Jf kuna memba zaidi ya laki 5 sasa kama kitu hicho hakijulikani kwa watu laki 5 basi hakipo kabisa duniani.Habar za new year
Leo ningependa tu kuuliza kiroho safi
Hivi kuna kitu wana JF hawakijui kweri maana mm naona kila kitu wanajibu
Inakuwaje
Heri ya mwaka mpya mama D, baba D na D mwenyewe...JF kisima cha maarifa
Kwa mfano mimi najua mswaki uloutumia leo ni wa mwaka jana....Habar za new year
Leo ningependa tu kuuliza kiroho safi
Hivi kuna kitu wana JF hawakijui kweri maana mm naona kila kitu wanajibu
Inakuwaje
Wengine tunajua mpaka tofauti ya kweri na kweli.Habar za new year
Leo ningependa tu kuuliza kiroho safi
Hivi kuna kitu wana JF hawakijui kweri maana mm naona kila kitu wanajibu
Inakuwaje
😎😎Wengine tunajua mpaka tofauti ya kweri na kweli.
Heri ya mwaka mpya mama D, baba D na D mwenyewe...
Unaweza kugoogle ili kujuwa Magufuli alikuwa Mrundi kutoka ukoo wa Mzilankende yani ukoo wa nyani?wengi wanagugo ndio wanapata majibu😎😎tumia gugo vizuri🤣
🤣🤣🤣🤣"kweri" kabisa gonzare kumbuka hata gugo si yamewekwa na watu hawahawa ambao wanapatikana jf