Brigadier Isaac
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 495
- 1,436
Mada yako ni ya msingi sana, ila imeingiliwa na watoto ambao kwa sasa wapo likizo kwa wazazi wao, nitarudi kuchangia shule zikifunguliwa... ngoja nikawatafutie ada kwanza.Kama tunavyofahamu mwanaume kuna age ikifika umri wako unaanza kuonekana umeenda haswa kuanzia age of 36,40 na kuendelea at this age bado kuna vijana hawajaoa na hata mpango wa kuoa bado kabisa
Hebu leo tuweze kushare kuna madhara Gani ya mwanaume kuchelewa kuoa
Huyu mie kabisa yaani wikend ni muda wkuopoa totoz za chuo unapiga threesome yako matata mpaka next wikend tena
Nyie 26 mwshoKumbe wanaume na nyie mna deadline? Nikajua ni sisi wadada tu🤔
Mstari mwekundu ni age gani hiyo nijipime? nadhani nishavuka mkuu😪kwani ww tayari ushapita kweny mstar mwekundu! 😌
Watu wenye ugumu hapana😂Daah sasa mkuu we mwenyewe unazingua tu hata hutaki tuweke Mambo sawa looh🥴🥴🥴🥴
Mmh siyo kweli bana, kama ni umri huo nishavuka kitambo sana aisee🙄Nyie 26 mwsho
We jifariji tu mkuu, ukifika umri huo utajuaMadhara ni kama utafika age hio ukiwa hun a pesa
kwa maisha ya sasa kwa nyie hamna hamna 30 uwe ushamalizana na uzazi ukiwa kwenye ndoa 😇Mstari mwekundu ni age gani hiyo nijipime? nadhani nishavuka mkuu😪
kwa hyo hapo juu hamna mzazi mwenzko? mshxyuuuna! date na kijini..🤨Mada yako ni ya msingi sana, ila imeingiliwa na watoto ambao kwa sasa wapo likizo kwa wazazi wao, nitarudi kuchangia shule zikifunguliwa... ngoja nikawatafutie ada kwanza.
HahaaaaSikusimangi bana ndiyo ukweli sasa endelea na mizunguko uje uoe ukiwa 40s watoto wakuite babu
kwa mtizamo wangu muda sahihi ni pale unapokuwa na uhakika wa milo ukutoshayo na mahitaji ya matibabu kwako na kwa watakaongezeka kwakoUmri sahihi wa mwanaume kuoa ni 27-38.Hii imethibitishwa kitaalamu kabisa.Umri huu anakuwa amekomaa akili ipasavyo na kuuacha ujana wote.Ni tofauti na akiwahi lazima ndoa itikisike,japo unaweza wahi na ndoa ikadumu.
unakuja kustaaf mwanao ndio kwanza yuko Fom two B
Dah mimi nakaribia 30 ila sina hata mtoto wa kusingiziwa! Unanishauri vipi🤔 niachane na uzazi nishachelewa ama?kwa maisha ya sasa kwa nyie hamna hamna 30 uwe ushamalizana na uzazi ukiwa kwenye ndoa 😇
Ahahhgahhha kimoja j2 kimoja jmosi duuuuh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si anakuwa kachelewa kupata stress
Ishu kubwa ni watoto tu ila km ukishajijenga vzr kiuchumi chelewa kuoa tu.
Maishaa yamekuwa rahisi na yenye furaha sana bila mke kuliko ukiwa na mke.Ndoa zilikuwa zamani ukioa hata kama unachezea team ya mpira ya taifa lazima kitambi kije.
Tukubali wachache wetu tutapata wake wengine watapata msongo wa mawazo[emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wa kuoa wameisha sana pamoja na ratio ya 1:6 lakini bado kupata imekuwa bahati na nasibu sana.
All in all km unachelewa kuoa sababu hujapata sahihi ndugu yangu USIOE mpk upate sahihi .
Tafuta mfanyakazi wa ndani mwenye mtoto mlipe hata 200k alinde nyumba,usafi na kupika then wewe focus na kazi,bata then weekend tafuta vitoto vya chuo viwili kimoja IFM&CBE uwe kimoja unakila j/mosi, kimoja j/2.Huitaji kufanya mapenzi zaidi ya mara 2 kwa week km kweli upo busy na vitu vya maana.Bao 3 jumamosi,bao 3 jumapili.