Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Gazeti pendwa - News of Rwanda, sasa limeamua kutumia fitna. Mbinu za kizamani sana hizi.
Ukisoma kwa makini utagundua jinsi gani wahutu wanachukiwa na utawala wa sasa.

Swali moja kubwa ambalo Paulo na gazeti lake hawaonekani kujibu ni hili; majeshi yamepelekwa DRC kupambana na waasi ndani ya DRC kwanini Rwanda ya Kagame inaudhika?

Tanzania imechoka kupokea wamama wakiwa na watoto migongoni. Kama Rwanda haitaki kuungana na Tanzania kuzuia ubakaji, mauaji, na mapogano DRC kwanini wasikae kimya kama wana EAC wengine?
 
nasema ivii hawa jamaaa kuna kitu wanakijua vizuri sana..wanatakavjk afungue domo tu wamwage ugali..time will tell..gazeti hili haliwezi andika uwongo afu dunia nzima ikae kimyaaa
 
Tuache ushabiki

Kati ya TISS inayoongozwa na RASHID OTHMAN na SERIKALI YA CCM inayoongozwa na JK nani utamwamini kuhusu issues za NATIONAL SECURITY/INTEREST?

Mimi sina haja ya kunyambua maneno mimi nitamwamini zaidi RO kuliko JK kwa sababu TISS wao wanazo data na intel za kutosha kuhusu usalama wa nchi.

Hawa wanasiasa wako pale kwa jili ya pesa na maslahi yao na mimi nina ugonjwa wa kutowaamini wanasiasa.
 
Gazeti pendwa - News of Rwanda, sasa limeamua kutumia fitna. Mbinu za kizamani sana hizi.
Ukisoma kwa makini utagundua jinsi gani wahutu wanachukiwa na utawala wa sasa.

Swali moja kubwa ambalo Paulo na gazeti lake hawaonekani kujibu ni hili; majeshi yamepelekwa DRC kupambana na waasi ndani ya DRC kwanini Rwanda ya Kagame inaudhika?

Tanzania imechoka kupokea wamama wakiwa na watoto migongoni. Kama Rwanda haitaki kuungana na Tanzania kuzuia ubakaji, mauaji, na mapogano DRC kwanini wasikae kimya kama wana EAC wengine?

Tafuta ile thread ya Wa Nyarwanda walivyokuwa wamejazana kwenye idara zote nyeti za serikali ya Tanzania. Na hao weusi na waafrica wenzetu

Sasa ukisoma Wikileaks utashangaaa wazungu wanavotujua sisi.
 
Kagame hana jipya anatapa tapa tu na cheap propaganda
 
Watz tuna uwezo wa kumpiga kagame.

Haya maelezo ni uzushi na uhuni mtupu.

Kagame ni wa kupuuzwa tu, anaweweseka kama mtetea anayetaka kutaga. Mwisho wake umekaribia

Wewe naona kila kitu ni kuandika UJINGA hata pale unapohitaji kutumia vizuri ubongo wako kusoma na kufikiri, Punguza ujinga jitahidi kusoma na kutafakari habari zingine na ukiona hauna cha kuchangia soma na pitiliza kwani utakuwa umeelewa nini walichoandika wenzako wenye kuelewa.
 
Aisee hawa wanyarwanda noma inawezekana Kabisa TISS hawakupenda Tanzania waende Congo hii vita ni Kama ya bwana kikwete plus membe against kagame na wenzake naamini mahusiano yetu na rwanda yatakuwa mazuri baada ya 2015
 
Huu ni uongo wa mchana kweupe.
Eti "However, despite the size and expensive line of business, the "shops" are not registered with the Tanzania Revenue Authority (TRA). The two names are not found anywhere in the tax receipts of the TRA, which according to well-informed sources, means they do not pay taxes".

