Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi taasisi yangu wameanza kulipa usiku huu na mimi sijapata ilaa mwenzangu mmoja kapata ,hatuwezi sema serikali imefilisika ilaa tunaibiwa sanaa sahiv na viongozi wenye dhamana na haya maokotoItaje hyo Taasisi ambayo haijapata mshahara.
Walimu tulishapewa naskia na wastaafu toka jana sijui juzi Nadhani Sina hakika maana niliuliza nkaambiwa tayariInaonekana wamechoka itakuw walimu hao Hadi unwanyanganya simu na kuwarudishia unavyotaka.
Inafikirisha Sana Kama nchi tupo sehemu ikiwa mwajiriwa Hana utofauti na Jobless what shit is
Nyingi tu ikiwemo Mambo ya NdaniItaje hyo Taasisi ambayo haijapata mshahara.