Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Narudia tena tusijaribu kuingia showdown na hawa jamaa, kwa maana uwezekano wa kuchapika ni mkubwa.

Japo historia ya enzi ya Iddi Amin inatubeba lakini itoshe kusema muda mwingi umepita na haya mambo ya ulinzi na usalama yamebadilika sana, tusijaribu tutachakaa.

Warfare ya sasa ni hitech na haijali mkubwa wala mdogo inategemea na uwekezaji ktk teknolojia na utayari wa wanajeshi lako. watu wetu wapo tu huko makambini sanasana wakitoka humo unapishana nao mabarabarani wakitroti na bdae kurudi makambini kulala. Nje ya hapo labda utaweza kuskia wameenda amani.

Kila uchao hawa jamaa wamekuwa kwenye mapambano kibao kwenye kona mbalimbali za bara hili maana yake jeshi lao lina hali na utayari wa hali ya juu, naonya tusijaribu tutachakaa.

Mfumo wa kuajiri wa jeshi letu bado sio merit based. Kuna mianya mingi ya kuingiza watoto wa wakubwa, watu nyoronyoro wapakapoda, weengi hawana misingi wala utayari wa kuwa frontliners kama wapambanaji, naonya tena tusijaribu tutachakaa.

Historia yao na hasa yale waliyopitia 1994 inawafanya hata mwananchi wa kawaida tu kuwa macho kijeshi muda wote, naonya tena tusijaribu tutachakaa.

Hali yetu kwenye haya mambo ya ulinzi na usalama inajulikana sina haja ya kusema hapa. Maana sio ajabu kukuta mtu hawezi hata kutofautisha mlio wa bunduki na pancha au basti ya gari, naonya tena tusijaribu tutachakaa.

Wale wapelelezi 10 walioleta Hofu kwa Waisrael, Musa aliamua kuwaua

Nakukumbusha tuu. Jeshini watu kama ninyi hupigwa risasi na Kuuawa.
 
Nani kakuambia tumegombana na Rwanda.Hawa ni ndugu zetu wako Tanzania wengi tu.
Hatuna shida na Rwanda.
Muacheni Kagame na nchi yake msiingilie mambo yake.Soma historia ya Kagame vizuri alivyopigana kuikomboa Rwanda kwenye umwagaji wa damu wa kutisha wakati wa mauaji ya kimbari
Angekuwa mtu wa visasi Wahutu wangepata tabu sana.Ukienda Rwanda neno mtusi na Mhutu hutakiwi kulitamka unatakiwa kutamka Mnyarwanda.
Thomas Sankara alipata kusema wakati mwingine ukiongoza watu kuna mahali unatakiwa kuwa na level ya wehu ndio mambo yanakwenda.
Ona hapa kwetu Magufuli alivyokuwa anapelekesha mambo,Nenda Uganda,nenda Bukina Faso kwa Ibrahim Traore bembele bembeleza wakati mwingine mambo hayaendi
ya kaizari mpe kaizari ya mungu mpe mungu.
Muacheni Kagame kiongozi mwenye akili nyingi a brilliant solder
 
Narudia tena tusijaribu kuingia showdown na hawa jamaa, kwa maana uwezekano wa kuchapika ni mkubwa.

Japo historia ya enzi ya Iddi Amin inatubeba lakini itoshe kusema muda mwingi umepita na haya mambo ya ulinzi na usalama yamebadilika sana, tusijaribu tutachakaa.

Warfare ya sasa ni hitech na haijali mkubwa wala mdogo inategemea na uwekezaji ktk teknolojia na utayari wa wanajeshi lako. watu wetu wapo tu huko makambini sanasana wakitoka humo unapishana nao mabarabarani wakitroti na bdae kurudi makambini kulala. Nje ya hapo labda utaweza kuskia wameenda amani.

Kila uchao hawa jamaa wamekuwa kwenye mapambano kibao kwenye kona mbalimbali za bara hili maana yake jeshi lao lina hali na utayari wa hali ya juu, naonya tusijaribu tutachakaa.

Mfumo wa kuajiri wa jeshi letu bado sio merit based. Kuna mianya mingi ya kuingiza watoto wa wakubwa, watu nyoronyoro wapakapoda, hawana misingi wala utayari wa kuwa front kama wapambanaji, naonya tena tusijaribu tutachakaa.

Historia yao na hasa yale waliyopitia 1994 inawafanya hata mwananchi wa kawaida tu kuwa macho kijeshi muda wote, naonya tena tusijaribu tutachakaa.

Hali yetu kwenye haya mambo ya ulinzi na usalama inajulikana sina haja ya kusema hapa. Maana sio ajabu kukuta mtu hawezi hata kutofautisha mlio wa bunduki na pancha au basti ya gari, naonya tena tusijaribu tutachakaa.
Brother, hatutapigana na RDF kwasababu wanauwezo mkubwa bali ni kwasababu ni ndugu zetu,ni jirani zetu,naamini diplomasia itatumika zaidi kusuluhisha..
Lakini pia ikitokea wametulazimisha kiasi kwamba italeta madhara makubwa, tutapambana..hizo hoja zako za watu kuingizwa bila merits siyo sahihi kwa asilimia fulani,tusipotoshe..Ninaewafaham vijana wengi sana niliomaliza nao chuo kikuu miaka zaidi ya 14 iliyoita,wapo vizuri kwenye medani,wamezunguka karibu Dunia nzima kwenye mafunzo ni wazalendo, hivyo usitie shaka na usiwatishe watu kwamba TPDF after Kagera War imekuwa kama Paper 🐅...usijidanganye ndugu yangu.
Huyo Kagame kwa hapa kwetu labda umfananishe kirank na Brigadier....kama una no zake za simu mpigie mwambie yeye ndiye asijaribu kutikisa kiberiti kwani ataishia kutikisa kichwa chake...
Mtoa Uzi usikwepe majukumu,wewe mwenyewe hapo ulipo ni Askari,kama huamini ngoja kineku ndiyo siku ukayojua aaaaa kumbe maana ya TPDF ni Pamoja na Mimi kuvaa hili gwanda la baka..
USITUTISHE USITUTISHE USITUTISHE
 
Muambieni mjinga huyu, ana demoralise jeshi la taifa kwa ushabiki wake wa kitusi, mpumbavu kabisa hu sio mda muafaka kuandika kitu kama hicho.