Inajulikana wazi biashara hata zile za mafisadi zinajiandikisha TRA hata kama wanakwepa kodi. Mtu yeyote anayetaka kukwepa kodi hata kama ana mkono mrefu kiasi gani hawezi kufanya kosa la kijinga la kutojiandikisha kama mlipa kodi.

Pili hii ni mbinu dhaifu ya kuchonganisha wakuu wa vyombo vya usalama, hata kama DGI hakubaliani na JK haiwezi kutoka nje ya milango ya pembe nne.

Na hili la kumsingizia Salma Kikwete kwamba ni ndugu wa Habyarimana na kwamba ni mhutu ni ujinga uliopitiliza.
Hii inaonyesha chuki ya wazi ya Watusi dhidi ya Wahutu.
 
Like Kagame says this is a bunch of nonsense not worth reading.
A TISS boss not obeying his Commander-in-Chiefs orders?
Pure fantansy!
 
Propaganda

Lakini kwa nini vita nyingi story behind huwa ni mwanamke?
 
Like Kagame says this is a bunch of nonsense not worth reading.
A TISS boss not obeying his Commander-in-Chiefs orders?
Pure fantansy!

Cha ajabu hapo kipi?hiyo nikawaida katika kazi kama si hivyo basi jk achukue nyadhifa zote,kama mkuu wa TISS anaona itahatarisha usalama wa waliowengi kwanini akubaliane naye?
 
Huu ni uongo wa mchana kweupe.
Eti "However, despite the size and expensive line of business, the “shops” are not registered with the Tanzania Revenue Authority (TRA). The two names are not found anywhere in the tax receipts of the TRA, which according to well-informed sources, means they do not pay taxes".

Inajulikana wazi biashara hata zile za mafisadi zinajiandikisha TRA hata kama wanakwepa kodi. Mtu yeyote anayetaka kukwepa kodi hata kama ana mkono mrefu kiasi gani hawezi kufanya kosa la kijinga la kutojiandikisha kama mlipa kodi.

Pili hii ni mbinu dhaifu ya kuchonganisha wakuu wa vyombo vya usalama, hata kama DGI hakubaliani na JK haiwezi kutoka nje ya milango ya pembe nne.

Na hili la kumsingizia Salma Kikwete kwamba ni ndugu wa Habyarimana na kwamba ni mhutu ni ujinga uliopitiliza.
Hii inaonyesha chuki ya wazi ya Watusi dhidi ya Wahutu.
Ndugu yangu nilijua umekuja na evidence yoyote kuonesha kua duka linalipa kodi, kumbe na wewe unaleta blabla tu hapa aghaaa
 
Gazeti pendwa - News of Rwanda, sasa limeamua kutumia fitna. Mbinu za kizamani sana hizi.
Ukisoma kwa makini utagundua jinsi gani wahutu wanachukiwa na utawala wa sasa.

Swali moja kubwa ambalo Paulo na gazeti lake hawaonekani kujibu ni hili; majeshi yamepelekwa DRC kupambana na waasi ndani ya DRC kwanini Rwanda ya Kagame inaudhika?

Tanzania imechoka kupokea wamama wakiwa na watoto migongoni. Kama Rwanda haitaki kuungana na Tanzania kuzuia ubakaji, mauaji, na mapogano DRC kwanini wasikae kimya kama wana EAC wengine?

Ukisoma between the lines, hushindwi kubaini taste ya uchadema kwenye hiyo habari na ni kazi ya Yeriko na wenzake. It is just a matter of time kuprove.
 
Wanaoachia midomo wazi hapa na oh my god nyingi hawaelewi maana ya propaganda na waliotunga hiyo habar wanafutahi kuona wameweza kuconvince vichwa vya watanzania kama walivyokusudia. Wanataka kujifanya wanaijua nchi in & out upuuzi mtupu wa propaganda siri nzito km hizi uwa haziandikwi waz waz kuwalinda mainformer hawa lengo lao ni uchonganishi ila hakuna kitu hapo.
 
Back
Top Bottom