Kuna kundi la watu fulani kwasababu ya ushabiki wao wanaichukulia USA poa

Kuna kundi la watu fulani kwasababu ya ushabiki wao wanaichukulia USA poa

Tangu umekuwa mujahideen unazidi kupoteza uwezo wako wa rationality.

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
World bank ni tatizo kwa africa ndiyo wanakuambia tunakukopesha pesa za mradi ila shariti mwanaume kuolewa na mwanaume mwenzie ...unajua kwanini world bank alipo msusia jpm kumpa fedha za miradi ila yeye aliweza kufanya hiyo miradi walipo gundua kuwa anaweza kufanya bila fedha zao walikuja mbio kwake na kutaka kumfadhiri ...kumbuka walipo kuja kwenye sgr nk unajua kwanini waliogopa jpm kufanikisha miradi pasipo wao kutoa pesa.
Endeleeni kukopa China sasa kwa mashariti ya kampuni zao kujenga huku 10% zikitembea vizuri kisa unaogopa kuolewa na mwanaume mwenzako.
Ujinga mtupu, ningeshangaa kama ushoga usingefika hapa.
 
Hiyo ni mifumo yao ya kupata mali wao ...siyo fadhila tumia akili ungesema wametupatia matrekta au wamejenga hospital au mashule ningekuelewa ni sawa sawa na useme dola yake ni muhimu kwetu ...ndiyo ila umuhimu wa dola ni faida kwa USAyenyewe ndiyo maana tukitaka kuacha matumizi ya dola marekani watafura kumbuka mambo ya BRICS wewe unadhani USA anapenda....vitu vya marekani tulivyo navyo ni vile tu vyenye kumnufaisha yeye moja kwa moja ....kwa utajiri wa taifa la marekani ilitakiwa mambo mengi africa tuwe tumesahidiwa na usa [emoji631] kama ujenzi wa barabara ...miradi ya maji reli ...hospital nk
Hata kama na yeye anafaidika ila still na sisi ametusaidia.

Yani wewe unataka kusaidiwa tu,jisaidie mwenyewe..

USA ni taifa kubwa,ukatae ukubali.
 
Endeleeni kukopa China sasa kwa mashariti ya kampuni zao kujenga huku 10% zikitembea vizuri kisa unaogopa kuolewa na mwanaume mwenzako.
Ujinga mtupu, ningeshangaa kama ushoga usingefika hapa.
Sikusema china ni malaika ila marekani kadhihilisha upumbavu wake dhahili ...tizama mrussi kabomoa miji ya ukrai aliyoiteka na sasa ksijenga ila marekani hskuna nchi ksibomoa na kuijenga ikajengeka
 

Attachments

  • Screenshot_20241010-164114_YouTube Lite.jpg
    Screenshot_20241010-164114_YouTube Lite.jpg
    160.3 KB · Views: 1
Hiyo ni mifumo yao ya kupata mali wao ...siyo fadhila tumia akili ungesema wametupatia matrekta au wamejenga hospital au mashule ningekuelewa ni sawa sawa na useme dola yake ni muhimu kwetu ...ndiyo ila umuhimu wa dola ni faida kwa USAyenyewe ndiyo maana tukitaka kuacha matumizi ya dola marekani watafura kumbuka mambo ya BRICS wewe unadhani USA anapenda....vitu vya marekani tulivyo navyo ni vile tu vyenye kumnufaisha yeye moja kwa moja ....kwa utajiri wa taifa la marekani ilitakiwa mambo mengi africa tuwe tumesahidiwa na usa 🇺🇸 kama ujenzi wa barabara ...miradi ya maji reli ...hospital nk
Hivyo ndivyo invisible hand inavyofanya kazi katika uchumi, fanya kazi, acha kusubiri kupewa na kujengewa tu huku pia unadengua kuolewa na wanaume wa Marekani.
 
USA alina faida yoyote kwa dunia nitajie hata mita moja ya reli ambayo USA na utajiri wake wote kajenga africa au hospital moja tu ya maana ambayo kajenga ...nasikitika sana kuona wapumbavu mnashabikia taifa ambalo halina faida yoyote kwa africa na dunia ...peoesa macho yako hapo ulipo nitajie ni bidhaa gani za USA uponazo hapo ulipo au umeziona kwa macho labda simu ya iPhone tu tena kama unayo
Kwa kipindi cha cha miaka mitatu USA ndio taifa lililotoa pesa nyingi hapa kwetu pesa hizo ndio zimejenga mahospitali, barabara mishahara na mambo mengine mengi.
Acha mizaha.
 
