Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

We kenge wa kinyarwanda usiniandikie gazeti,, kama umetumwa humu uje upige mkwara na wanyarwanda wenzie waambie sie hatuogopi,, kama mnaweza jaribuni kuchukua hata robo heka ya ardhi kama mnavyofanya kule DRC then mnataona kilichomtoa kanga manyoya ya shingo
 
Duuuh hatari
 
Nimeisha kueleza we Kenge unadhani wote Wanyarwanda wanao ongea ukweli 🀣

Nimeisha kueleza vita sio kelele na majisifu sisi tunataka action.

Mbona hujibu swali JWTZ wapo Congo au hawapo?
 
Nyie wanywaranda kaeni mkao wa kula ,soon serikali inapitisha operesheni mpya ya kuwarudisha kwenu nyote. Ili mkapigane vita kwenu vizuri.
 
Nimeisha kueleza Kenge anadhani wote Wanyarwanda wanaonongea ukweli 🀣

Nimeisha kueleza vita sio kelele na majisifu sisi tunataka action.

Mbona hujibu swali JWTZ wapo Congo au hawapo?
Subiri majibu mtayapata soon na mjiandae kurudi kwenu Rwanda.
 
Nimeisha kueleza Kenge anadhani wote Wanyarwanda wanaonongea ukweli 🀣

Nimeisha kueleza vita sio kelele na majisifu sisi tunataka action.

Mbona hujibu swali JWTZ wapo Congo au hawapo?
We kenge ya kinyarwanda JWTZ wapo goma kwa mwamvuli wa jumuiya ya Afrika mashariki, na si wao tu hata Kenya , Burundi, South Africa pia wapo, hawa wapo kidplomasia zaidi na si kivita,, ndio maana hata wale askari wa Africa kusini walipouwawa watu wengi walipiga kelele,, kwa akili zako za kuvukia barabara unataka kusema jeshi la Rwanda lina nguvu kwa kipimo hiki cha kile kikosi kilichokwenda kulinda amani ya kwamba rwanda inapigana na Tanzania, South Africa, Kenya etc?. We kweli kenge
 
Nyie wanywaranda kaeni mkao wa kula ,soon serikali inapitisha operesheni mpya ya kuwarudisha kwenu nyote. Ili mkapigane vita kwenu vizuri.
Sawa we endelea kusema mimi Mnyarwanda sina damu ya kinyarwanda mimi. Ningekuwa na damu ya kinyarwanda ningekuwa proud kusema mimi ni mnyarwanda We baki kila mwenye damu ya Kitanzania akisema ukweli kisha kuwa mnyarwanda πŸ˜„ 🀣 Kenge mmoja.
 
wabongo tuko bize na uchawa umbea na kukatikaaa maunooo tu
Iko siku sim italiaa tu

Ova
 
Hivi we unajua hata rank za jeshi wewe hebu niambie nani kakuambia jeshi la UN haliruhusiwi kujibu mapigo ya adui kichaa kweli wewe.

Nimekuliza swali wewe unaye sema Tanzania anauwezo wa kumpiga Rwanda kwa skills zipi kwa maneno au? Au kwa ukubwa wa nchi na silaha πŸ˜„ 🀣

Vita ni experience na skills sio kila anaye shika bunduki anajua kutumia bunduki na sio kila mwenye kifaru anajua vipi kutumia kifaru.

Kenge mmoja wewe hao M23 bila kuongelea politics si JWTZ, Malawi au South Africa wataweza kuwashinda huwezi kushindana na watu wanao pigania maslaha yao.
 
We kenge ya kinyarwanda endelea kuropoka nyuma ya keyboard lkn, wanyarwanda wenzio sidhani kama wanakuunga mkono, yani JWTZ ufananishe na jeshi uchwara la rwanda na migambo yao M23 ? Sikuzuii kuropoka bando sikununulii mimi ila dawa yenu inachemka, na general nkunda kashasema opelesheni yenu ya kuwasafisha inakuja japo katumia code ila mmelengwa nyinyi watusi mbwa nyie....
 
Kenge we hata unite mimi Mnyarwanda sawa tu, kwa tarifa yako mimi wanawake wa kinyarwanda na wapenda sana bora nikaongeze mke wa kinyarwanda ili watoto wangu wengine wawe na damu za kinyarwanda πŸ˜„ 🀣 kuliko upate mitoto kenge kama nyie eti mitanzania.

Tanzania pesa hana ya kununua vitanda hospitalini awe na budget ya kuingia vitani, we unadhani vita ni lele mama eti kasema Jacob Nkunda.

We tuombe Tanzania asingie hio vita ujuwe maendeleo yatakwama yote Rwanda ana silaha mpaa za Israel nyie bakini Nkunda kasema

Huyo Nkunda si wa majuzi hata Mtukula anapasikia tu.
 
Tabora- 75,150 kmΒ²
Rwanda- 26,338 kmΒ²
Sikonge District - 27,873 kmΒ²

Rwanda ni kama wilaya ya Sikonge. Kagame kwa level ya Tanzania ni Mkuu wa Wilaya ya Sikonge 🀣
Hivyo Hussein Mwinyi hata level ya Mkuu wa Wilaya ya Sikonge hajaifikia - 2,462 square kilometers, tukubaliane Hussein Mwinyi ni sawa na katibu tarafa.
 
Wao wako busy kucheza sebene wewe unahangaika na kutapatapa kifikra tena kwa mihemko kisa hao wacheza sebene? Wapambane na hali zao or at least they gotta fight back na efforts zionekane, wamekalia utapeli tu yaani kila jambo lao mpaka walifanye kisanii hata vita wanataka wapiganiwe na watu wengine huku wao wakikata viuno majukwaani.
 
Sisi tubaki na uchawa tu
Huko tusiguseee

Ova
 
Wabongo wengi hawana exposure, wakifikaga 'viwanja' huwa wanashangaa ambavyo TZ haijulikani kabisa and those who know it don't even give a damn about it. Lack of exposure inawafanya kuona kama TZ is the center of the universe, that everything evolves around it. They can't see further than the end of their noses.
 
Historia ya vita vya kagera imebeba mengi sana... JWTZ walirahisishiwa ushindi baada ya jeshi la Amin kuasi na kuanza kupigana kumng'oa Amin walijiita UNLF ndio walikuwa wa kwanza hata kuuteka mji wa Kampala..
Acha ujinga waasi wa Uganda wakati wa Amin hawakuwa na nguvu hata kidogo

Waasi wa Uganda hawakukomboa wilaya hata moja

Tz ilipata uungwaji mkono na wananchi wa uganda wa maeneo ya kusini lkn jeshi la amin lilikuwa limejaa askari kutoka kabila lake ambalo walipigana mpaka mwisho

Masaka na mbarara ndio Tz ilipata support ya wananchi wa uganda lkn Kampala na jinja ilikuwa ni mbondee manene
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…