Gazeti pendwa - News of Rwanda, sasa limeamua kutumia fitna. Mbinu za kizamani sana hizi.
Ukisoma kwa makini utagundua jinsi gani wahutu wanachukiwa na utawala wa sasa.
Swali moja kubwa ambalo Paulo na gazeti lake hawaonekani kujibu ni hili; majeshi yamepelekwa DRC kupambana na waasi ndani ya DRC kwanini Rwanda ya Kagame inaudhika?
Tanzania imechoka kupokea wamama wakiwa na watoto migongoni. Kama Rwanda haitaki kuungana na Tanzania kuzuia ubakaji, mauaji, na mapogano DRC kwanini wasikae kimya kama wana EAC wengine?
Watz tuna uwezo wa kumpiga kagame.
Haya maelezo ni uzushi na uhuni mtupu.
Kagame ni wa kupuuzwa tu, anaweweseka kama mtetea anayetaka kutaga. Mwisho wake umekaribia
Like Kagame says this is a bunch of nonsense not worth reading.
A TISS boss not obeying his Commander-in-Chiefs orders?
Pure fantansy!
Ndugu yangu nilijua umekuja na evidence yoyote kuonesha kua duka linalipa kodi, kumbe na wewe unaleta blabla tu hapa aghaaaHuu ni uongo wa mchana kweupe.
Eti "However, despite the size and expensive line of business, the shops are not registered with the Tanzania Revenue Authority (TRA). The two names are not found anywhere in the tax receipts of the TRA, which according to well-informed sources, means they do not pay taxes".
Inajulikana wazi biashara hata zile za mafisadi zinajiandikisha TRA hata kama wanakwepa kodi. Mtu yeyote anayetaka kukwepa kodi hata kama ana mkono mrefu kiasi gani hawezi kufanya kosa la kijinga la kutojiandikisha kama mlipa kodi.
Pili hii ni mbinu dhaifu ya kuchonganisha wakuu wa vyombo vya usalama, hata kama DGI hakubaliani na JK haiwezi kutoka nje ya milango ya pembe nne.
Na hili la kumsingizia Salma Kikwete kwamba ni ndugu wa Habyarimana na kwamba ni mhutu ni ujinga uliopitiliza.
Hii inaonyesha chuki ya wazi ya Watusi dhidi ya Wahutu.
Subiri toleo la kiswahiliMbona sielewi ? Mara anatoka Lindi, mara anatoka rwanda ?
Hahhaaa!
Subiri toleo la kiswahili
Gazeti pendwa - News of Rwanda, sasa limeamua kutumia fitna. Mbinu za kizamani sana hizi.
Ukisoma kwa makini utagundua jinsi gani wahutu wanachukiwa na utawala wa sasa.
Swali moja kubwa ambalo Paulo na gazeti lake hawaonekani kujibu ni hili; majeshi yamepelekwa DRC kupambana na waasi ndani ya DRC kwanini Rwanda ya Kagame inaudhika?
Tanzania imechoka kupokea wamama wakiwa na watoto migongoni. Kama Rwanda haitaki kuungana na Tanzania kuzuia ubakaji, mauaji, na mapogano DRC kwanini wasikae kimya kama wana EAC wengine?