Brigadier Isaac
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 495
- 1,436
Hamnaga kitu kama hicho mwanaume kuoa hana muda maalumu kama utazingatia vitu hivyi itakupunguzia kasi ya kuzeeka
1.mazoezi
2.kuachana na matumizi ya vilevi
3.kula lishe bora
4.kupunguza vitu vya kemikali na madawa
5.kunywa maji mengi
6.kufanya kazi zenya kutoa jasho kwa wingi
7.kujisafisha kiroho(kuwa mtu wa dini)
8.jiweke stable kiuchumi
9.hakikisha unakuwa na furaha pia jiepushe na toxic people ambao wataweza kusababishia vinyongo na msongo wa mawazo
Amini ukifata hayo mambo unaweza gonga 90 years na bado uko stable kama raisi wa urusi kwa hiyo hata ukioa na miaka 40 haina shida imradi unazalisha
1.mazoezi
2.kuachana na matumizi ya vilevi
3.kula lishe bora
4.kupunguza vitu vya kemikali na madawa
5.kunywa maji mengi
6.kufanya kazi zenya kutoa jasho kwa wingi
7.kujisafisha kiroho(kuwa mtu wa dini)
8.jiweke stable kiuchumi
9.hakikisha unakuwa na furaha pia jiepushe na toxic people ambao wataweza kusababishia vinyongo na msongo wa mawazo
Amini ukifata hayo mambo unaweza gonga 90 years na bado uko stable kama raisi wa urusi kwa hiyo hata ukioa na miaka 40 haina shida imradi unazalisha