MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 843
Source ni News of Rwanda...mnategemea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui kama anakitu anachokijua anajaribu kuhangaika kutafuta mchawi.
Sattanic thinking
Ze komediHiyo ni hadithi tuu za kutunga kama za Shigongo
Unapojenga hoja kwamba othman ni mtu wao sisi wenye akili timamu tunakuona punguani, ndio mana nimekwambia hilo neno. Kusema jk hakufanyia kazi ushauri wa othman ni njia dhaifu ya kutaka kuwachonganisha wawili hao, which is equal to awake the diedHow? just read between the lines. Inaonekana kama wamekuwa dissapointed Kikwete hakuchukua ushauri wa Othman. Na vile vile don't forget walituma watu wao hapa kuomba TZ isipeleke jeshi DRC.
Ukiwa na akili nyepesi lazima udanganyike kirahisi hivi. Ndio mana wanawake malaya huwa rahisi sana kuibiwa.kagame ana uhakika na anachokisema nyie mnao mtetea jk ,jengeni hoja juu ya haya sio kushabikia msiyo yajua, kama watu wanatoka kigari wanajua mambo yote ya tss, maduka yako mikocheni wanayajua unafikiri hawana hoja?fatilieni ni kweli haya maduka hayalipi kodi?wamiliki wake ni kina nani apo ndo mje mkanushe sio bla bla hazisaidii kitu
Ukiwa na akili nyepesi lazima udanganyike kirahisi hivi. Ndio mana wanawake malaya huwa rahisi sana kuibiwa.
Afadhali Theo Mutahaba ni mtunzi mzuri kuliko hilo gazeti, deputy wa TISS ni Jack Nzoka huyo Zongo sijui wamemtoa wapi si wangeulizakagame ana uhakika na anachokisema nyie mnao mtetea jk ,jengeni hoja juu ya haya sio kushabikia msiyo yajua, kama watu wanatoka kigari wanajua mambo yote ya tss, maduka yako mikocheni wanayajua unafikiri hawana hojafatilieni ni kweli haya maduka hayalipi kodi?wamiliki wake ni kina nani apo ndo mje mkanushe sio bla bla hazisaidii kitu
Ukiwa na akili nyepesi lazima udanganyike kirahisi hivi. Ndio mana wanawake malaya huwa rahisi sana kuibiwa.