Midazolam JF-Expert Member Joined Aug 15, 2020 Posts 807 Reaction score 1,340 Oct 25, 2023 #41 Nendeni mkachukue Ela zenu tumeshawawekea
baiser JF-Expert Member Joined Dec 29, 2014 Posts 1,480 Reaction score 2,239 Oct 25, 2023 #42 BEZO said: Itaje hyo Taasisi ambayo haijapata mshahara. Click to expand... Binafsi taasisi yangu wameanza kulipa usiku huu na mimi sijapata ilaa mwenzangu mmoja kapata ,hatuwezi sema serikali imefilisika ilaa tunaibiwa sanaa sahiv na viongozi wenye dhamana na haya maokoto
BEZO said: Itaje hyo Taasisi ambayo haijapata mshahara. Click to expand... Binafsi taasisi yangu wameanza kulipa usiku huu na mimi sijapata ilaa mwenzangu mmoja kapata ,hatuwezi sema serikali imefilisika ilaa tunaibiwa sanaa sahiv na viongozi wenye dhamana na haya maokoto
U Undu JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 3,527 Reaction score 1,892 Oct 25, 2023 #43 Awamu ya 5 na 6 ni hatari Sana kwa stahiki za watumishi
Magulumelafulu JF-Expert Member Joined Jul 8, 2021 Posts 495 Reaction score 602 Oct 25, 2023 #44 Nadhani hii ni dhihaka mbona watumishi niwajuao hawaonekani tena kijiweni maana yake mzigo umeisha Sent from my POT-LX1T using JamiiForums mobile app
Nadhani hii ni dhihaka mbona watumishi niwajuao hawaonekani tena kijiweni maana yake mzigo umeisha Sent from my POT-LX1T using JamiiForums mobile app
reymage JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 12,203 Reaction score 28,789 Oct 25, 2023 #45 DR HAYA LAND said: Inaonekana wamechoka itakuw walimu hao Hadi unwanyanganya simu na kuwarudishia unavyotaka. Inafikirisha Sana Kama nchi tupo sehemu ikiwa mwajiriwa Hana utofauti na Jobless what shit is Click to expand... Walimu tulishapewa naskia na wastaafu toka jana sijui juzi Nadhani Sina hakika maana niliuliza nkaambiwa tayari
DR HAYA LAND said: Inaonekana wamechoka itakuw walimu hao Hadi unwanyanganya simu na kuwarudishia unavyotaka. Inafikirisha Sana Kama nchi tupo sehemu ikiwa mwajiriwa Hana utofauti na Jobless what shit is Click to expand... Walimu tulishapewa naskia na wastaafu toka jana sijui juzi Nadhani Sina hakika maana niliuliza nkaambiwa tayari
Mavipunda JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 7,072 Reaction score 7,891 Oct 26, 2023 #46 BEZO said: Itaje hyo Taasisi ambayo haijapata mshahara. Click to expand... Nyingi tu ikiwemo Mambo ya Ndani
BEZO said: Itaje hyo Taasisi ambayo haijapata mshahara. Click to expand... Nyingi tu ikiwemo Mambo ya Ndani
jeneralikevin JF-Expert Member Joined Jun 24, 2020 Posts 347 Reaction score 231 Feb 22, 2024 #47 Mvumilivu hula mbivu