Kwa kipindi cha cha miaka mitatu USA ndio taifa lililotoa pesa nyingi hapa kwetu pesa hizo ndio zimejenga mahospitali, barabara mishahara na mambo mengine mengi.
Acha mizaha.
Pesa wanazo toa marekani zinatumika kuwafanya viongozi kuwa vibaraka wao na pesa zinakwenda mifukoni mwao na kurudishwa kwenye benk zao ulaya ...wewe ujiulizi vipi viongozi wa africa wanaficha kwao kwenye mabenki yao.tatizo.lenu ni kushindwa kutambua mchezo unao fanyika na world bank na USA
 
Hayo marekani kaanza kuyafanya kwa sababu ya china..marekani anachukizwa sana na china kukubalika africa na kufanya miradi inayo mfanya akubslike kuliko 🇺🇸 ni janjatu ila siyo kutoka moyoni ....ndiyo maana watu wanamuona marekani ni muhuni tu hata madawa ya ukimwi ukiwa na akili finyu unaweza kuishukuru marekani ila kama una akili kuwa utailaani.watu wanashinda kujiuliza mbona dawa za ukimwi zinatolewa bure wao wanadhani ni upendo kumbe wangejua mchezo uliopo nyuma yake wenye akili kubwa dhidi ya muafrica na dunia,wasingume shukuru ..kuna magonja chungumzima kwanini ukimwi ?
Mkuu iwe China ama US kila mmoja ananufaika na Africa wala hakuna anaetujali.
 
USA alina faida yoyote kwa dunia nitajie hata mita moja ya reli ambayo USA na utajiri wake wote kajenga africa au hospital moja tu ya maana ambayo kajenga ...nasikitika sana kuona wapumbavu mnashabikia taifa ambalo halina faida yoyote kwa africa na dunia ...peoesa macho yako hapo ulipo nitajie ni bidhaa gani za USA uponazo hapo ulipo au umeziona kwa macho labda simu ya iPhone tu tena kama unayo

Bila USA ndugu zako wengi wangekuwa washakufa na UKIMWI kama siô wewe mwenyewe.

Bila USA Dunia ya Sasa ingekuwa Haikaliki kutokana na vita kîla Kona ya Dunia.

Bila USA wewe Muafrika ungeendelea kuitwa Nyani na kubaguliwa Duniani kote.

Bila USA kusingekuwa na Haki za Wanawake siô ajabu hata mamaako, Binti zako, shangazi wangekuwa wanaishi Maisha Magumu Sana.

Bila USA ukeketaji, unyanyasaji Kwa makundi maalumu kama weñye ualibino wangeendelea kuuawa Kwa Mila potofu.
Zingatia Kwa Mila na desturi za Afrika albino hutakiwa kuuawa tangu akiwa Mtoto.
Lakini Amerika ndîo wamewafundisha Watu weusi na jamii zào kujielewa.

Bila USA kusingekuwa na Haki ya kuabudu na kuheshimu Dini zingine.

NI mtu mwenye uelewa mdogo WA kujua Dunia imetoka Wapi, ulipo na inapoenda ndiye hajui Faîda ya USA Duniani.

Hata internet unayotumia ni zào la USA
 
Hivyo ndivyo invisible hand inavyofanya kazi katika uchumi, fanya kazi, acha kusubiri kupewa na kujengewa tu huku pia unadengua kuolewa na wanaume wa Marekani.
Wanatumia hiyo mifumo na mikopo kudhibiti africa isiweze kujikwamua kwenye umasikini ndiyo maana akija raisi makini wanamchukia na kumpiga vita
 
World bank ni tatizo kwa africa ndiyo wanakuambia tunakukopesha pesa za mradi ila shariti mwanaume kuolewa na mwanaume mwenzie ...unajua kwanini world bank alipo msusia jpm kumpa fedha za miradi ila yeye aliweza kufanya hiyo miradi walipo gundua kuwa anaweza kufanya bila fedha zao walikuja mbio kwake na kutaka kumfadhiri ...kumbuka walipo kuja kwenye sgr nk unajua kwanini waliogopa jpm kufanikisha miradi pasipo wao kutoa pesa.

Bila USA wewe usingekuwa unachat hapa
 
Mkuu iwe China ama US kila mmoja ananufaika na Africa wala hakuna anaetujali.
Ni kweli ila marekani ndiyo ina ajenda ya kulikwamisha bara la africa siyo tu wao wanufaike bali wanufaike na kulikwamisha barala afrika pamoja na kuakikisha africa inabaki kuwa na watu wachache kwa kadili iwezekanavyo
 
Huko barabarani kumejaa mabango ya barabara zilizojengwa kwa msaada wa watu wa Marekani, chanjo nyingi ulizopata ni kwa msaada wa watu wa Marekani, ARVs na condom ni bei rahisi kwa ufadhili wa watu wa Marekani, Hata unga wa Yanga wakati wa njaa ulitoka Marekani.
ARV ni biashara hiyo.

Walitaka kusubstitute na Covid ikabuma.

Ila hawachoki hayo mabeberu watakuja na lingine tu
 
ARV ni biashara hiyo.

Walitaka kusubstitute na Covid ikabuma.

Ila hawachoki hayo mabeberu watakuja na lingine tu

Kwani Kabla ya ukoloni Waafrika walitibiwa bure na waganga waô au mnazungumzia mambo msiyoyajua?

Mganga lazima apewe Pesa.
Sasa hizô ARV mlitaka mpewe bure na hao wazalishaji na viwanda watapataje fedha za kuendesha Maisha yao na Kazi Yao?
 
Back
Top Bottom