ukiuliza waliopo chato wanakujibu vizuritu.Unaweza kugoogle ili kujuwa Magufuli alikuwa Mrundi kutoka ukoo wa Mzilankende yani ukoo wa nyani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiuliza waliopo chato wanakujibu vizuritu.Unaweza kugoogle ili kujuwa Magufuli alikuwa Mrundi kutoka ukoo wa Mzilankende yani ukoo wa nyani?
Ni kweli tunajua kila kitu,hata mswaki unaotumia ni wa mwaka jana uongo?[emoji2960][emoji1787]
Niseme Nini zaidi ya "nakupenda mpenzi"Basi ahsante
.Vumilia maisha yangu, utakula vya kwangu
Usiende mbali nami
Nami nimefurahi kujua hilo....Niseme Nini zaidi ya "nakupenda mpenzi"
Hujambo binti?Habar za new year
Leo ningependa tu kuuliza kiroho safi
Hivi kuna kitu wana JF hawakijui kweri maana mm naona kila kitu wanajibu
Inakuwaje
Tofauti kati ya kweri na kweli:-Wengine tunajua mpaka tofauti ya kweri na kweli.
Kazi kweikwei mgoshi.Tofauti kati ya kweri na kweli:-
Kweri (kwa kimasai ni query)ni mashaka au wasiwasi katika mahesabu ya kifedha inapokuwa hakuna maelezo na viambatanisho vya kutosha kuthibitisha kilichoandikwa.
Kweli ni jambo lisilo na mashaka na ni lenye kuaminika kwa uhakika.
Hizo ndo tafauti zake au sio broo?