Kuna kundi la watu wanaumia wakisikia Tundu Lissu akielezea tukio lake la kupigwa risasi

Kama aliyepigwa risasi ni mzima anabwatuka hapo hakuna kesi
 
Polisi hawabigi danadana ila Tundu hajafuata taratibu na baya zaidi kwakuwa yuko hai haiwezekani kwa mtu mwingine kulalamika wakati mtendewa haoni umuhimu wa kufuata taratibu ili ahudumiwe kwa mujibu wa sheria za Jeshi la Polisi.
 
Polisi hawabigi danadana ila Tundu hajafuata taratibu na baya zaidi kwakuwa yuko hai haiwezekani kwa mtu mwingine kulalamika wakati mtendewa haoni umuhimu wa kufuata taratibu ili ahudumiwe kwa mujibu wa sheria za Jeshi la Polisi.

..Utaratibu ni kwamba jaribio la mauaji huchunguzwa bila kujali kwamba mhanga yuko hai au amekufa.
 
Anatueleza kwani sisi ni polisi tutakaofanya uchunguzi
 
Hakuna hoja hapa CCM mnanuka damu za watu
 
Wewe sio mpiga Kura wake ata angeongea sera atakupeleka mbinguni hautamuelewa
 
Kuvuliwa kwake tu ubenge kuonaonyesha alifanyiwa uhuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…