Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Utakuwa mnyarwanda supporter wa Kagame au pandikizi lake

Maana una itetea sana Rwanda kuliko Tanzania, nyuzi zote za Kagame uko mbele kuitetea , wewe utakuwa ni wale waliosemwa na CDF
Hakika hawa ndio CDF aliwasema. Bahati mbaya wamejaa. Ni negative force kwani kitu sahihi kwao ni kile kimesemwa na mtu wao tu.
Washindwe na kusambaratika.
 
Akili kubwa ndo siraha ya kagame, siyo li nchi likubwa na jeshi kubwa kama la kwetu wala sio madini mengi kama ya Congo.
Akili kubwa na kujitambua na kua na nia ya kutimiza ndoto zake ndivyo vitu hatari zaidi.

Kubwegebwege na propaganda za kisengesenge zilizowajaa Viongozi wengi wa Africa ataendelea kuwapiga Mabao tu.
 

Kagame anapewa picha ambayo siyo halisi. Nami binafsi naisikitikia sana Rwanda. Maana bado sijaona tofauti kati ya Kagame na Rwanda 🇷🇼. Inaonekana nchi hiyo inaenda na kupiga hatua mpaka hapo ilipo kwa sababu ya Kagame. Ni nzuri kwa sasa, lakini in long run is not plausible. Kwa sababu watu wanakuja nabkupita lakini nchi inasimama palepale. Kinachotakiwa ni kuweka mising ambayo rais akija rais akitoka bado nchi itaendela kuwa moja na imara. Rain ajielekeze kwa yale yanayowaleta watu pamoja. Na si kuwagawa. Kwa hilo, namsifia sana baba wa taifa langu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
 
Wewe ni Mnyarwanda?

Kiherehere tu kwa mambo yasiyo kuhisu😀
 
Pole sana chief..u sound soo bitter..Ni mtu unayejichukia sana it seems

Naongea facts.

Wabongo wanaamini kila nchi inawaonea wivu wakati reality is the opposite. Hawaijui kabisa bongo.

Bongo wananchi wanaamini TZ tu ndo ina rasilimali kumbe TZ haipo top10 ya kitu chochote cha msingi Africa let alone duniani.

Huu ujinga wakujiona special ndo umefanya wabongo wawe watu inferior na kujifungia ndani badala ya kushindana globally.
 
Akili kubwa upumbavu tu, angekuwa na akili kubwa angeunganisha taifa lake
ni suala la mda tu wahutu hawatakuwa wanyonge daima huku ndio majority
 

Hukijui unachosema !!
siku nyingine ukiongea kwa watu ongea kwa takwimu inafanya maneno yako yawe na maana!!
 


Haya tuambie kat ya chai, kahawa na dhahabu nini kinapiganiwa duniani!!
 
Hizo bandari tumeporwa vipi wakati Rais akiwa na akili timamu kazigawa bure?!
 
View attachment 2897094
Haya tuambie kat ya chai, kahawa na dhahabu nini kinapiganiwa duniani!!




If you think TZ is a top gold-producing country you must be delusional.

Nchi zote hizo zinazalisha gold na they're not as delusional kama wabongo. Wabongo mnaamini TZ tu ndo ina gold na rasilimali zote, mnaamini kila mtu anaitamani bongo kumbe watu hawaijui kabisa.

Imagine Ghana, SA au Nigeria ambao ni top producers wa karibu kila kitu from gold, oil, gas to entertainment wangekua delusional and conservative kama wabongo wangekua wapi? Ndo kwanza wanakaribisha wageni, wanatoka nje ya nchi zao na wana uraia pacha. Nenda bongo sasa ni ujinga ujinga tu from a common Joe to the top sherrif. Mawazo mgando wote "kila mtu anatuonea wivu fyoko fyoko fyoko."
 

Mkuu tanzania iko ukanda gan labda??

Nani amesema tz ndo kilele cha natural resources Africa?
Tz inajilinganisha na nchi jiran za Great lake region.
Ukiitoa Kongo Tz is next kwa natural resources katika nchi za maziwa makuu…..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…