Bottom