Kuna kundi limechukizwa na maridhiano yanayoendelea

Ukishazoea kula nyama ya mtu hutoacha utaendelea kula tu!!! Watu hao walitaman siasa za piga, uaa,tesa, wape kesi za uhujumu uchumi, Weka magerezani ziendelee!!
Mwenye picha ile ya wanachama fulani wakimshambulia kada wa chama fulani kwa mawe pale Dodoma atuwekee hapa tafadhali.
 
Kama kweli hawa wote wanaobeza ni sukumagang basi wapo wengi sanakuliko wanaosifu jitihad za Mwenyekiti kumega kipande cha mkate
Wanuka damu, Wasiojulikana, WAHAFIDHINA, tabu na shida kwa wengine ndio ulikuwa msingi wa furaha yenu. Mmeumbuliwa na mama. Amewaonyesha kwa vitendo kuwa unaweza kuwa raisi bila kuua, kutisha, kuonea, kufunga wapinzani wako. Nawaambia, huyu mama akiendelea KUWAPUUZA ninyi WAHAFIDHINA. Atalifanyia makubwa taifa hili. Na historia yake itasomwa vema miaka na miaka.
 
Sukuma Gang is a persona used by nincompoops to escape reality that they don't want to catch up with.
 
Kuna maridhiano au kuna ulaghai wa kisiasa? Usingemtarajia Mwamba Magufuli kufanya mambo ya kitoto badala ya kuwaletea Watanzania maendeleo!
 
100% sahihi.
 
Naona Uzi umedoda; mjinga au mpumbavu ni yule anaeacha dhamila ya kushika Dola kwa kulambishwa asali.

CHADEMA kama mgekuwa na akili hii ndio awamu mgejinyakulia nchi kutoka Kwa huyu mama.

Yaani kwa kifupi mmetema bigG kwa karanga za kuonjeshwa.
Mawakala wa ibilisi nyie .Mmeshindwa kwa Jina la Yesu.
 
Seems deliberately or by ignorance you are loosing touch with reality. It is a sad fact.
Not really but its a sad fact to see most of the literate guys like you can't get over what is now a histroy. Extreme discordance with the deceased won't make a change in your lives.
 
Sawa kabisa Genge S ndio watu hatari zaidi kuliko hata CCM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…