Kuna kundi la watu wanaumia wakisikia Tundu Lissu akielezea tukio lake la kupigwa risasi

Kuna kundi la watu wanaumia wakisikia Tundu Lissu akielezea tukio lake la kupigwa risasi

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza Kuna baadhi ya watu hawataki kabisa kusikia Lissu akielezea jinsi alivyo shambuliwa kwa risasa,najiuliza hawa watu siyo kile kikundi cha wasiojulikana wanakerwa kumuona jamaa yupo buheri na mwenye afya njema?

Mimi binafsi napenda kila anapokuwa jukwaani wakati wa kusalimiana na wananchi achomekee kidogo hali ilivyo kuwa na anamhisi nani aliye fanya hayo then aendelee kushuka nondo za kuomba kura na kuelezea ilani ya chama chake.

Kuna watu wanashauri kuwa Lissu akiwa jukwaani aache kabisa kuelezea hilo tukio kwamba watu wote wanajua yaliyo mpata,

Siyo kweli kuwa kila mtu anajua nini kilitokea. kufahamu kuwa Lissu alipigwa risasi hilo wamesikia lakini hawajui tukio nzima lilifanyikaje na nani mhusika.

Pia watu wingi hawajui au hawana habari au wamesahau kwa kuwa vyombo vya habari hawarushi habari za Lissu kwa hiyo wananchi wanakosa kupata mkasa mzima wa tukio

Hivyo namshauri mh lisu akomalie hapo hapo kila akiwa jukwaani salamu zake iwe kuelezea hilo tukio la kushambuliwa,asisikilize hawa watu wasio julikana wanao kerwa na matamshi yake.

Wanajua nani anakuwa attacked pale Lissu anapokuwa anaelezea tukio la kushambuliwa kwake ndio maana wanashauri ajikite kuelezea sera, hiyo ni hofu tu Kama mlifikiri atakufa Mungu ni mwema alimkinga na mauti acheni asema.
HATA MAGUFULI ALISHAWAHIPEWA SUMU KUANAGUKA NA NDEGE LAKINI HASEMI KILA UCHAO TL KUTWANGWA SHABA NI AJALI KAMA ZILIVYO AJALI ZINGINE HIVYO HAIWEZI KUWA MTAJI WA KUOMBEA KURA HATA ANGEKWENDA ANAVUJA DAMU BADO ASINGECHAGULIWA TU.
 
Jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?

Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza?

Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.

(Shuhuda wa kwanza) unamaanisha nini mtu alieshambuliwa kwa risasi tena awe shuhuda badala ya yy kuwa mlalamikaji?
 
umiminiwe risasi zote hizo halafu upande wa mguuu wa kullia ambapo ni upande wa dereva, halafu dereva atoke anachekerea kweliiii??
Haya bwanaaa

..TL ameeleza kwamba ameumia sehemu nyingi za mwili wake na siyo mguu wa kulia tu.

..tena ameeleza kwamba mkono wake wa kushoto umeumia kuliko mkono wake wa kulia.

..kulingana na maelezo yake waliomshambulia walirusha risasi kutokea upande wa kushoto aliokuwa amekaa yeye.

..Na zaidi ameumia maeneo mengi sana ya mwili wake.

..Ukimya wa Polisi kuhusu tukio hili unatia mashaka sana.
 
Uko free kusema uyafikiriayo ila ni bora useme yenye mantiki kuliko yaliyojaa yenye kudhihirisha upumbavu wako.
[emoji44][emoji44][emoji44] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza Kuna baadhi ya watu hawataki kabisa kusikia Lissu akielezea jinsi alivyo shambuliwa kwa risasa,najiuliza hawa watu siyo kile kikundi cha wasiojulikana wanakerwa kumuona jamaa yupo buheri na mwenye afya njema?

Mimi binafsi napenda kila anapokuwa jukwaani wakati wa kusalimiana na wananchi achomekee kidogo hali ilivyo kuwa na anamhisi nani aliye fanya hayo then aendelee kushuka nondo za kuomba kura na kuelezea ilani ya chama chake.

Kuna watu wanashauri kuwa Lissu akiwa jukwaani aache kabisa kuelezea hilo tukio kwamba watu wote wanajua yaliyo mpata,

Siyo kweli kuwa kila mtu anajua nini kilitokea. kufahamu kuwa Lissu alipigwa risasi hilo wamesikia lakini hawajui tukio nzima lilifanyikaje na nani mhusika.