Nimemkumbusha tuu kuwa Mambo ya KIUSALAMA na ulinzi hayanaga Demokrasia.

Anaweza kuwa raia wa nchi hii ili Muda huohuo akawa adui wa usalama wa nchi kwa kuleta Hofu na mitazamo ya Duni kwa Watu wetu Jambo litakalopanda mbegu ya hofu kwa wananchi na Jeshi letu na usalama kuwa mdogo.
Hatavumiliwa.

Nimempa mfano kwa waisrael, wale wapelelezi kumi walioleta taarifa za Hofu waliuawa
 
Muambieni mjinga huyu, ana demoralise jeshi la taifa kwa ushabiki wake wa kitusi, mpumbavu kabisa hu sio mda muafaka kuandika kitu kama hicho.
huna haja ya kutusi leta hoja utajibiwa
 
Narudia tena tusijaribu kuingia showdown na hawa jamaa, kwa maana uwezekano wa kuchapika ni mkubwa.

Japo historia ya enzi ya Iddi Amin inatubeba lakini itoshe kusema muda mwingi umepita na haya mambo ya ulinzi na usalama yamebadilika sana, tusijaribu tutachakaa.

Warfare ya sasa ni hitech na haijali mkubwa wala mdogo inategemea na uwekezaji ktk teknolojia na utayari wa wanajeshi lako. watu wetu wapo tu huko makambini sanasana wakitoka humo unapishana nao mabarabarani wakitroti na bdae kurudi makambini kulala. Nje ya hapo labda utaweza kuskia wameenda amani.

Kila uchao hawa jamaa wamekuwa kwenye mapambano kibao kwenye kona mbalimbali za bara hili maana yake jeshi lao lina hali na utayari wa hali ya juu, naonya tusijaribu tutachakaa.

Mfumo wa kuajiri wa jeshi letu bado sio merit based. Kuna mianya mingi ya kuingiza watoto wa wakubwa, watu nyoronyoro wapakapoda, weengi hawana misingi wala utayari wa kuwa frontliners kama wapambanaji, naonya tena tusijaribu tutachakaa.

Historia yao na hasa yale waliyopitia 1994 inawafanya hata mwananchi wa kawaida tu kuwa macho kijeshi muda wote, naonya tena tusijaribu tutachakaa.

Hali yetu kwenye haya mambo ya ulinzi na usalama inajulikana sina haja ya kusema hapa. Maana sio ajabu kukuta mtu hawezi hata kutofautisha mlio wa bunduki na pancha au basti ya gari, naonya tena tusijaribu tutachakaa.
Ukweli mchungu, Ukraine, Israel imefika hatua raia wanakimbia kujiandisha jeshini ila bongo vijana wanakimbilia kujiandikisha jeshini wako radhi hata wahonge pesa waingizwe jeshini sasa Hawa ukiwatupa site wachache sana wata survive.
 
Rwanda iko overrated san
Narudia tena tusijaribu kuingia showdown na hawa jamaa, kwa maana uwezekano wa kuchapika ni mkubwa.

Japo historia ya enzi ya Iddi Amin inatubeba lakini itoshe kusema muda mwingi umepita na haya mambo ya ulinzi na usalama yamebadilika sana, tusijaribu tutachakaa.

Warfare ya sasa ni hitech na haijali mkubwa wala mdogo inategemea na uwekezaji ktk teknolojia na utayari wa wanajeshi lako. watu wetu wapo tu huko makambini sanasana wakitoka humo unapishana nao mabarabarani wakitroti na bdae kurudi makambini kulala. Nje ya hapo labda utaweza kuskia wameenda amani.

Kila uchao hawa jamaa wamekuwa kwenye mapambano kibao kwenye kona mbalimbali za bara hili maana yake jeshi lao lina hali na utayari wa hali ya juu, naonya tusijaribu tutachakaa.

Mfumo wa kuajiri wa jeshi letu bado sio merit based. Kuna mianya mingi ya kuingiza watoto wa wakubwa, watu nyoronyoro wapakapoda, weengi hawana misingi wala utayari wa kuwa frontliners kama wapambanaji, naonya tena tusijaribu tutachakaa.

Historia yao na hasa yale waliyopitia 1994 inawafanya hata mwananchi wa kawaida tu kuwa macho kijeshi muda wote, naonya tena tusijaribu tutachakaa.

Hali yetu kwenye haya mambo ya ulinzi na usalama inajulikana sina haja ya kusema hapa. Maana sio ajabu kukuta mtu hawezi hata kutofautisha mlio wa bunduki na pancha au basti ya gari, naonya tena tusijaribu tutachakaa.
 
Ukweli mchungu, Ukraine, Israel imefika hatua raia wanakimbia kujiandisha jeshini ila bongo vijana wanakimbilia kujiandikisha jeshini wako radhi hata wahonge pesa waingizwe jeshini sasa Hawa ukiwatupa site wachache sana wata survive.
mkuu wewe umeelewa point yangu 🤝🤝
 
Back
Top Bottom