Pia watu wingi hawajui au hawana habari au wamesahau kwa kuwa vyombo vya habari hawarushi habari za Lissu kwa hiyo wananchi wanakosa kupata mkasa mzima wa tukio

Hivyo namshauri mh lisu akomalie hapo hapo kila akiwa jukwaani salamu zake iwe kuelezea hilo tukio la kushambuliwa,asisikilize hawa watu wasio julikana wanao kerwa na matamshi yake.

Wanajua nani anakuwa attacked pale Lissu anapokuwa anaelezea tukio la kushambuliwa kwake ndio maana wanashauri ajikite kuelezea sera, hiyo ni hofu tu Kama mlifikiri atakufa Mungu ni mwema alimkinga na mauti acheni asema.
Lissu kamatia hapo hapo, hadi Mhalifu ajitokeze mwenyewe kuomba radhi, au afe kwa presha ya kupanda!
 
..TL ameeleza kwamba ameumia sehemu nyingi za mwili wake na siyo mguu wa kulia tu.

..tena ameeleza kwamba mkono wake wa kushoto umeumia kuliko mkono wake wa kulia.

..kulingana na maelezo yake waliomshambulia walirusha risasi kutokea upande wa kushoto aliokuwa amekaa yeye.

..Na zaidi ameumia maeneo mengi sana ya mwili wake.

..Ukimya wa Polisi kuhusu tukio hili unatia mashaka sana.
Sasa kama polisi wamekaa kimya yeye amechukua hatua gani?
 
Sasa polisi wataanzia wapi nawakati nuhanga hataki ata kwenda kuripoti tukio lake ata kwa sungusungu?

Kila wakinwita jaamaa aende polisi wamchukue maelezo jaamaa yenu mzeee wa kiki anaingia nitini, anaogopa nini?

Kwakua Mungu alimponesha kifo jamaa yenu, akaenda kutibiwa na akarudi na amepona ilikuwa ni yeye na dereva wake basi walau wakatoe atamaelezo kiduchu polisi, ilituone kama polisi watapuuuzia kufuatilia tukio hilo, ndo watanzania tungekuwa na la kuwa laumu polisi.

Lakini jamaa yenu amiishia kulaum laum tuuu bila kuchukua hatua yoyote ilee.

Mbona walipomvua ubunge alienda mbio mahakamani kufungua kesi ya kuzuia kuvuliwa ubunge, iweje shambulio lile baya na lakutisha aogope kwenda kuripoti polisi?

Tupeni majibu kwanzaaa.
Yy na cctv camera pamoja na walinz n nani wangetkiwa waanzie upelelez?yaan nahc kichwan mwako umewekewa tonge la ugali na c ubongo kama binafamu wengine
 
Wanaumia mno!! Eti anatumia tukio hilo kujiombea kura...

Mtu kueleza maswahibu yaliyomkuta..nusu kifo je ni dhambi?
1. Aliyetaka kumuua kwa risasi 16 ni nani?
2. Aliyemyima hela ya matibabu ni nani?
 
Jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?

Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza?

Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
Punguani wewe. Ipo siku utawambia hata watoto wa Karume wakafungue kesi juu ya kupigwa risasi kwa baba yao.
Ipo siku utawashauri watoto wa Sokoine waende mahakamani wewe.
Ipo siku utashauri watoto wa IMRANI KOMBE Nao waende mahakamani wewe.
Kazi ya Jeshi la Polisi mini sasa? Japo twajua hao ni MAPOLICCM. ndo mana wakistaafu wanapewa vyeo kama ZELOTE STEVEN
Hovyo?????
 
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza Kuna baadhi ya watu hawataki kabisa kusikia Lissu akielezea jinsi alivyo shambuliwa kwa risasa,najiuliza hawa watu siyo kile kikundi cha wasiojulikana wanakerwa kumuona jamaa yupo buheri na mwenye afya njema?

Mimi binafsi napenda kila anapokuwa jukwaani wakati wa kusalimiana na wananchi achomekee kidogo hali ilivyo kuwa na anamhisi nani aliye fanya hayo then aendelee kushuka nondo za kuomba kura na kuelezea ilani ya chama chake.

Kuna watu wanashauri kuwa Lissu akiwa jukwaani aache kabisa kuelezea hilo tukio kwamba watu wote wanajua yaliyo mpata,

Siyo kweli kuwa kila mtu anajua nini kilitokea. kufahamu kuwa Lissu alipigwa risasi hilo wamesikia lakini hawajui tukio nzima lilifanyikaje na nani mhusika.

Pia watu wingi hawajui au hawana habari au wamesahau kwa kuwa vyombo vya habari hawarushi habari za Lissu kwa hiyo wananchi wanakosa kupata mkasa mzima wa tukio

Hivyo namshauri mh lisu akomalie hapo hapo kila akiwa jukwaani salamu zake iwe kuelezea hilo tukio la kushambuliwa,asisikilize hawa watu wasio julikana wanao kerwa na matamshi yake.

Wanajua nani anakuwa attacked pale Lissu anapokuwa anaelezea tukio la kushambuliwa kwake ndio maana wanashauri ajikite kuelezea sera, hiyo ni hofu tu Kama mlifikiri atakufa Mungu ni mwema alimkinga na mauti acheni asema.
Kumbu kumbu zipo hata humu jukwaani kuna watu mwaka 2017 walijiapiza kuwa CDM wanahangaika kumtibia marehemu wakiamini kwamba Mh.Lissu haponi.Wenye thread za 2017 wanaweza kutuwekea hapa ili tuwatambue kama si hawa hawa wanaomshauri kutokuongelea tukio la shambulizi lile la kigaidi dhidi yake.

Wanafikiri sisi Tusio Wanyonge tunasahau kama wasahauvyo Wanyonge?We can't forget that easly.Mla muwa husahau lakin mtupa maganda hasahau.Ponda vichwa Kamanda Lissu,hiyo ndiyo kanuni ya msingio ya kuua Joka.

Watanzania wenzangu,Twende na Mh.Lissu,Ni Yeye 2020.Tunatakiwa kuwaondoa wakoloni weusi,wametunyanyasa,wametudharau na kutufanya wanyonge vya kutosha na sasa "Tunasema Sasa Basi"&"No Fear No Hate"
 
Akili zingine hizi.. Aliyekwambia hilo tukio halijaripotiwa ni nani? Hizi akili ndo zinaachwa kujibu hoja zenye akili hapa jukwaani?
Jaamaa yenu na vile anavyopenda kujua kila kitu, angekuwa hajashitaki wala kuripoti shambulio lake ata mahakama ya mtaaa ili uchunguzi ufanyike?

Kwa nini hajaenda mahakamani kufungua kesi? Iliuchunguzi ufanyike huku yeye akiwa ndo shuhuda wa kwanza?

Waende yeye na dereva wake wakaisaidie polisi upeleleziiii.
 
Punguani wewe. Ipo siku utawambia hata watoto wa Karume wakafungue kesi juu ya kupigwa risasi kwa baba yao.
Ipo siku utawashauri watoto wa Sokoine waende mahakamani wewe.
Ipo siku utashauri watoto wa IMRANI KOMBE Nao waende mahakamani wewe.
Kazi ya Jeshi la Polisi mini sasa? Japo twajua hao ni MAPOLICCM. ndo mana wakistaafu wanapewa vyeo kama ZELOTE STEVEN
Hovyo?????
Inje na matusi vichwani mwenu nikweupeee.
Maana kiki za matusi ndo ilani yenu ya uchaguzi tukianzia kwa jamaa yenu yule.
Tukaneniii tuuuu.
Hatutakaaa kimyaaa mpaka kiki zenu ziiisheee.
 
Inje na matusi vichwani mwenu nikweupeee.
Maana kiki za matusi ndo ilani yenu ya uchaguzi tukianzia kwa jamaa yenu yule.
Tukaneniii tuuuu.
Hatutakaaa kimyaaa mpaka kiki zenu ziiisheee.
Nani anatukana wewe?
Kumwambia amepora KOROSHO za WAKULIMA huko kusini ni tusi?
Kumwambia yeye alikuwa sehemu ya binge lililouza MADINI YETU na kwamba kusema anayapigania leo ni ghiriba ni tusi?
Kumwambia alishiriki kuuza nyumba za umma tena mpaka kwa hawala zake ni tusi?
Kumwambia aliwabomolea watu nyumba zao huko Kimara bila hata kuwalipa kifuta jasho ni tusi hilo?
Kumwambia hajaongeza mishahara kwa watumishi ambayo ni takwa la kisheria ni tusi hilo?
Kwamba Amelia mifumo ya utumishi kwa kuwajaza hofu ni tusi?
Kwamba alinunua ndege bila kufuata sheria za manunuzi ni tusi hilo?
Kwamba aliuza watu bila sababu huko MKIRU Ni tusi?
Kwamba hajatoa Ajira kwa wahitimu nako tusi?
Kwamba alishiriki kuua na kuteka watu ni tusi?
Kwamba aliminya uhuru wetu nalo tusi kwako ndiyo?
Kwamba alijenga uwanja wa ndege kwao bila kufuata sheria za manunuzi wala kupitishwa na bunge ni tusi kwako ndiyo?
SISI HATUTUKANI TUNAHOJI UKWELI SIO MISUKULE KAMA WEWE
 
Back
Top Bottom